Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Alipata ujauzito wa kwanza bila kufahamu kuwa yeye negative group akafanyiwa operation na mtoto ikawa bahati mbaya, baada ya hapo tatzo likafahamika ikatakiwa achomwe sindano eti inaitwa AntD...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, ila nimekuwa nina uzito mkubwa sana mpaka najiogopa, nina uzito wa kilo 98.5 kitu ambacho nahisi sio kizuri kwangu. Kwa mara kadhaa nimekuwa nikikaribu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
.natumain mumeamka salama,..... Nna rafiki yangu ameolewa na anamtoto mmoja mdogo.Tatzo alilonalo,yeye na mumewake wanatumia condom kama njia kujikinga.lakini bahati mbaya wamejikuta wamefanya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana jf mwenzenu ninatatizo kidonda kwenye mdomo wa juu kimetokea gafla siokikubwa sana ila naona kama hakiponi alafu kutokana na yale majimaji yake kinataka kuambukiza na kwenye mdomo wa chini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF. Nina mdogo wangu anahili wacha niliite tatizo, yaani chakula anachokula kama unakiona unaweza kusema ni kwaajili ya watu watatu hivi. Kama utamkuta anakula wali na maharage hapo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu salaam. Naomba kufahamishwa tiba ya kufanya presha iwe normal. Mgonjwa ana tatizo la kupanda presha..na kapewa dawa mbalimbali hadi sasa analalamika zinamuumiza tumbo.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Unaweza toa mimba ya miezi minne?
1 Reactions
21 Replies
3K Views
wataalam naomba ushauri wenu,mkewangu hataki kushiriki tendo la ndoa eti anaogopa kutoka kwa mimba, kwani nihivikaribuni alipata tatizo kama hilo ikalazimika kumpeleka hosptali ndipo ilipo...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Jamani nisaidieni ninatatzo la nguvu za kiume,.kuwai kumaliza,.kuwa na misuli lege lege ya uume,.nimewai kuomba ushauri hapa nikapewa mbinu za kurudisha nguvu hzo kwa njia ya asili nimejarbu bila...
0 Reactions
20 Replies
11K Views
15 health benefits of eating applesMany of us forget that sometimes, the simplest answers are the best. Better health could be as easy as reaching for the fruit bowl for some apples next time you...
2 Reactions
4 Replies
9K Views
Naombeni msaada wa haraka sindano za uzazi wa mpango zimeniharibu nikiwa nafanya mapenzi natoka maji mengi sana hata nikiwa naandaliwa kwa ajil ya tendo!!! Hali ambayo sikua nayo kabla nifanyeje...
0 Reactions
2 Replies
862 Views
Wadau kuna kipimo cha kujua kama mwanamke amefanya mapenzi na kugundua kuwa amefanya saa ngapi na amefanya na nani?Yaani naulizia after sexual intercourse medical checkup. Inawezekana?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf . Kuna madhara yoyote kama mama mjamzito atatumia dawa hizi aspirin na fragile. Mchango wako mhimu
0 Reactions
5 Replies
27K Views
Hi wanajamvi, hope mpo biyeee. Pls kwa doctors na wataalamu wa tiba naomba kujuzwa hivi PH kwenye mwili wa binadamu inapokuwa pungufu (below normal} hii inasababshwa na nini? na mwenye tatizo hili...
0 Reactions
2 Replies
946 Views
......
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wanajamii hope mmeshinda salama.....mm natatizo naomba mnisaidie ni tarehe gan naeweza pata ujauzito?????tar zang za period ni 19 or 18 or 20....ila mwezi uliopita nimepata hedhi tar...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninaye binti yangu mwenye umri wa miaka 13 ambaye anasoma kidato cha kwanza.tatizo la huyu binti ni kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yake.Anapofundishwa anaelewa vizuri lakini tatizo ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI wamekuwa wakitafuta taarifa zaidi kuhusu ulaji wa vyakula mbalimbali siku hadi siku. Baadhi ya taarifa wanazozipata, zimeonyesha kuwa na utata...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wanajamvi nina rafiki yangu kanijia na hii suala nimekosa jibu la kumpa: Anadai mumewake huwa anamwingilia kipindi akiwa kwenye siku zake za mwezi na kila mkatazapo ugomvi wake ni balsa sasa...
0 Reactions
54 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…