Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mke wangu alichunguzwa akaambiwa ana Endometritis akapewa sylate tabs 1x1 kwa siku 5 na cifran CT 1x2 kwa siku kumi ila tatizo halijaisha. Mke wangu alikuwa akiona damu siku 3 ya 4 anakauka ila...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Salama wana JF, napenda kujua ni kwa nini tunapiga mihayo kisayansi. Na ina faida gani kwa anayepiga mihayo kwenye mwili wake? Najua ni tendo lisilo hiari, but why?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani ndugu zangu nisaidieni.Paka amenikwangua kwa kutumia kucha zake damu imevuja sana sielewi nifanye nini maana nmewai kusikia kwamba Paka Ana sumu
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwanin wasiwe wanachoma mikononi kama wanavyochukua damu?? Au sehemu nyingine za mwili. Nachukia sana sindano za matakoni.
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Naomba msaada wadau wa afya ktk hili jambo. Kuna ndugu yangu wa kike alikwenda hospital moja manzese na kupima HIV. Majibu yakatoka positive, lakini aliyempima akamwambia akapime sehemu nyingine...
0 Reactions
11 Replies
20K Views
naomba yyt mwenye uelewa kuhusu hilo naomba anielekeze na ikiwezekana anipe na matatizo yanayoweza kutibika kwa matetere hayo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je Kuna madhara gani endapo Mwanaume mwenye blood group A- kuoana na Mwanamke mweye A-?? Na Je vipi kama wote ni A+??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niko Arusha. Mamaangu alisafishwa kizazi 2001,na 2010 akawa anaanahisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Akaenda kupima Seliani,akaambiwa anakidonda kwenye mfuko wa kizazi. Akapewa dawa...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Jamani msaada wenu tafadhali. NJana nilienda saloon kunyoa,sasa jamaa mashine yake ni kali mno na kwa bahati mbaya akanikata sehemu kubwa kidogo. Nikamuuliza mtu wa kwanza kunyolewa ni yupi...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
msaada wakuu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu. Mimi nataka kujua hiki kitu. Nimesikia wadada wawili wakiongea hapa nikaapo (nimepanga chumba) kuwa mmoja wa marafiki wa hao madada alifungaga mimba isikue. Yaani alipokuwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kwanza nianze kuwapongeza kwa ubunifu huu wenye tija, Sikujua kama kuna kitu kizuri kama hiki cha JF DOCTORS asanteni sana. Yupo mdogo wangu muda huu anastress na ningependa tumsaidie. Mke wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu mwanamke anaweza kupata mimba muda gan baada ya kujifungua ikiwa haoni siku zake? Kuna uwezekano wa kupata mimba ukiwa hujaingia kwenye siku zako?
0 Reactions
18 Replies
52K Views
Natafuta dawa ya vichomi. Nauguliwa na mzee wangu vichomi (60+ years old). Mzee amefanyiwa vipimo kadha wa kadha hospital ili kubaini chanzo cha vichomi vinavyomsumbua. Daktari amebaini ni...
0 Reactions
8 Replies
31K Views
Kabla sijaanza mazoezi nilikuwa na kilo 84 lakini cha kushangaza jana nimepima nimekuwa na kilo 85.5. Huwa nazunguka uwanja mara 15 na mazoezi ya viungo na kucheza mpira kila asubuhi lakni unene...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wanajamvi naomba mawazo na ushauri wenu, Nina mdogo wangu alichaguliwa kwenda masomoni tarehe 15/11/2013, hivyo ilibidi amuache mke nyumbani, ilipofika tarehe 25/06/2014 mdogo alitumiwa ujumbe...
0 Reactions
17 Replies
11K Views
mara nyingi nimeshuhudia wauzaji wa karanga wakipitisha mbili na za kukaanga na wengine mbichi na za kuchemsha na watu wengi hukimbilia za kukaanga/kuchemsha Nini umuhimu wa kila moja kwa...
0 Reactions
10 Replies
21K Views
mwanzon tulijua ni vidonda vya tumbo ila sasa amepima tena ameambiwa ana tatzo la mgongo ambapo anatakiwa apimwe zaid na kipimo cha MRI ambacho ni gharama mno. kama kuna dr mtaalam wa haya plzz...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Taking cold showers: a trend on the rise Taking a cold shower every day is beneficial in many ways, according to health and fitness experts. Taking a cold shower is usually seen as some kind of...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom