Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimegundua kwamba wasichana wengi huwa tunaogopa mimba kuliko UKIMWI, jaribu na wewe kuchunguza sababu itakayotolewa na msichana akikushinikiza mtumie Kondomu
0 Reactions
2 Replies
874 Views
Habari wanajf Nina Kyoto wa miaka miwili ambaye tangu amezaliwa kichwa chake hakijakaa vizuri(round),nimejaribu kumrekebisha kwa kumlaza upande ambao nataka ukae saws nimeshindwa,naomba ushauri...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Habari za majukum ma thinkes,nina best frend wangu mke wake anatatizo la kutokoma kwa hedhi,anadai tatizo limeanza tangu tarehe 5 mwez huu,hajawah tumia sindano wala dawa za aina yoyote za kuzuia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hi kwa dadaz na kakaz. Maumivu kwenye unyayo hasa ninapokanyaga mguu. yameanza kama wiki mbili sasa hasa baada ya kukaa muda mrefu au nikitoka kulala (ninapoamka) Naomba kujuzwa na wataalam...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau nina mtoto wa kiume ana miezi 9 sasa, lakini hataki kula! naomba wadau mnisaidie kama kuna dawa au chakula kitakachorudisha hamu ya kula.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana JF wenzangu, Kwanza samahani kwa kutumia jukwaa ambalo sio sahihi lakini naona litanisaidia zaidi maana watembeleaji wake ni wengi. Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nimekuwa nikitafakari juu ya jambo hilo. Nimejaribu kusoma Biblia n.k na kugundua hali hii ilikuwa tangu zamani. Mfano, tabia chafu ya wanaume kulipia tendo la ndoa kwa machangudoa ilikuwa tangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
leo nimeona mtu anakunya yai bichi direct kutoka kwenye ganda lake,je ni dawa au ni chakula?!
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Habari jamiiforums. Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake, Wakaaji wa eneo hilo...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Habar, naomba kuelimishwa utofaut uliopo ktk vpmo vya HIV kat ya kile knachopimwa kwa kuchukua damu kwnye mshipa kwnye maungio ya mkono na kile knachopima kwa kuchukua damu kdolen..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
habari njema kwa wote wenye matatizo ya presha viungo kupooza matatizo ya uzazi matatizo ya nguvu za kiume vidonda vya tumbo na unene kupitiliza(kitambi) tanga tradtion clinic ni suluhisho...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu humu ndani, Leo ni siku ya kisukari duniani, jana wakati nikitazama kipindi cha Hot Mix cha EATV nilimsikia daktari akisema mpaka sasa hakuna dawa ya kisukari na akaongeza hata...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hili ju kwaa saivi limepoa sna,au magonjwa yamekwisha!?au washauri wamechoka?sio siri hili jukwaa mm nalipenda sana nalinanisaidia sana katika maisha ukizingatia myaka yetu hii Afya ndo kila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Damu salama ikiwa imehifadhiwa kwenye mfuko maalumu wa kutunza damu. Picha na Maktaba KWA UFUPI Mbali ya watu kuuza damu zao, majimaji hayo mekundu muhimu mwilini yamegeuka bidhaa adimu baada...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu! Nina mtoto wa miezi 11 ana afya nzuri tu lkn alichelewa kuota meno ila yalipoanza kuota ya chini nimeshangaa ameota jino moja kwa upande wa chini na ya juu yanatokea yote mawili...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Watu wengi sana wamewahi kutapeliwa kwa kuuziwa dawa feki za kienyeji kwa gharama kubwa lakini wanalalamikia chini-chini. Kwa kuwa huwa tunajifunza kwa makosa, naomba mtu yeyote aliyewahi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
baba yangu 72yrs anasumbuliwa sana na meno anayejua dawa naomba tumsaidie,hata chakula anakula cha vuguvugu kwa sasa.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wana JF wenzangu, Naomba msaada nimekuwa na tatizo la kutokwa na damu sehemu ya haja kubwa ( Unyeo/ ------) kila ninapoenda kujisaidia ila hapaumi wala nini..!! Nimeenda hospital Burhan na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
poleni na mahangaiko.,swali langu ni kwamba, mtu kama ana breed wakati hayupo kwenye hezi na anatumia vidonge vya majira tatizo huwa ni nini? na je kwanini kama akienda kukojoa anapatwa na maumivu...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Wapendwa jaman nina maumivu upande huu wa kushoto hadi mgongoni kwenye bega na kifua kinauma sana pia na cheua kama tumbo limejaa gesi hata nikimeza nasikia kama kuna kitu kimekaa kwenye koo
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…