Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wataalamu, Naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo, imewahi kunitokea kama miaka miwili iliyopita, uume uligoma kusimama wakati wa tendo la ndoa, hali hiyo ikadumu kwa wiki mbili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna wakat nilitokwa vipele kadhaa n vilipopona vikaweka uvimbe mgumu sana katika makovu,je unaitwaje,tiba yake ipi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
niliwahi kusikia kuna dawa au sindano unaweza kutumia ili usiwe na hamu ya kufanya ngono,nilikuwa naomben maelezo kama kuna huduma hii ya kuzuia kufanya ngono labda kwa kipindi fulani hivi,na ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
drs. msaada wenu hapo juu. mke wangu anatatizo la maziwa kuwa makubwa usikuu na mchana yanapungua, tatizo litakuwa nini
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari jamani, Naomben msaada mwenzenu korodani yangu moja ni ndogo mno mpaka napata tabu ninapokuwa na mwenza wangu.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Ndugu madokta naombeni msaada wenu... Mimi ni kijana wakiume mwenye umri wa miaka 22, urefu cm 176, kiuno inch 32 kilo 55 Mimi ni mwembamba sana kiasi cha jamii kunishangaa hata kudai mm ni...
1 Reactions
45 Replies
10K Views
ananiomba ushauri afanye nini juu ya tatizo hilo, wachache aliowaomba ushauri wamemwambia sababu yeye ni bonge hvyo inabidi apunguze mwili, lakini process hii matokeo yake si leo wala kesho, mimi...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Wakuu habar zenu natumai mko poa..naomba kueleweshwa km hii kitu inafanya kazi katika kupata mimba pindi ufanyapo mapenzi siku ya 3 au ya 4 kabla ya kupata period na ikiwa umeshaona dalili zote za...
1 Reactions
25 Replies
26K Views
Wakuu habar zenu natumai mko poa..naomba kueleweshwa km hii kitu inafanya kazi katika kupata mimba pindi ufanyapo mapenzi siku ya 3 au ya 4 kabla ya kupata period na ikiwa umeshaona dalili zote za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wandugu, ni miezi 7 tu iliyopita nilipata mtoto wa kiume na ndio mtoto wangu wa kwanza, sasa tatizo ni kuwa ana toa sana jasho, yan ukimlaza sehemu, baada ya muda unakuta ameshapalowesha...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habar zenu wanaJF, mi ninatatizo linanisumbua sana tokea zamani kama miaka minne iliyopita japo liliacha lakini sasa limeanza kurudi tena mala 1 moja, ni tatizo la kukosa nguvu mwili mzima usiku...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari waungwana.....ni hivi nina mtoto wa dada yangu ama umri wa mwaka na nusu,lkn ana uzito wa kilo kumi na nusu.Leo nimpeleka kliniki wanasema aongezewe lishe.lakini mtoto anakula...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye kujua,mzaz wangu anasumbuliwa na maumivu ya magoti,alienda hosptal akaambiwa fluid ya magotin imepungua akapewa dawa lakn bado,naomben ushauri
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wenzangu kwa muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza mbona sijawahi kusikia kama kuna ugunduzi wowote uliofanyika wa Tiba au Kinga ya Maradhi fulani hapa nchini kwetu!? Kama yupo Dr aliyegundua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza, Leo katika story na washikaji kuhusiana na maswala ya mahusiano, mapenzi na ngono kuna mshikaji ametuambia kuwa kuna njia mbadala ya kuzuia mimba na ameshauri kuwa pindi...
1 Reactions
25 Replies
38K Views
Madaktari bingwa wa JF.Naishi dar ila baridi ya siku mbili zilizopita hizi goroli zangu zilikuwa zinaniuma mpaka nikawa napata tabu kuendesha gari,ila leo joto niko safi tu!! Wakuu tatizo ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa uvimbe kama vile gololi nyingi nyingi kwenye epidydimis ambao hauumi. ni tatizo su ni kawaida. ni mwaka wa 6 sasa.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mara nyingi nimesikia mtu anaumwa ugonjwa WA kidole kuvimba na watu huita mdudu ambao wanasema hauna tiba.ningependa kujua mengi ya zaidi kuhusu huu ugonjwa
0 Reactions
0 Replies
3K Views
As it is currently Breast Cancer Awareness month we have created a quiz relevant to promoting breast cancer awareness. The quiz provides shocking facts on breast cancer that many people are not...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Habari wakuu, Naomba mnisaidie mawasiliano ya lecturer yoyote katika college of health chuo cha Dodoma Natanguliza shukraan..
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…