Mkaa wa mianzi ni mashuhuri sana katika shughuli mbalimbali za kitabibu, wenzentu katika nchi wanazothamini tiba asilia wamekua wakiutumia mkaa huu katika shughuli kama kuua nguvu ya sumu...
Mwanamke anatumia njia ya uzazi wa mpango ya sindano (ya miezi mitatu) ila tangu apate hedhi yapata mwezi sasa bado anavuja damu tu.
Tatizo ni nini na nini kifanyike?
Natanguliza shukurani...
Matiti kutokwa na majimaji na wakati mwingine kunakua na kama kuna maziwa hajawahi toa mimba wala hajawahi nyonyesha amekua na tatizo hili kwa mda mrefu tangu 2008 mpaka sasa bado,amejaribu...
Nilisoma humu namna ya kutibu maumivu ya kichwa kwa njia ya asili basi baada ya maumivu ya kichwa kunianza jana nikafuata ushauri wa tiba asilia kama nilivyosoma humu huku nikiamini...
I thought this was interesting to share!!!:thinking:
Every one of us suffers from forgetting things from time to time, and it's perfectly normal. Scientific studies have established that perfectly...
Wana Jf ili uishi maisha marefu fanya yafuatayo
1.fanya mazoezi ya viungo
2.kunywa maji ya kutosha safi na salama
3.tumia mboga za majani na matunda kwa wingi
4.tumia kwa wingi nafaka zisizo...
Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe
pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma.
Jenga tabia ya kufanya mazoezi: Mwili wenye...
kwa nini wanawake wengine wa moto wengine wa baridi hasa sehemu za siri na kuna ukweli wowote kuwa wanawake wenye maziwa/matiti madogo ni wa baridi sana? kama ni kweli ni nini tiba yake.msaada jamani
habarini za asbuh madoctor!, nina dada yangu mwenye tatizo la sikio la kulia anajiskia kama kuna kitu kinamuumiza alaf ukiangalia skio kwa ndani unaona kama mdudu flan ama kupe ndogo, kiroboto au...
Wanajamvi kumekua na imani tofauti katika jamii zetu,moja ya imani hizo ni mama mjamzito kuzaa mtoto mchafu endapo ataendelea kufanya mapenzi katika miezi ya mwishoni kuelekea kujifungua,naombeni...
Habari zenu.
Wadau, mafuta ya nguruwe yana chembe hai nyeupe ambayo yakitumiwa vema basi huweka kinga ya kutosha mwilini.
Unachotakiwa kufanya ni kuchemsha mafuta ya nguruwe na kuweka kitunguu...
wakuu, ni natumaini kuna wataalamu wa kila aina hapa. Hivi karibuni nimekuwa kijisikia mabadiliko Fulani Mara tu nitumiapo Tangawizi iwe kwenye nyama au Kitu chochote hata soda. Nilimtumia...
Kipindi cha 18 Matatizo ya Kiafya ya Kawaida wakati wa Ujauzito
Utangulizi
Katika kipindi hiki, utajifunza kuhusu matatizo matatu ya kawaida ya kiafya wakati wa ujauzito na athari zake kwa afya...
Tatzo hili limegawanyika ktk makundi mawili,kundi la kwanza kitalaamu huitwa"PRIMARY INFERTILITY".Ni kundi ambalo hujumuisha wanawake ambao hawajawa kubeba mimba yoyote ktk maisha yao.Kundi la...
Haloo wana jf, nimeolewa ila nimetafuta mtoto na mume wangu naona majibu sio. Sasa tunataka kwenda hospital tukaangalie tatizo ni nini. Mwenye kujua hospital au daktari ambaye tunaweza kumuona...
Jamani mwenye dawa ya meno anisaidie. Nina umri wa miaka 48 nimeshatoa meno manne na mengine yanauma. Naomba ambaye anajua dawa ya meno ya kuzuia meno yasishambuliwe na wadudu anisaidie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.