Naombeni ushauri, nina dada yangu ana miaka arobaini na tatu ana mtoto mmoja ana miaka kumi na tano. Mume wake alifariki, sasa amepata mume anataka kuzaa nae.
Je, kiafya ni sawa?
Salaams wapenz.....
Mtoto wa dada yangu wa kiume mwenye umri wa miaka 9 ameanza kusumbuliwa na miguu kwasasa ana miezi 4......
Ilianza ghafla tu akawa analalamika kua visigino vyake vinauma...
Habarini wana jamvi!
naombeni kujuzwa ya kuwa kuna uwezekano kwa mwanamke mjamzito kuendelea kupata hedhi? au kwa lugha nyingine wanaita "punguza" na ni nini hatima au dawa yake?
na kuna...
Habar zenu huku jf doktas??mwenye ujuz tafadhal anijuze. Je kukojoa mkojo wenye harufu ni tatizo? Na kama ni tatizo laweza kuwa tatizo gan? Nin tiba mbadala badala ya kwenda hospitali ? (kama ipo)...
Panic attack(jazba..waswahili mtanisaidia)
Hii ni ile hali ya kuingiwa na hofu au uwoga ghafla ingawa kiuhalisia hakuna kitu chochote kibaya kinachotokea au kitacho tokea. Hofu hii inampelekea...
Kwanini mtu akitekenywa anashtuka halafu anacheka? and why inakuwa ni baadhi ya sehemu za mwili tu kama vile mbavuni, makwapani na kwenye unyayo. Na kwanini mtu akijitekenya mwenyewe hacheki? ni...
KABICHI
Kabichi linaweza kuliwa bichi, Likichanganywa kwenye kachumbari au kupikwa na kula. Kabichi lina kalonzi kidogo Lakini lina vitamini c nyingi sana.
Wataalam wanatuambia kabichi lina...
Nina rafiki yangu ambaye alijaliwa kuwa na mtoto toka 2008, shida anayopata ni kwamba huwa anasumbuliwa sana na kuumwa Tumbo. Haijalishi amekaribia siku zake za mwezi (menstruation cycle) huwa...
Napenda kujua kama kuna tiba au suluhisho kwa mtu mwenye tatzo la figo kuwa chini kuliko sehem inayotakiwa,mke wang anashida hyo na inampa maumiv makal sana hasa wakat wa tendo la ndoa.Figo yake...
Je, unajua kua mshtuko au Hofu iliyopitiliza ni ugonjwa na kua unatibika? Watu wenye tatizo hili huwa hofu kubwa wakati mwingine bila sababu; huhisi kama wanashindwa kufikiri vizuri; Wanashindwa...
Habari zenu,
kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia watu wengi wamekuwa na matumizi ya computers hasa maofisini kifaa hiki kinaweza kukuletea matatzo ya macho pia kuna wale wenye matatzo...
HABARI WAKUU WA JUKWA HILI...NINGEPENDA KUJUA KITU KUTOKA KWENU.kwa mfano mwanamke amefanya mapenzi siku ya kumi na tano.AKAAZA KUTUMIA vidoge vya majira familia kuazia siku hiyo..je ataanza kuona...
Kitaalam tatizo hili linajulikana kama INTERMITTENT EXPLOSIVE DISORDER (IED) na dalili zake ni
· hasira za ghafla zilizopitiliza (explosive outbursts of anger to the point of rage)
·...
Wanajamii habari za masiku?
Naomba mnisaidie hili tatizo ili niweze kumnusuru ndugu yangu.
Nina ndugu yangu ambae yeye ana hasira sana. Pia ni mtu ambaye huwa ni negative thinker, yaani endapo...
Habari zenu humu ndani. Naomba msaada wa kueleweshwa, mama mjamzito aliyeshauriwa kuzaa kwa operation kwa sababu mtoto hajageuka atapaswa kusubiri wiki ya 40? Au itabidi apasuliwe kabla ya wiki ya...
Jamani naumwa malaria tangu jumamosi na nimeenda hospital na kutibiwa kwa sasa nina nafuu kubwa tu. Tatizo lililojitokeza ni hili Jana jioni wakati naoga nikashangaa kuona kovu kama la kuungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.