Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari ya jioni hii wakuu, Naomba ushauri na mchango wa mawazo. Ninaujauzito wa miezi 6, niimepatwa na ugonjwa wa kifua kubana na ninakohoa sana. Sijawahi kubanwa kifua kabla. nateseka sana hasa...
0 Reactions
7 Replies
19K Views
Ndugu zangu wana JF naomba kujua nini tatizo kwa mwanamke kutokwa na damu kila anapofanya tendo la ndoa. Ukiangalia inakuwa sio mchubuko wala sio kuwa yuko period, unakuta tu uume ukiingiea...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tafadhali nisaidieni, juzi usiku nikiwa na maumivu makali ya kichwa nilikunywa diclopr 3 at once. Kwa bahati mbaya, jana jioni nikaanza kuumwa kichwa na...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Mji wa Mimba Mbegu toka kwa mwanaume Mbegu ya mwanaume haiwezi kukua na kuwa mtu bila processing ndani ya lab ya mwanamke Mwanamke ni laboratory kuu ambayo inafanya uwepo wetu utokane na overy...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Eti wakuu ni kweli mwanamke akiwa mwembamba sanaaa, au mnene sanaaa anakuwa katika hatari ya kushindwa kubeba mimba? Nini sababu yake?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwanangu anamiaka 2 nikimchapa au akikasirika akalia lazma atapike hata kama alikula Massa 6 yaliopita.sasa sijajua ni tatizo.hasira au nyongo imechafuka
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninajua mimi sio wa kwanza pengine kuna watu wengine humu mmesha expirience tatitzo kama la kwangu au inawezekana humu kunawataalam wanaoweza kunipa picha kidogo kabla sijaenda hospitali kubwa...
0 Reactions
26 Replies
13K Views
Msaada wataalamu, Ukeni kunauma kama kunawaka moto hivi hasa wakati wa kufanya mapenzi na hata baada ya kumaliza, kila aina ya vipimo nimefanya sijapata ugonjwa wowote. Sasa inawezekana kuna...
2 Reactions
84 Replies
24K Views
WanaJF habari zenu, ni miaka kadhaa tangu nioe lakini najishangaa nilivyo kwa sababu ninauchu sana wakufanya mapenzi yani mpaka mama watoto ananiletea noma. Anasema nimezidisha maana kam ni amri...
1 Reactions
65 Replies
10K Views
Je, unajua Hydatidosis? Kwa kifupi ni ugonjwa unaomuathiri binadamu na wanyama tunaowafuga kama ng'ombe, kondoo na mbuzi. Ugonjwa huu huathiri zaidi maini, mapafu, moyo, bandama na wakati...
1 Reactions
4 Replies
10K Views
Natanguliza shukrani, Kitaalamu na kiafya uume kuwa mdogo sana kamawa mtoto mdogo ukilala lakini ukisimama inchi nane. Je hii ni hali ya kawaida ndugu zangu? Msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
12K Views
WHO update on dengue outbreak in Tanzania, Situation as of 30.05.2014 This is an update on the confirmed dengue fever outbreak notified to the World Health Organization by the Ministry of...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna mdada wa miaka 18 Ambaye amejifungua binti anaeitwa Maryam kwa bahati mbaya sana mtoto Huyo alipozaliwa hakua na sehemu ya kutoa choo kikubwa hali ya kwamba sehemu hiyo imefunga. Kwa ujuzi...
5 Reactions
76 Replies
7K Views
Hili swali limekuwa likinisumbua sana tangu nilipojifungua maana karibu watu wote wanaonizunguka huniambia kuwa sasa nitaanza kunenepa. Je, jambo hili ni la kweli? Au kuna uhusiano gani kati ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanna jf nina ndugu ameathirika Leo asubuhi amekuja Kwangu nilivyo muona amebadilika ametokwa na upele. Msaada naoutaka ni sabuni gani na mafuta ambayo anaweza tumia akakausha upele.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hello, huwa nikiwa mara nyingi kwenye mtihani alafu ticha akasema zimebaki dakika kumi na sijamaliza pepa huwa mapigo ya moyo huenda mbio alafu napiga bao. Yani huwa nashindwa kujizuia kabisa na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naombeni kujua dalili za kichocho ni zipi jamani?
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Iko hivi, kuna mgonjwa aliandikiwa artesunate inj, lakini ilikosekana na badala yake akapata artemether inj. Nesi alikataa kumchoma eti hiki ni kitu kingine kabisa na walifundishwa na wizara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba mwenye ushauri please nimejikuta nakosa usingizi yaani ikifika saa kumi mara nyingine hata saa 9 najikuta usingizi wote umeisha na sio kwamba sikuchoka. Nafanya mazoezi ya kutosha ili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je ulijua kama Kondo la Nyuma au "Placenta"?Baadhi ya wanawake wanakunywa maji yaKondo la Nyuma saa chache baada ya kujifunguaHugeuka kuwa uchafu pindi mamaanapojifungua , sasa kwa nini baadhi...
0 Reactions
81 Replies
19K Views
Back
Top Bottom