Nina mtoto ana miaka mitatu sasa bado hajajua kuongea vizuri nishampeleka hospitali kwa uchunguzi hakuonekana na tatizo ila matamshi yake yananipa utata sana anapotaka kusema bye anasema tai...
Mimi ni kijana wa miaka 32,nina mke,Tatizo nililonalo nashindwa kuacha haka kamchezo kwan hata nikilala na mke wangu hua haitoshi,kila siku lazima nipige mara mbili yaan asubuhi pia na mda wa...
Habari zenu wanajukwaa.
Naomba kujuzwa jinsi ya kutumia kalenda kupanga uzazi. Kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 usiobadilika badilika.
NAWASILISHA MADA
Madokta hili tatizo linamsumbua huyu dada kwa mda mrefu sasa umri wake ni miaka 20 mara kwa mara hupatwa na maumivu makali chini ya kitovu, hasa anpokaribia hedhi katumia dawa nyingi za hospitali...
Habari za leo?
Wadau nependa kushare nanyi hili tatizo ninalopata mwenzenu la kunyimwa UNYUMBA na mwandani wangu kisa homa ya Dengue.Mke wangu ni mama wa nyumbani lakini yeye muda wote hufaa...
Naombeni msaada wenu nina tatizo la upungufu wa mbegu za kiume na nilikwenda hospitali ya rufaa mbeya nilifanya vipimo na ningependa kuweka hapa ili kama naweza kupata msaada toka kwa watalaam...
Wanabodi natumain kuwa hamjambo na weekend imeanza vyema. ni muda mrefu sana toa mada hapa jamvini lakin leo naona nimesukumwa sana tuzungumze zaid juu ya ugonjwa wa Kisukari ama Diabetes...
Wadau naomba kujuzwa hasa na wataalamu wa afya za binadamu, kuna bia aina mbili ambazo vizibo vyake vimefungashwa na makaratasi kuzunguka mdomo wa chupa.
Je, karatasi hizo hazina madhara kwa...
Iwapo itatokea una kila dalili za homa ya dengue, dawa ya kukimbilia kwanza ni Panadol; inashauriwa usimeze KABISA Diclopar wala Diclofenac. Iwapo utameza dawa hizi, utakuwa kwenye uwezekano...
Niwasalim kwa heshima zote..
Nina karibu miaka mitano (5) nimekua na tatzo la koo kuwasha na kunifanya nikohoe kila wakat...
Kikohoz hua kinazid nnapokua kwenye maeneo ya barid (kwa mfano sehem...
Habari madaktari wa jf.. nina mdogo wangu (miaka 10) anapenda sana kutafuna mchele ambao haujapikwa,nikimkataza anarudia tabia yake tena kwa siri,naona kashakuwa addicted na hii kitu, je madhara...
Habari ndugu zangu watanzania! Kwa muda sasa nimechunguza na kugundua kwamba wengi wetu tunatumia vibaya dawa kwa ajili ya matumizi mbalimbali kwa afya zetu. Taarifa ni kwamba hii tabia ni hatari...
Ni kuusu hizi machine za ceragem zinazo tibu magonjwa mengi kwa mtu kuingia kwenye mashine na kukaa dakika chache eti zina madhara gani kwa binadamu, na pia azina mionzi yoyote kama madhara...
Sabuni pia zinasemekana kuwa na kemikali zinazoathiri mbegu za wanaume
Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hutumiwa kila siku kama vile dawa ya kusugua meno, sabuni na mafuta ya...
Kuna uwezekano matiti ya wanamke mwenye miaka 20 , yakaendelea kukua au ndo mwisho hapo? Jaman huyu mtu chuchu zake ndogo sana mpaka avae nguo nyepesi ndo utajua nae ana matiti.
Nauliza hivi kwa...
Utangulizi
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya mwenendo wa ugonjwa wa homa ya dengue yaani dengue fever hapa nchini.Ugonjwa huu umethibitishwa baada ya...
Kemikali zinazopatikana katika baadhi ya bidhaa ambazo hutumiwa kila siku kama vile dawa ya kusugua meno, sabuni na mafuta ya kujikinga kutokana na miale hatari ya jua zinaweza kuharibu mbegu za...