Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Hi to everyone,jamani naomba kujuzwa sababu ya baadhi ya wanaume kuwa na matiti na namna ya kuyaondoa.
0 Reactions
12 Replies
17K Views
Wakuu habari zenu! Kuna dent mmoja ambaye nimedate naye ila alinisumbua sana wakati wa ku do nasidhani kama nilifanikiwa kuvunja bikra yake kwa kuwa alikuwa akijibana...
0 Reactions
31 Replies
19K Views
habarini wana JF.ni kwa muda sasa huwa huwa nafatilia ni nini hasa chanzo cha gonjwa hili la ukimwi ambalo halikuwepo miaka kama 1960 na,iliyo pita na kwa nini limekaa sehemu ya pili kwa utamu...
1 Reactions
36 Replies
11K Views
Waungwana nini kinasababisha mtoto kufanana na mzazi mmoja wapo either mama au baba?
1 Reactions
15 Replies
21K Views
habari wakuu!! jamani naitaji ushauri kidogo! hapa karibuni mwili wangu umeongezeka kwa kiasi flani kwaiyo nimeamua kuupunguza lakini kulingana na shughuli zangu za kila siku nakosa muda wa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
msaada ndugu zangu,nataman sana kumbunguza kitambi kwan nimenenepa mpk najiogopa hata kutembea jasho linanitoka kinoma,nataka kujua nile msosi gan inayopunguza mafuta mwilini
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Hivi karibuni, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeangaza vigezo na masharti mapya ya kujiunga na kozi mbalimbali za afya gazi ya cheti na stashahada. Kwa mujibu wa taarifa ya katibu mkuu wa...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Habr za usiku wapendwa. Naomba kufahamu siku salama kwa msichana ambaye ameingia hedhi tarehe 08.
0 Reactions
48 Replies
21K Views
Wakuu huwa najiuliza kwa nini baadhi ya watu wakinywa pombe hata kidogo hulewa wengine hata wanywe kreti moja hubakia strong. Kuna dawa ama namna ya kufanya mtu ukinywa pombe kali usilewe? Na...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Wadau, habari za leo. Mimi niko mikoani, nina shemeji yangu (dada wa mke wangu) ana binti yake kule Lushoto. Huyo binti imefikia hatua ya kuachishwa shule kwa sababu ya upofu. Mwanzoni alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habar wana jf, naomben ushauri juu ya kumaliza au kupunguza tatizo la majimaji mengi uken wakati wa tendo la ndoa tatizo hili linapelekea mm kumkosea ham mwenzangu kwan kuna wakati mashne inagoma...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba wanajf mnisaidie juu ya haya. 1. je mgonjwa anayetibiwa kwenye hospitali za wilaya mfano ngara akipewa referal aende bugando ni lazima aende na nurse? 2. naomba kujua kwa kutumia land...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Mm nim2 na mkeo ila hatujazaa na tumepima mbegu zetu ziko vizu ila mama anashindwa kupokea mimba.je? Tatizo ni nini?
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari zenu jaman natumai wazima na afya nzur naomben mnisaidie tatzo langu linanisumbua hii ni wiki ya pili sasa mm silali usiku wala mchana na nakua ninabusingiz sana kias ambacho naumwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimekuwa na tatizo moja sasa nimekuwa naumwa maralia mara kwa mara.Yani kupita mwezi bila kuumwa inakuwa ni ajabu sana,na cha zaidi ni malaria nshapima vyote vipimo muhimui nipo sawa. dawa ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu JF Dokta, Naomba kuelimishwa juu ya hili kitu kwa sisi tuishio vijijini ambapo kupata huduma ya kupima ua kufanya medical check-up kila baada ya mwizi inakuwa ngumu. Je tunaweza kupima afya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau,mm na mama watoto tumekuwa tukigombana mara kwa mara ,eti kisa ni tabia yangu ya kupakata computer( laptop)mama anadai ipo siku atakosa chakula yake!je kuna sababu zozote za kisayansi zenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada leo tulikua tunabishana kidogo na jamaa zangu chuoni eti kumnyonya mwanamke K.U.M.A inasababisha kansa ya koo??
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wadau?mi nina tatizo kwani kende moja ya kulia inavimba siku hadi siku na inauma pindi inapopata mtikisiko au kubonyezwa.naomba mnisaidie kuhusu hili kwani rafiki zangu wanasema ni enia...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari zenu wadau! Hiv kunaukweli wowote kuwa nyama ya mbuzi inaharibu magoti? Wataalam tunaomba mtiririke ni sababu zipi zinazosababisha ugonjwa wa miguu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…