Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Na.Elimu ya Afya Kwa Umma. Imeelezwa kuwa upatikanaji miundombinu ya maji safi iliyounganishwa na miundombinu ya umeme katika vijiji vya Nyanguge na Bunamhala Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu...
0 Reactions
1 Replies
279 Views
Mchunga ( Dandelion) ni mmea wenye faida nyingi sana Binadam. Hapa Tanzania unapatikana porini na majumbani kama maua. MCHUNGA ni mmea unafaha na kutibu maradhi mbalimbali kama vile; Matatizo ya...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Faida za limao au ndimu zinajumuisha matumizi kama tiba kwa ajili ya vidonda vya kooni, matatizo katika mmeng’enyo wa chakula, matatizo ya meno, homa, kuvuja damu ndani ya mwili, baridi yabisi...
6 Reactions
14 Replies
11K Views
Mambo muhimu juu ya udhibiti wa Mbu waenezao Malaria kwa njia za Utangamano; Matumizi sahihi ya Vyandarua vyenye dawa kwa kila mwanajamii kila siku Upulizaji viuatilifu ukoko kwenye kuta ndani ya...
11 Reactions
16 Replies
38K Views
Wazazi,walezi tuwakumbushe binti zetu jambo hili. Kwa sasa ndoa nyingi sana zinapitia changamoto ya uzazi,hii ni kutokana mabinti wengi walitumia njia za uzazi wa mpango ama p2 kwa muda mrefu...
7 Reactions
46 Replies
2K Views
Wakati Atheists wanakiri hadharani kwamba akili zao zimeshindwa kuielewa dhana ambayo wao wameibatiza jina na ku iita " The problem or Evil" , Watu wanao amini kuhusu uwepo wa Mungu nao wana...
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Ugonjwa redeyes ni ugonjwa hatari hatari hatari sana Yaani umenishika ndani ya wiki moja hakuna rangi nimeacha kuona. Nimenawa mikono mpaka nikawa mzungu ghafla Nauliza swali moja tu Serikali...
0 Reactions
3 Replies
482 Views
Wakuu habari, naombeni msaada kwa hospital inayofanya mazoezi kwa kutumia mashine kwa watoto umri chini ya miaka mitatu. Naomba pia kujuzwa gharama maana mwangu ana bima NHIF. MBARIKIWE.
0 Reactions
3 Replies
553 Views
Habar ndugu zangu, naomba msaada kwa anaefahamu dawa ya kuacha matumizi ya pombe
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna jamaa angu amekua akiniambia kua anatumia vidonge vikali vya UTI nikawa namuuliza ni ipi Ciprofloxacin au Azythromycine?? Akawa anashindwa kuvitaja. But leo nimeenda kuncheki kwenye shughuli...
3 Reactions
49 Replies
1K Views
Wakuu, Huwa najiuliza sana ile harufu ya mtu aliyevimbiwa akibeuwa huwa ni mbaya sana! Ni harufu isiyoelewaka. Si ya kitu kilichooza wala ya mdomo au kinyesi bali ni harufu mbaya sana. Unaweza...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
Habarini wadau. Kuna maambukizi ya ule ugonjwa wa macho mekundu almaarufu kama red eyes, ambao husababisha macho kuwasha, kuuma, kuwa mekundu sana, kuvimba na kutoa uchafu mwingi sana wa tongo...
14 Reactions
44 Replies
3K Views
Habar wakuu naleta mrejesho wahali ya ndgu yangu wakike umri miaka45 Alie ugua ukichaa..baada yakumpeleke hospital wakampima ukimwi Hana,presha wanasema Hana Changamoto alizokua nazo kabla...
0 Reactions
4 Replies
344 Views
Habari, kwa maumivu niliyonayo sijui hata kama naandika sahihi Jana nlienda hospitali nikiwa na complication kadhaa, walinipima fbp,hpyrori, uti, maralia vyote nikawa neg ila najua nina historia...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Nasumbuliwa na jino linauma balaa sitaki kulin'goa maana mapengo niliyonayo yanatosha, alafu Kuna mtu kanitisha kaniambia ukienda kun'goa jino umri huu 30+ unaweza kupata shida kwenye macho. Kama...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Kuna mtu anauliza, Kama alishiiriki sex mwezi December , na mtu kwakutumia condom ambayo ilikuwa expired mwezi huohuo yaan mwezi December Je Kama huyo MTU Ana maambukizi anaweza kuambukizwa??
0 Reactions
4 Replies
365 Views
Habari za wakati huu wakuu, wakuu naombeni jibu hivi ukifanya mapenzi siku ya 11 kuna uwezekano wa kupata mimba?? Maana ni wiki mbili sasa toka nimefanya mapenzi lakini nina wasiwasi maana tumbo...
7 Reactions
149 Replies
38K Views
Niliwahi ambiwa na wataalamu wa hospital DOCTORS AND NURSES..Kuwa ukipima HIV/AIDS kwa kutumia kipimo cha Bioline ukikosa maji yake..unaweza kutumia hata water for injection na majibu yakatoka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wataalamu naombeni kuuliza Je madhara yapi ? anayopata mama mjamzito anapokutana kimwili na mtu ambae si mhusika wa huo ujauzito wake mtu huyu anapata madhara gani hasa wakati wa kujifungua...
0 Reactions
6 Replies
342 Views
Fatal alcohol syndrome a condition in child that results from alcohol exposure during the mother's pregnancy.
1 Reactions
2 Replies
278 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…