Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wadau, niko wilaya ya Masasi Mtandi niliyoyapata tangu jana na hata asubuhi hii nimeona vyema tugawane kwani kitamu kula na mwenzako. Panya ni kitoweo kinachoheshimiwa sana na wamakuwa na...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Naomba mnisaidie nina ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu,alienda hospital akapimwa akakutwa na uvimbe (fibroid) akapewa dawa lakini maumivu yakawa palepale baadae...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo,naombeni msaada wenu hapa mpenzi wangu alianza kuona period isiyo rasmi(alikuwa anaona damu ikitoka vidoti vidogo vidogo kwa mda wa siku 3 kuanzia tar 29/03/2014 mpaka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Karibuni ! Natural penis enlargement exercises are a time honored practice that can be customized to address your particular area of concern. Remember, your result can be maximized with libido...
1 Reactions
21 Replies
10K Views
In a north London hospital, scientists are growing noses, ears and blood vesselsin the laboratory in a bold attempt to make body parts using stem cells. It is among several labs around the world...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
10 Important Nutrients Every Woman Needs Everyone’s nutrient needs are not exactly the same. While most people benefit from the same vitamins and minerals, a woman’s needs can be a little...
1 Reactions
6 Replies
10K Views
Kabla ya natanguliza shukrani zangu kwa ushauri ninaoupata mara kwa mara ndani ya majukwaa mbali mbali ya jamii forum Tafadhali kuna tatizo linalonisumbua la kukoja mkojo wa kawaida kila...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ANGALIA PICHA MAMA ALIYECHOMA SINDANO YA KUKUZA MAKALIO HATIMAE IKADHURU Apryl Michelle Brown, 46, mother- My quest for the perfect bottom left me with NO LIMBS': Mother's botched...
0 Reactions
19 Replies
18K Views
Habari wakuu kuna sehemu nimezsikia hizo food supplmentary ,sasa nilikuwa nauliza hivi hazina madharan yeyote kweli ? Kwa sababu uzito wangu upo chini so nahitaji kuongeza uzito kidogo then...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naombeni mnipe msaada yaani kuna ndugu yangu anaumwa yaani mwili wake unakuwa wa moto(kuwaka moto na sio kuwasha).
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mke wangu mwezi wa tatu haoni siku zake baadatu ya kujichoma sindano za kuzuia mimba ,naomba kujua kunamadhara ?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwenu wana JF, Nimekua nikitokwa na vipele kama vijipu uchungu kwenye mapaja yangu kwa musimu,yani kinaweza kutokea kipele kimoja au viwili,kikitokea eneo lilipokizunguka panakua pekundu baada...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za jioni ndugu zanguni?,Nina mzee wangu anasumbuliwa na magonja ma2 kwa wakati m1, magonjwa yenyewe ni kisukari na madonda ya 2mbo naombeni anae faham dawa anisaidie hata ya kienyeji make...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wadau naomba kujuzwa juu hili tatizo kwa watoto,mwanangu ana mwaka sasa lakini utosi wake bado haujafunga na mara nyng panavodunda sn analia sana,sasa cjajua kama hii kitu ni kawaida au ni...
0 Reactions
1 Replies
36K Views
Habari wanajamvi, Nina kijana wangu ana miaka 8 mpaka sasa ananyonya kidole sana mpaka akilala, nimejaribu kumkataza sana, hana dalili ya kuwacha, nikawa namchapa ninapomuona ananyonya! lakini...
0 Reactions
36 Replies
13K Views
HABARI ZENU WANA JF; Husika na kichwa cha habari hapo juu kama unafahamu au ijua dawa ya haraka ya maumuvu ya goti unisaidie jina lake niitafute,ila ukumbuke haya maumivu hayaja tokana na ajari...
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Guys salama jamani,nina mtoto wa dada yangu ana miaka 2 lakn mpaka sasa hajaanza kuongea,je tatizo lake ni nini
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunaotoa huduma ya tiba kwa maelekezo ya mazoezi ya mwili, mpangilio wa chakula na miti dawa ya asili,, Magonjwa tunayotibu ni vidonda vya tumbo ( Ulcers) maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kila nikiendaa kwake,rafiki yangu hakosi vidonge vya typhod. Ikitokea mpenz wake anakuja,jamaa humeza vidonge hivyo. Nilimuuliza kwann kila wkt hunywa vidonge hivyo,ndo tuseme yy typhod...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Back
Top Bottom