Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mwanamke mwenye jinsia zote mbili, je anaweza kuzalisha ?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Ikiwa mlengwa ni mnywaji wa vinywaji vikali, km konyagi,na bia ni ipi njia ya kuondoa sumu mwilini itokanayo na vinywaji hivyo km mlengwa ameacha matumizi ya vinywaji hivyo kabisa?
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Nini chanzo cha UKE KUWA MKAVU na Njia za kutibu tatizo hilo??
0 Reactions
0 Replies
593 Views
.............
0 Reactions
8 Replies
2K Views
.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hi jf members, mke wangu ana mimba ya miezi minne (4), mwa lakn tumbo linamsumbua sana chini ya kitovu muda mwingine pembeni mwa tumbo, je ni hali ya kawaida kwa akina mama? Je ni dawa gani...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Tatizo Langu Ni Kuwa Na Uvimbe Mdogo Kwenye Koo Ambao Nime Dumu Nao Kwa Muda Mrefu Na Isitoshe Hauja Wahi Kuniletea Matatizo Yoyote Mpaka Sasa Kama Kuuma Nk Naomba Msaada Wa Kujua Kiundani Tatizo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, nina tatizo la kutopata mtoto nimechekiwa kizazi hakina tatizo halafu hedhi yangu inabadilika sana namaanisha tarehe.Tunahisi labda fallopian tubes zimeziba na ninavyosikia kusafishwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Where did HIV come from? Scientists identified a type of chimpanzee in West Africa as the source of HIV infection in humans. They believe that the chimpanzee version of the immunodeficiency...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sory wadau,eti ni kweli kwamba kilevi aina ya bia kina faida kiafyamwilini!!?
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Wana jf niokoeni mwenzenu tumbo linajaa sana gesi hadi muhimbili nimefika lakini wapi!imefikia hatua kila chakula nikila tatizo linaanza,tumbo linajaa halafu linaunguruma na kuninyonga. Niokoeni...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naomba ushauri kwenu wataalamu wa masuala ya tiba. Nina ndugu yangu mwanamke ambaye amekuwa na matatizo ya kuumwa na miguu (feet) kwa muda mrefu sasa. Tatizo hili lilianza mara baada ya...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Naomba kujuzwa na wanajf sababu za baadhi ya wanawake wanapopatwa na siku zao huugua sana tumbo mpaka kuishiwa nguvu na hata wengine kupelekea kuzimia.
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Tatizo nina uvimbe mdogo kwenye kon ambao nime dumu nao takriban miaka minne sasa Lakini haupungui wala hauzidi isitoshe bado hauja wahi kuniletea matatizo yoyote kama vile kuuma Nk. Kwa hiyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
FAIDA YA KUNYWA MAJI YA HINNA MBICHI TIBA KWA MARADHI MENGI TU JAMANI TUMIENI FAIDA HIYO MUSIENDE KUTUMIA VIDONGE VYA KIZUNGU TUMIE DAWA ZA KISUNNA ZINA FAIDA NYINGI TU JAMANI. ukinywa maji ya...
3 Reactions
12 Replies
22K Views
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jf doctor. Tafadhali naomba msaada wa dawa ya kichomi.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wapenwa mi nna ujauzito wa miezi minne tatizo nilonalo ni kwamba naenda haja ndogo mara kwa mara hasa usiku na nikiuhisi tu mkojo nakua navimba chini ya kitovu na kuuma kidogo ila...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Nijuzeni ndugu.
0 Reactions
5 Replies
917 Views
habarini za leo wakuu, Kuna mtoto wa dada yangu ameumia akiwa anacheza na wenzake, hajaumia ndani ya jicho lakini damu zimevilia kwa ndani, anaona vizuri lakina tatizo ni macho yote mekundu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…