Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Uvula ni sehemu ndogo inayoning'inia nyuma la Koo ambayo inajulikana kwa jina maarufu zaidi kama Kidaka tonge au Kilimi. Kiungo hiki hakipatikani kwa Wanyama wengine zaidi ya Binadamu (Mammals)...
0 Reactions
1 Replies
395 Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Kwenu madoctor wa JF Nomba minisaidie, nina tatizo moja, nina kula sana udongo (huku kwetu kanda ya ziwa zinaitwa pemba) nahitaji kujua zaidi ya...
1 Reactions
133 Replies
101K Views
Jamani niliugua kitu kinafanana na red eyes,, mishipa ikion jua ikawa inauma sana. Nikaenda hapa Bugando polyclini near Mwanza nikapimwa nikapewa daw ya maji..nimetumia ika wa unafuu ikawa hakuna...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
Ikitokea nimeigusa pua tu basi zinaanza kumiminika chafya nyiiingi hadi kero, Nikipisha na mtu aliyejipulizia unyunyu tu, chafya zinanitoka si za nchi hii, Shemeji yenu akiwa anakarangiza na ile...
1 Reactions
9 Replies
482 Views
Habar wakuu Leo nimean, tengeneza juis inayotokana namboga mboga za majani...yaan kama mchicha na kisamvu nachukua Kisha naweka ktk heavy duty juicer inakamua zile mboga mboga napata kimiminika...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu, Tunaomba ushauri wenu, wapi kwa Dar anapatikana Daktari ambaye ni specialist wa magonjwa ya ngozi. Tunauliza hivi kwa niaba ya watu wengi sana ambao wamekuwa wanatupigia simu wakitaka...
3 Reactions
498 Replies
321K Views
Salaam! Nauliza nini kinasababisha mwanamke kupata kizunguzungu kikali wakati anapokuwa period au baada ya kumaliza period?( mpaka anashindwa kufanya chochote ni kupumzika tu). Hali hii inaweza...
4 Reactions
6 Replies
889 Views
Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki. Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana...
27 Reactions
196 Replies
65K Views
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi. Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa...
15 Reactions
252 Replies
89K Views
Msaa nina mdogo wangu amabaye kwa muda sasa anasumbuliwa na maumivu kifuani na maumivu haya huja maraa baada ya kufanya mazoezi au muda mwingine huibuka tu.Tulijaribu kwenda hospitali moja...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habar wakuu Nina juicer machine yenye uwezo wakukamua mboga zamajani kuwa juice na makapi yake yanakua pembeni na nabakia na juice ..wakuu nauliza Kuna madhara yakukamua mboga za majani bila...
0 Reactions
10 Replies
559 Views
Wakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio. NImejaribu kutumia vumbi la congo pia...
4 Reactions
144 Replies
31K Views
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 22 mpaka sasa nasumbuliwa na maumivu ya nyonga. Tatizo hili halikuanza muda mrefu na wala sijawahi kutumia dawa ya aina yoyote. Nawaombeni msaada nitumie dawa...
0 Reactions
24 Replies
41K Views
🥕1. Awali ya yote, ukichukua majani ya bamia ukayachoma kwenye moto na ukachukua yale majivu ukayapaka kwenye ngozi au kidonda ni tiba ya vipele na allergy kwenye ngozi. 🥕2. Halikadhalika...
14 Reactions
14 Replies
8K Views
Msaada. Mtoto wangu ana mwezi 1 amekosa choo siku 4 Nimeenda duka la dawa wamenipa mafuta ya OLIVE OIL Naomba ushauri je yanafaa kuponya hili tatizo la kukosa choo msaada wenu kabra hajatumia
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari wakuu. mimi naomba niulize kwani maana nmekuwa nikifatilia kalenda za ninaokuwa nao kwenye mahisiano ili wasipate mimba zisizo tarajia. ila kwa huyu sasa wa sasahivi ndio sielewi elewi...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nina mtoto wa kiume wa sister wangu. Ana miaka 21 Mwakajuzi alisumbuliwaa na macho kaambiwa anaupungufu wa Vitamn Akapewa madawa ya kuongeza vitamin Safari hii amekua akihisi ganzi miguuni...
1 Reactions
1 Replies
408 Views
Wadau kwema? Tofauti na NSK, naomba kufahamu hospitali nyingine nzuri Arusha ambayo wanapokea kadi ya NHIF, lakini yenye huduma safi.. Natanguliza shukurani
0 Reactions
2 Replies
596 Views
Naombeni msaada nimekuwa nikihangaika sana na macho yangu kwa miaka 10 sasa lakini sioni nafuu. Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi kutibiwa macho hospitali hizo mbili nataka nitibiwe moja...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni tatizo la matamshi linalomfanya mtu asiwe na uwezo wa kutengeneza mpangilio wa moja kwa moja wa maneno na sauti anazotoa. Watu wenye kigugumizi hufahamu maneno wanayotaka kutamka lakini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…