Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nawasalimuni nyote... Niwakati mwingine tena napenda kuwashukuru wana JF wote mlio changia ule uzi wng "Je namna hii naweza kupata mimba?" kwa kweli nilikua naumia kwakua nilikua natafuta mtoto...
24 Reactions
75 Replies
11K Views
Habari za muda huu washika dau, ninashida na dawa petnesol,ear,eye,drop ambayo nimejaribu kuitafuta bila mafanikio, yeyote anayejua wapi naweza kuipata naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wkuu! Jamani mimi na mke wangu tumebahatika kupata mtoto wa kiume tarehe 5 ya mwezi wa pili mwaka huu ambapo mpaka sasa anatimiza mwezi mmoja. Tatizo tuliloanza kuliona kwa siku 4...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Jamani mwenzenu kuna tatizo limenianza hivi karibuni nahisi ninaumwa. Ni kwamba kila ninapohisi kwenda haja ndogo nikiibana kidogo au kwa bahati mbaya nikikuta kuna mtu masalani nikalazimika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumaini kuwa muu wazima wa afya njema wanaJF!kama unatatzo la figo linakusumbua kwa mda mrefu au umepimwa ukaambiwa kutolewa!USTOLEWE!!!nina dawa inayotibu matatzo yote ya figokwa100%.Ni dawa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni yeyote ambaye anawezakuwa na uelewa juuu ya tatizo la uvimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanamke! husababishwa na nini?, madhara yake ni nini na nini chaweza kuwa suluhisho la tatizo? na...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Wakuu, kuna dada mmoja hapa mtaani anasumbuliwa na tatizo la kushindwa ama kukosa kabisa hamu ya kula nyama (wanyama/ndege wanaoliwa) iwe ya mbuzi, kondoo, ng'ombe, nguruwe, au kuku etc. Tatizo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie faida za ubuyu kiafya, na je ni vizuri kutumia ubuyu wa rangi? ================================================================================== Baobab Benefits...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Nisaidieni wandugu, Hivi mwanamke akijifungua kwa kisu, then akabeba mimba after operation aweza kujifungua kwa njia ya kawaida? - How long inashauriwa abebe ujauzito mwingine? Please help me in...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Kila kitu kinaitaji uwelewa na usanifu {art and knowledge} hata kujenga mahusiano yenye afya bora unaitajika kuwa na uwelewa na sanaa ya mausihano. Kuanzia kuuelewa mwili wako, nambinu za kufanya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa Wale wenye Ugonjwa Wasiwasi na dhiki ya moyo hauna raha kwa ajili ya kitu fulani unakitaka lakini hupati pendelea kula ndizi ndio Dawa itakuponyesha kutwa mara 3 Asubuhi mchana na usiku...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu,Hivi ni muda muafaka unafaa kumtaili mtoto? Tafadhal
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Nawasalimu wadau wote wajukwaa hili ambalo limekuwa msaada kwa watu wengi ikiwemo mimi na niwapongeze kwa kazi nzuri mnayoifanya, Hivi karibuni kumejitokeza wimbi kubwa la dada zetu kuvutiwa na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi nina tatizo la kisukari. Toka ijumaa najisikia vibaya nasikia kutapika mwili hauna nguvu, natokwa na jasho, kizunguzungu na kuchoka. Nimeenda hospitali nimepima malaria sina, mkojo sina...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimesikia mara nyingi ikitokea mtu ana tatizo la figo moja inaondolewa na kutafutwa nyingine ya mtu mzima ili awekewe. Je, kama huyu mgonjwa figo yake moja imeshindwa kumsaidia, yule anayetoa figo...
0 Reactions
2 Replies
976 Views
Due to square financial constraints, I have thought of donating my kidney on sell basis. Am in Tanzania.I have learned that it is not easy to sell it due to some legal prohibitions and ethical...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Habari wajuzi wamambo hasa wataalam katika tasnia hii ya Biolojia(biology).kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa kuna binadamu wanaozaliwa wakiwa na jinsia mbili ila sikuwahi kuliamin hilo hata...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu. ... Just nauliza tu, jee nikawaida mtu kutokulala mchana? (baada ya kuamka asubuhi hadi usiku) ... Nakumbuka kuna kipindi niliumwa sana, hali hiyo ilipelekea nikae kitandani...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
CHESTNUT (also called sweet chestnut and marron, the Latin word is Castanea sativa Mill.) The nutritive value of the chestnut is familiar for us, the people, even a long time ago, centuries...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…