Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

hallow wana jf doctor! nimekua nikitamani kupata mtoto lakini sioni mafanikio na jaribu kuvizia zile siku lakini wapi mda mrefu kila akimalza cku zake na hesabu zile siku14 lakini wapi . je kuna...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
nimekua nikitokwa na viupele kila ninaponyoa ndevu,naomba ushauri wenu kwani nimeletewa magic powder naogopa kuitumia nisije nikapatwa na janga zito!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mdogo wangu ni mjamzito anakaribia 7month nw..juzi kaenda clinic akacheki ultrasound dr akamuambia mtoto hajageuka amelala kiupande ...akamuambbia arudi after 6 wks amcheki tena kama atakuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani kifua kinabana hadi naishiwa nguvu kabisa hasa kipindi cha baridi, nimejaribu dawa za hospitali bila mafanikio. ushauri na msaada wenu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu daktari na Wadau wengine wenye ufahamu wa jambo hili, ama mambo mengine ya afya ya uzazi naomba kufahamu, Ugumba kwa wanaume hasa ni kitu gani kwa kuzingatia yafuatayo: utajuaje kuwa ni...
0 Reactions
5 Replies
16K Views
Nasumbuliwa na sikio ambalo linanifanya nijisikie vibaya pia linapelekea kuuma kwa kichwa kutokana na kuvutika kwa misuli ya sikio hlo. Isitoshe limeziba kabisa (halisikii chochote). Je nitumie...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
karibuni sana wadau! chakula chetu hiki!
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Kuna mtanzania analalamika sana,anadai anakiupele (kama jipu) kwenye uume wake,eneo la katikati kati ya Korodani na kichwa,in between. utakua ni ugonjwa gani kwa wataalamu wa afya.
0 Reactions
40 Replies
10K Views
Habari wana jf nawaombeni ushauri ndugu yangu amepata ajali ya pikipiki na bahati mbaya kwenye goti amepasuka vipande viwili vya ndani (knel cap) kwa mujibu wa x-ray, yaani kwenye ajali alipiga...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jambo wana Jf Kuna matatizo ya tumbo na hali ya sintofaham yanisumbua. Kuna mtu amenishauri niende Samaritan Neutracetical ambao wana kipimo unakishika tu na kinafanya body checkup ya mwili...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Jamani kama kuna mtu mzoefu wa watoto naomba anipe ushauri japo nipunguze mawazo. Ma son ana miaka kama 1.5 michezo anacheza na mchangamfu kweli ila kwenye kula ni shuguli nyingine hali hata...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu hebu nisaidieni nina changamoto za ki afya sa kuna mdau kanishauri nikapime Samaritan Neutracetical ambapo kuna kipimo unashikika kinafanya body chekup.Kuna mtu humu ameshawah fanya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasalaam wakuu...naomba kuuliza kuwa kati ya hospitali ya temeke, amana na mwananyamala ipi ina nafuu kwenye utoaji huduma ya afya kwa upande wa vipimo na huduma nyingine kwa wagonjwa.....kwani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A
2 Reactions
27 Replies
6K Views
MATUMIZI KATIKA NCHIMBALIMBALI: kitunguu ni kiambatanisho muhimu kidishi kimaendeleo katika sehemu nyingi ulimwenguni. Zamani Egpta iliheshimiwa kuwa ya hadhi ya kimungu. MAANDALIZI YA KITUNGUU...
0 Reactions
18 Replies
53K Views
Kuna connction gani kati ya uzito na ulaji wa mayai?maana nimekuwa na uzito wa ajabu na nilipouliza nini sababu nikaulizwa kama nakula sana mayai,na nikaambiwa kuwa ndio sababu ya kuongezeka kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
nimetokewa na jipu juu kidogo ya uume je inaweza kuwa ni tatizo gani?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama ilivyo kwa wanaume kuna kipimo cha spem count je kwa wanawake hicho kipimo kinaitwaje? naomba usiriaz katika hili kwa sababu ni muhim sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada wa hospitali au dakatari bingwa wa urology,prostate inanisumbua sana,maana miaka mitano iliyopita nilifanyiwa TURP lakini sasa nakojoa frequently,retention ya mkojo ni kubwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni kiingiza tu uume wangu kwenye uuke natoa spam baadae ndio naendelea naomba mnisaidie nifanyeje cpend hali hiyo
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…