Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Mimi ni kijana nilie ndani ya ndoa takriban mwaka mmoja sasa. Mungu amejaalia Mkewangu ana Ujauzito (mimba) wa miezi miwili, lakini mwenyewe nimeshindwa kuushinda moyo wangu hivyo kila mara...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Jaman wazima nyote me mgeni kbs humu ila naamini ntapata msaada. mama yangu mdogo anasumbuliwa na uvimbe jwa mda sasa ameshauriwa na hospital ya rufaa aende akapime kansa sasa kuna mtu ambaye ni...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
ivi jamani kwa kutumia ivi vipimo vya mimba ambavyo ni common kwenye maduka meng ya madawa je unaweza kuitambua mimba ya wiki tatu
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana jamvi habari za mchana. Wandugu uwanawaheshmu sana kwa ushauri mnaotoa. Kwani nimekwisha nufaika na ushauri wenu. Leo ninajambo ambalo naliona kama si lakawaida kwa mke wangu. Jambo lenyewe...
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Naombeni ushauri wa kitaalamu nina shida moja kuwa kila nikifanya mapenzi naharibu ratiba yangu ya kwenda haja kubwa tatizo ambalo lina nipa shida sana kwani ratiba yangu ya kwenda haja kubwa ni...
2 Reactions
72 Replies
7K Views
shalom!! Assalam aleikum! binafsi nimeshidwa kuelewa mzunguko wa siku zangu, kwa miezi 3 hii naombeni wataalam mnisaidie kwa kua kuuliza si ujinga. mwezi wa nane niliona cku zangu tar...
0 Reactions
49 Replies
18K Views
Habari zenu wana jf, mimi nina tatizo moja ambalo naona linataka kuwa addictive kwangu.. mimi kila inapofika mida fulani ya mchana hasa kuanzia saa 8 ama 10, lazima nishikwe na usingizi na macho...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wana JF Nomba msaada rafiki yangu anatatizo la kubadilika mpangilio wa hedhi,mwezi wa nane alikuwa na mzunguko wa siku 27, mwezi wa tisa siku 26, mwezi wa kumi siku24 na period...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo natizama star tv, mtu ananadi dawa inaitwa LIFE, intaibu magonjwa lukuki... wakiwemo watu wa "mwezi mchanga"! Hii dawa hainatofauti na kina NGETWA, NGOKA, KIKOMBE CHA BABU nk Watanzania...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu salama ? nimekuwa nikitumia red bull taratibu hasa asubuhi ninapo amka tu kwa kuchanganya na maji baridi kiasi cha lita moja na nusu(jagi moja la mezani) + red bull 1, pol pole hatimaye...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
nisaidieni mwenzenu nina fungus za miguu zinanitesa sana siwez kutoka na kufanya shuhuli zangu nimemeza dawa za antibiotics na kuweka powder lakini wapi ......?mpaka imeniletea mtoki nahisi homa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua kama huu ugonjwa una tiba au la, kuna ndugu yangu anaumwa hivyo nahitaji kujua tiba yake.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habar JF-Doctors. Mimi nnasumbuliwa na tatizo la Bega langu la Kushoto kuchomoka kwenye Maungio yake Mara kwa mara, na hupelekea Maumivu Makali sana yasiyo elezeka. Historia yangu kwa Ufupi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natural Remedies for Acidity 1. Gently sucking a piece of jaggery (unrefined brown sugar made from palm sap) until acidity subsides is a perfect home remedy for acidity. 2. A glass of cold milk...
3 Reactions
0 Replies
3K Views
wanajamvi nilipata ajali ya jicho utotoni nilichomwa na katani jichoni,nilikimbizwa hospitali ya Nkinga nikapata operation pale lakin baada ya hapo jicho langu lilikaa upande na hivi sasa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naombeni jibu je!,ni matatizo gani haya,ninapomtongoza mwanamke akianza ongea sauti ya kimahaba mimi risasi ishafyatuka!
0 Reactions
2 Replies
974 Views
NJOO UKUTANE NA MADAKTARI BINGWA WA MAGONJWA HATARISHI MFANO hYPERTENSION, DIABETES, UVIMBE TUMBONI (FIBROIDS), KUPOTEZA ULIJALI (IMPORTENCE) UELEWE NAMNA YA KUJIKINGA NA NAMNA YA KUONDOA KAMA...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Habari,mwenzenu mimi hutumia mpira mara kwa mara kwasababu situmii njia zingine za uzazi wa mpango.sasa kama wiki mbili zilizopita nilipata uti,wakati nimeitibu,tulikutana na mume wangu kimwili na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…