habari za majukumu wanajamii poleni na kazi. leo nataka tujulishane kuhusu faida ya hiki kinywaji,guiness kiafya..kutokana na tafti mbalimbali zilizofanyika mojawapo ni ile ya wisconsin...
wanajamii kuna tatizo linanisumbua sana hapa,ni hili suala la mimi kufananishwa sana nkikutana na watu mbalimbali,yani kwa siku inaeza tokea nafananishwa hata mara tano...napenda jua hii...
Habari wana jf. Yani nina tatizo la kukosa kujiamini. Hata kwenye mazungumzo yangu hasa kwa watu ambao siwafahamu.Hata shuleni kama natakiwa kufanya presentation inakuwa ni shida. unakuta kitu...
KAMA UNASUMBULIWA NA MATATIZO HAPO CHINI NINGEPENDA NIKUSHAURI UTUMIE KIRUTUBISHO HICHI KINACHOTENGENEZWA NA KAMPUNI YA FOREVER LIVING KIMEWASAIDIA WENGI SANA DUNIANI UNAWEZA PIA UKA GOOGLE FOR...
Habari wana jamvii.....nina shemeji yangu alianza kuongea vitu visivyoeleweka (maluweluwe) ijumaa iliyopita na kulamimika kuwa ana uchovu sana.
Dada yangu (mkewe) alihisi ni gea tu yakukwepa...
AFYA YA MWANAMKE NA UKE
Utafiti wa shirika la Afya Duniani (WHO) umebaini kwamba matatizo ya afya ya ndani ya mwanamke na maambukizi ya maradhi ya sehemu za siri kwa wanawake (gynocological...
Habarin ndugu zangu.........
Nataka kujua hii iko vip, inasababishwa na nini, na nin madhara yake bila kusahau tiba yake.
Nina jirani yangu ana mtoto wa mwaka mmoja na miez tisa anasumbuliwa...
Mdogo wangu ni mjamzito 5 month ila kila siku analalamika tumbo linajaa gesi na anaweza kukaa week au na nusu hapati choo.
Anakula vizuri bila shida ila hizo gesi ndio zinamsumbua na choo ,Naomba...
Ugonjwa wa Ebola umekuwa chanzo cha wasiwasi na uvumi. Vipi mtu huweza kuepuka kuambukizwa na ugonjwa huo? Na hatua gani aichukue akikutana na mgonjwa? DW imetafuta majibu ya maswali haya na...
Ni hivi nina umri wa miaka 23 lakini uzito wangu ni kilogram 86 uwiano wake ni mkubwa kupita na naogopa usije kuniletea madhara
Na nilikuwa nakuombeni mnitajie vyakula vya kuacha ili nipungue...
Niko ninafanya online research kwa nini watu hawaelewi darasani. Kumbe kuna ugonjwa unaitwa 'attention deficit hyperactivity disorder (ADHD)'
Kama umechoka kuburuza mkia, au una mtoto haelewi...
Poleni na shughuli wote kama mtaguswa na tatizo langu mie sina raha hata kidogo tangu nilipotairiwa mwaka jana tarehe 26 .10 badaye nikapona ila nikambiwa nifanye mapenzi baada ya miezi 3 kwa...
Increase seen in people with certain abnormal heart rhythms, study finds.
Digoxin is made from extracts of the foxglove plant, also called digitalis, and has long been a standard treatment for...
Naomba msaada jamani,
Mtoto wangu ana mwaka 1 na wiki3 anaumwa U.T.I doctor akamuandikia CHROLOCIDE CHROLAPHENICAL siku ya tatu Leo toka aanze dozi amepata nafuu kidogo ila Analia sana na tumbo...
Wakuu nimekumbana na hii post sehemu flani nikaona niiweke hapa pia. Binafsi sijui kama uke unatofautiana na kuwanyima mabinti amani kiasi hiki!
Huyu dada hapa anatiririka, "Hi dada dinah...
wanajamvi naomben mnielekeze vyakula ama dawa ambazo zitaweza kunisaidia kupunguza mafuta ktk mwili wangu, maana nmeambiwa na mafuta mengi sababu ya kutokwa na vitu vyeupe kwenye matundu ya...
Kijana mmoja amefariki kwa sababu ya kumeza dawa aina ya panadol. Baada ya kumeza dawa hiyo ya panadol tu alikunywa soda aina ya 7up, na akafa hapohapo.
Baada ya kuchunguzwa na wataam kifo chake...
Jamani mwenzenu ninatabia ya kutafuna midimo kwa maana ya lips hasa ya chini! Tabia hii siipendi ata kidogo inafanya midomo yangu inakuwa miekundu kama najunywa pombe. Huku ata pombe sijui radha...