Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UGONJWA WA FIGO UNAOTOKANA NA KISUKARI (DIABETIC NEPHROPATHY) YAPO madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu na moja wapo ni ugonjwa wa figo...
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Nimekuwa Baa moja jioni hii nikiangalia mechi ya Aston Villa na Man U, wanawake wote hapa wana matumbo makubwa, hakuna hata mmoja mwenye tumbo dogo yaani, nimejiuliza sana nikakumbuka nije nijenge...
1 Reactions
77 Replies
12K Views
nina kichomi ambacho sijawahi kukipata,kimetokea hapa chini ya kifua upande wa kulia unapoanza tu mbavu,jamani kinauma sana toka jana,nimecheki maralia sina,nikachoma sindano ya diclofenac kikapoa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tuwasiliane pm wadau
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mgonjwa wa kifua kikuu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na Kisukari. Leo hii anaingia siku ya tano toka aanze dozi. Ukweli ni kwamba amedhoofika sana. Pamoja na yote nilikuwa nataka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
habari za leo!napenda kujua ni siku gani hasa za kupata mimba kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 za hedhi!
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wana Jf, mke wangu anatatizo la kuvimba papuchi mara tu baada ya kugegedana, tatizo hli limemuanza hvi karibuni baada ya kupata mimba, hii ni mimba yake ya kwanza hvyo hatuna uzoefu wowote...
1 Reactions
31 Replies
14K Views
Ile michezo vijana wanafanya kuleee.... sekondari! Kumbe nasikia inasaidia kuondoa kisukari!!!! New research suggests that masturbation is good for your health and may even help protect against...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wadau naombeni msaada ninasumbuliwa na vipele kisogoni nina zaidi ya mwaka nimepata hivi vipele nimetumia dawa nyingi sana bila ya mafanikio mwenye ufahamu wa dawa ya vipele hiyo naomba msaada
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zena wana jf naomba kujuzwa kuhusu uzazi naama jinsi ya kuhesabu siku zipi ni za hatari ( baada ya kumaliza hedhi mwanamke anaweza kupata mimba) na zipi sio za hatari ( mwanamke hawezi pata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau wenzangu. Leo nazungumzia kuondoa earwax au nta wa masikioni. Earwax kitaalam unaitwa CERUMEN. Unapozidi kiwango kinachotakiwa ndani ya mwili wa binadamu husababisha mtu kutosikia...
2 Reactions
13 Replies
40K Views
apollo hospital ya india inatarajiwa kufungua tawi lao tanzania kutokana na makubaliano yaliyofanywa kati ya uongozi wa hospitali hiyo na tanzania,ufunguzi huo unatarajiwa kufanyika ndani ya miezi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu daktari nimepata homa kali sana jioni hii, na chanzo cha hii homa nimekinasa, ilikuwa hivi jana mida ya jioni nilipata mlo wa mkate uliopakwa blue band na chai kidogo swaafi. Sasa wakati...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
DRUG RESISTANCE A. Plasmid-this is an extra chromosomal DNA genetically material that are mostly found in microbes i.e. bacteria. they are small loops of DNA which is double stranded .Used to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane. Usiku analala usingizi wa vipindi vifupifupi huku kila mara anaposhtuka usingizini huomba maji. Anapopewa anakunywa glass nzima...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani mimi naomba msaada, ninaujauzito wa wiki kumi sasa, lakini moyo wangu umekuwa unaenda mbio sana kwa muda then unarudi katika hali ya kawaida, na hii hunitokea mara ninaposimama, kufanya...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
nilikwenda jana kumtembelea my sister nikakuta mtoto wake mdogo wa miezi 11 hayupo sawa. Anavidonda mdomoni vinafanya hawezi kula chakula kingine zaidi ya kunywa maziwa. wakuu hii inaweza kuwa ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Salam wadau wa jukwaa pendwa la Dokta. Kuna jamaa yangu anasumbuliwa sana na mafua kiasi cha kumkosesha raha kabisa na kuna baadhi ya dawa kama Codril,alitumia bila kupata matokeo mazuri ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom