Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

wana JF salam. naombeni kujua, ni sababu zipi ambazo hupelekea mtoto anazaliwa akiwa kawaida lkn kadri anavyokuwa, kichwa pia kinakuwa kikubwa hadi kuwa mzigo mzito kwa mtoto na wazazi. na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau naombeni kuuliza kuhusu HIV test. Ni kweli eti kwamba vipimo tulivyo navyo mahospitalini vinatofautiana kiuhalisia kama inavosemekana. Kwa mfano kuna Docta anasema kuna HIV determiner...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mitaani kuna miwani ya aina nyingi inayouzwa lkienyeji na watu wengi wamekuwa wakiinunua na kuivaa kama urembo au kupunguza makali ya miale ya jua. Kuna wengine huvaa pia ili watu wasiwatambue...
2 Reactions
0 Replies
9K Views
Sisikii Denguo wala Ebola kunani Tanzania ,au ndio haya magonjwa yameshatoweka au ilikuwa international game over Tz ,kila nikipima naona hii hali sasa hivi hatuioni si kwenye vyombo vya redio...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama ni dalili za ugonjwa ni upi na how to avoid it.Naombeni jibu
0 Reactions
7 Replies
14K Views
Baadhi ya maswali tuliyopokea, mengi yalihusu maradhi ya sunzua ambayo kitaalmu yanajulikana kama warts. Sunzua ni ugonjwa wa ngozi unaofahamika na wengi. Ugonjwa huu husababishwa na virusi...
1 Reactions
4 Replies
9K Views
Ndugu Zangu Wanadokta Wa Jamii Mi Nina Tatizo La Meno Yangu Kuoza Mawili Katika Taya Ya Juu Yananifanya Kuhisi Aibu Nichekapo Kwa Sababu Ya Weusi Wake Katikati Ya Meno Mahali Ambapo Pameoza.kwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
habar zenu wana jf, mke wangu ni mjamzito wa miezi miwili ila kinachonishangaza juu ya ujauzto wake ni kua, anapenda sana harufu ya mwili wangu na jasho lake, hivo huninusa nusa mfano wa mbwa...
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Leo nikiwa kwenye baa moja nilipata kusikia watu wakijadiliana mada ya matumuzi ya ARV na pombe. Waendesha mada walikuwa wanasema kwamba mtumiaji wa ARV anaweza kunywa dawa na baada ya masaa 3...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Mimi binfsi nina tatizo ambalo naona limeanza wiki moja sasa. Jino moja (Premolar)lilianza kulegea (linatingishika) lakini halina maumivu labda ulitingishe au nitumie upande huo...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Sijui kama Niko sawa wakuu naombeni Ushauri kabla ya kwenda hospital kwasababu siko sawa. Kama mwezi mmoja uliopita nilishikwa na tonses pamoja na homa kali sana, nilitumia dawa haikuchukua wiki...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari ya majukumu wana JF? Nina mfanyakazi mwenzangu wa kike tunafanya kazi ofisi moja. Mwanamke huyo ana tatizo la kusinzia mara kwa mara. Iwe ni asubuhi mara tu baada ya kufika kazini, iwe ni...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
Picha ya Kopyuta ikionyesha athari za Alzheimer Tatizo la kukosa usingizi huenda likawa ishara ya kutambua mapema maradhi ya kupiswa na akili au ''Alzheimer'' kwa mujibu wa utafiti uliofanywa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau natafuta gym maeneo ya kigamboni, mi naishi vijibweni.
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Madaktari wa uingereza wanatuelimisha na tafiti zao Sleep Naked to Beat Diabetes.......
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jambo bandugu? Nina shida mama watoto hapati ujauzito huu ni kama mwezi wa tatu sasa najaribu bila mafanikio. Naomba mwenye connection na dr yeyote mtaalam either anipe namba yake pm nifanye...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Habari wapendwa, Nakumbuka ilikuwa tarehe 14 ya Julai mwaka huu nilivyofanya vipimo baada ya kukaa muda mrefu bila kupata ujauzito, nilienda hospitali kubwa kama tano hapa Dar na nilionana na...
8 Reactions
70 Replies
11K Views
Sijiamini nimeamua kufanya Paternity test kimya kimya ila sijui utaratibu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ninaishi na mpenzi wangu ila tunaishi mikoa tofauti ila siombali sana maana kila wiki endi ninauwezo wa kwenda kumtembelea mpenzi wangu. Mnamo tarehe 30/09/2014. nilikuwa na safari...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sofia James Mwiga (17, pichani) ni mkazi wa Manispaa ya Mkoa wa Tabora nchini Tanzania anaishi na ugonjwa wa kuvimba miguu kwa muda mrefu hali ilinamfanye awe mpweke huku akishindwa kuanza shule...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom