Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

HOW TO IMPROVE YOUR SEX LIFE AND TO HAVE BETTER SEX CLICK BELOW TO WATCH THE VIDEO Hermes Power Inc: SEXUAL HEALTH CLINIC
0 Reactions
0 Replies
814 Views
jaman wanandugu naomba mniambie madhara(-ve impacts) ya punyote BE SERIOUS PLZ
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jamvi hili, naomba kupatiwa ushauri kwa wadau wenzangu maana huenda sina uelewa wa kutosha juu ya hili. Kuna dada alitumia dawa za albendazole mg 200/kila kidonge na alimeza...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari za jioni wanaJF,poleni kwa majukumu.Nimejaribu kufuatilia hizi pads tunazotumia akina dada nimegundua ziko za aina nyinginyingi zikitofautiana kwa muonekano,texture,hadi utendaji kazi...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Heshima mbele madaktari na wadau wote wa jamvi hili. Naomba kujua vitu vinavyopelekea msichana au mwanamke mimba kutunga nje ya kizazi na mwishowe kutoka. Natanguliza shukrani na pongezi kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
doctors plaza heart clinic ni hospital inayotibu magonjwa ya moyo na pressure, pia wana maabara ya kisasa. wanapokea bima ya Afya. simu ni 075 967 4616 au 071 967 4616.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nawasilimu wote wanaJf doctor! Naombeni msaada kwa anayejua namna ya kupunguza maumivu makali wakati wa hedhi,mke wangu anapata shida sana,mpaka anaharisha! Nawasilisha kwenu,utani pembeni ktk...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Upele kwenye mavuzi, ukiiva unatoa ki2 kama usaa nikiu2mbua unarud tena, ni ugonjwa gan huu?
0 Reactions
15 Replies
13K Views
you can purchase your herbal medicines at an herbal market herbal medications are popular today herbal medication was used in healing by the American Indians alternative herbal medicine may...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeanza kuobserve hii ishu kama miezi kadhaa iliyopita!hutokea mara chache napotoa choo kigumu,uume husimama! Je, hili ni tatizo?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Naombeni msaada wenu nile vyakula vya aina gani au nifanyeje ili kuweza kuongeza testerone hormone mwlini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JF Dr Nina ujauzito wa miezi mitatu, tatizo ninatapika mara kwa mara, nilienda hospital nikapewa dawa (NOSIC) nilimeza kwa muda wa wiki 1 zilisaidia kidogo ila tatizo linaendelea, pamoja kuwa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
WAnajamii forums, hasa wenye watoto wa kiume wanaopanga kuwatahiri..... Nina ushauri ufuatao...imekuwa kawaida ukimuuliza mtu sehemu ya kufanyia tohara wanakuonyesha Kariakoo kwa ALIJUMAA...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Wana jf. Naomba msearch thread yenye topic isemayo @Mficha uchi hazai...Nimejaribu kuweka link na ku edit topic nimeshindwa.lengo la kurudia ni baada ya kuona kichwa cha habari hakihamasishi wana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SELF-ADMINISTERED CPR AVOID DEATH FROM A LONELY HEART ATTACK A cardiologist says it's the truth...For your info. Read This...It could save your life! Let's say it's 6:15 p.m. and you're driving...
0 Reactions
0 Replies
745 Views
naomba msaada wa kitaalamu,mimi rangi yangu ni maji ya kunde ,lakini uso wangu unakuwa mweusi mno,hasa nnapopigwa na jua,nilijaribu kusoma kwenye internet nnagundua nna tatizo la...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
ivi mwanaume kutokua na hamu ya kufanya mapenzi ni ugonjwa au ni kutokua na nguvu za kiume wandugu???
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari za leo wana jamvi! Naomba kuuliza hivi unaweza kupata ujauzito siku ya (12) tangu kuanza kwa period iliyopita? Mf. umeanza period tarehe 02/11 then uka-do trh 14/11 je unaweza kupata ujauzito?
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Wadau msaada tafadhali.Ba mdogo wangu mguu wa kulia hauna nguvu na unauma ila x-ray haijagundua lolote.Tufanyaje?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hizi rushes plus pimples usoni hadi zinaniondolea confidence coz nabaki na madoa uson. Msaada-naomba ushauri kuhusu nini nifanye na lotion gani nitumie to keep my face soft..Nawasilisha
0 Reactions
29 Replies
10K Views
Back
Top Bottom