Habari wapendwa, mimi nina mpenzi wangu ambaye amenijulisha kuwa ana mimba yangu hivi majuzi baada ya kwenda kupima, kwani alikosa siku zake.
Mimi nilifanya naye mapenzi bila kutumia kinga na...
Natanguliza shukrani wana Jf...ninatatizo ambalo wengi wamekua wakilijumuisha kama vidonda vya tumbo...dalili ni kujisikia kichefuchefu..kiungulia..maumivu nyuma ya mgongo..mwaka jana nilipima...
Hello, mshipa wa damu wa kichwani kwangu upande wa kushoto karibu na utosi unanitia mashaka kwa maana nahisi damu kupita hapo kwa pressure kubwa mpaka nasikia mshipa ukitikisika.
Inanitokea kama...
Nina mwezi wa nne sasa nahisi kama naungua sehemu za siri mpaka mapajani, nimewaona madoctor nimetumia karibia antibiotic zote lakini moto kama unazidi.
"Eat breakfast!" nutrition experts have been telling us for decades. It revs your metabolism! It keeps you from overindulging at lunch! It helps you lose weight!
But a new study suggests the...
Wakuu habari ya majukumu. nimetoka kumaliza dawa za typhoid dozi ya siku tano, dawa aina ya ciproflaxin, swali langu ni, je ni baada ya mda gani naweza tumia kinywaji(bia)? nina siku ya 10 tangu...
Takribani miaka 8 nimekuwa nikikabiliwa na tatizo la kuongezeka uzito wa Kg 2.125 kwa mwaka. Uzito wangu wa kawaida ulikuwa ni Kg 75, hadi kufikia April,2013 nilikuwa na Kg 92 ambazo ni ongezeko...
Tanzania inaungana na nchi nyingine duniani katika kupambana na ugonjwa wa malaria pia kuhamasisha uelewa ili kukabiliana na ugonjwa huu unaoongoza kwa kuua watu wengi.
Wataalamu wa afya...
Habari wakuu,mimi na mke wanug tupo kwenye ndoa kwa takribani miezi saba sasa.Tunauhitaji wa kupata mtoto lakini kwa bahati mbaya Kuna jambo ambalo limekuwa linatutatiza kidogo.
Mzunguko wa hedhi...
Mambo
Jamani wanaJF nisaidieni mimi uume wangu umekuwa na vipele vigumu vyeusi havitoi maji wala chochote vinakwazuruza tu nimenda kupima hadi ngoma hakuna kitu sasa nashidwa kijielewa nisaidieni...
Wana jf.mi ni mwanaume Nina ------ makubwa utafikiri dem et. mpaka najisikia vibaya nikichomekea ninavyotuna nyuma.
Nawaombeni ushauri nitumie dawa/mazoez gani I'll angalau yapungue?
Wanajamvi naomba ushauri wenu mimi sijaoa umri wangu ni miaka 27, tatizo langu ni uume wangu kulingana kama wa mtoto mdogo ila nikija kugegeda ndo unatoka na kuwa wa mtu mzima kitu kinacho...
Habari wana Jf,
Napata taabu sana inapofikia muda wa kufanya zoezi la usafi kunyoa makwapani na sehemu za siri napata muwasho sana. Nimejaribu kutumia aina tofauti za nyembe.
Mashine za kunyolea...
Mimi ni kijana mdogo miaka kama 25 hivi, ila mpaka sasa nina mvi kuanzia kwenye ndevu hadi kichwani. Sitaki kujali sana juu ya hili ila nahitaji tu kufahamu hii inasababishwa na nini?
Na pia...
Nguvu za kiume ni hali ya mwanaume kuimiri ushiriki tendo la ndoa kwa kiwango stahiki,
Kwa nini nguvu za kiume zipungu;
Kuna mambo kadha wa kadhaa yanayoweze kusababisha upungufu wa nguvu za...
Ndugu
Kuna kakijana kangu kana miezi 7 sasa, aliwahi kunyolewa mara moja tu tangu amezaliwa akiwa na kama mwezi mmoja baada ya apo ukuaji wa nywele umekua wa kusuasua sana.
Kwa sasa zimeota ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.