Habar wana jf naomba tumshauri huyu kijana.Ana umri wa miaka 20 ana tatzo la uso kama mzee hali hii inajitokeza akitembea juan au wakat wowote uso ujikunja ,akiinamisha uso chn misuri ya uso...
Naombeni msaada wenu wa mawazo wana jamii,
Nina girlfriend wangu ni mjamzito lakini mazingira ambayo ananiambia kuwa ana ujauzito ni tata,kwa maana kaanza period tarehe 13/8 na kumaliza...
Kuna taarifa kuwa Penis Ring inasaidia kwa wale ambao wana upungufu wa nguvu za kiume kwa kuzuilia damu isitoke kwenye ----- na hivo mtu kudisa kwa muda mrefu. Njia hii imekuwa msaada kwa wengi...
By Joanita Tushabe and Francis Kagolo
A new report by the Uganda AIDS Commission has revealed that the supply of condoms falls 45% short of the countrys need.
On the other hand, the report...
Kuna wanandoa waliokaa karibu miaka minne bila kupata mtoto iliyopelekea kugombana na kuachana lakini baada ya kila mtu kushika njia yake,yule dada alifanikiwa kupata ujauzito/mtoto na yule kaka...
Hapa Dar kuna sehemu nyingi tu ambapo juisi ya miwa inatengenezwa. Mazingira ya utengenezaji yanatishia usalama wa afya za watumiaji. Kiukweli ni kuna uchafu mwinngi kwenye maandalizi ya hii...
Wapendwa, naomba mwenye kunisaidia juu ya hili, mke wangu anatokwa na maji meupe mazito yenye rangi ya maziwa yasiyokuwa na harufu ukeni. Naomba kujua ni tatizo? Na kama ni tatizo basi ni tatizo...
Nahitaji msaada wa tiba,nasumbuliwa na kichomi mara kwa mara pindi hali ya hewa inapobadirika na kuwa na ubaridi ubaridi basi kichomi kinanisumbua sana hata kuinama siwezi kwa mda wa masaa 4...
Habari zeni wakuu, nina jirani yangu ana mtoto wa kiume ana umri 11, ni mnene uzito wake kilo 45, hali hii unampa wasi mzazi, jee njia ipi nzuri, ya kupunguza unene na uzito wa huyu kijana...
Nimetumia dawa nyingi sasa naona sina jinsi!
Mzizi mkavu aliwahi kusema humu kwamba ukinywa mkojo wako mwenyewe mara mbili kwa siku kwa siku7 madonda yanapona!
Nimeanza kunywa mkojo wangu leo...
Ndugu zangu,kuna wifi yangu amekuja kunitembelea amekunywa dompo akachanganya na konyagi sijui kama kuna vingine maana hizo ndo naziona.amelewa sana mpaka amezimia.mim si mnywaj so, sijui hata...
Mimi nina tatizo la kutokwa na uchafu mweupe wenye muwasho ni mwaka wa 12. Sasa toka tatizo hili linipate nimeshahudhuria hospitali, nimetumia dawa nyingi sana sindano ndio usiseme lakini huo...
Msaada rafiki yangu kanipigia simu analia alibreed tar 3-6 mwezi wa 8 akiwa Dodoma tar 7 na 8 akafanya mapenzi bila kinga mpenzi wake akamwaga ndani..leo hii tar 10 mwez wa 9 hajaona siku zake na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.