Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Suala la Hospitali Binafsi kuwaruzuku Madaktari Bingwa na Wa-kawaida kulingana na mapato au Bill ambazo wamesaini kwa mwaka/mwezi kunachangia ongezeko la sumu ya madawa kwa Wagonjwa na...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
ndugu zangu napenda kuuliza hivi X-RAY ambayo tumekuwa tukipiga hospitalini ina madhara yoyote ya kiafya kwetu? na kama ina madhara ni madhara gani?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Watu wengi huwa na hofu ya sintofahamu hasa wanapofikiria kwenda kumwona daktari wa meno. Mambo 10 yafuatayo yatakusaidia sana kufahamu nini utarajie unapokwenda kufuata uchunguzi wa afya ya...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Ndugu zangu nina siku ya nne niko kitandani naumwa. (sijui malaria) siku ya kwanza kujihisi homa nili nunua Melafine nikameza pamoja na panado nakumbuka ilikua j/mosi usiku chaajabu homa haikukata...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Naomba kujua. Mwanamke mwenye mapacha akiwa ana ujauzito wa miezi 7 au 8 bila ultra sound unamjuaje?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndg wadau naomba msaada wa kiushauri na mawazo. Siku tatu zimepita tangu kiuno changu kuanza kuuma sana. Nakosa raha kabisa kwa kukaa,kutembea na kulala kwangu sasa ni shida tupu maumivu kibao...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
nahitaji jina la dawa... Ya dukani ili niweze kununua..
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nina matatizo ya kua na muwasho mkali sehem za njia ya haja kubwa ni muwasho mkali hasa nikitoka kujisaidia, nimejaribu kutumia dawa za kienyeji lakini hakuna mafanikio naomba msaada nitatizo gani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimeanza kufanya mazoezi ya kukimbia asubuhi kuanzia saa 12 asubuhi hua natoka huku town kuelekea mlimani sasa kila siku hua naenda fresh tu bila.tatizo ila sasa nikifika kule juu ambapo ndo...
0 Reactions
1 Replies
960 Views
Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi zimepoteza furaha kutokana na watoto kukoseka miongoni mwa wanandoa. Wanawake na wanaume wamejikuta wakiangukia katika mikono ya matapeli wanaojiita waganga...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Wasalaam, Nimekuwa nikijaribu kujiuliza maswali mengi kuhusiana na ''condom'' za kiume hasa yale mafuta yake. Kwa ufahamu wangu mdogo ikulu ya kina mama/ dada huwa na Ph yake, na yale mafuta ya...
0 Reactions
24 Replies
28K Views
Habari doctor sio mwepesi sana kujongea katika jukwaa hili ila naitaji msaada wa dawa ya kichwa ambacho kinauma, na kufanya uwe na unatetemeka kila saa. na kuwa na flu isiyoneneka niko kwa job...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wana jf/doctor Najua hii mada ishazungumziwa sana hapa,ila kutokana na yaliynikuta imenibidi nije niombe msaada. Nina miaka 26+ nimekuwa addicted sana PUNYETO kias kwamba siwez kumudu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Yeye ni mgeni hapa mtaani kwetu. Mtu pekee ambaye angalau amezoeana nae ni mimi. Ana kama miezi miwili hivi tangu ahamie hapa mtaani. Leo kanieleza matatizo yake ambayo hata mimi sijaelewa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nasumbuliwa sana na muwasho mkali wenye maumivu katika njia ya haja kubwa, tatizo hili limenichukua karibu wiki tatu sasa, mara nyingi tatizo hili linanikuta nikitoka kujisaidi hapo ndo maumivu...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
MIMI NIMEONA TU MAHALI Kama ikitokea umefanya unprotected sex kwa bahati mbaya au otherwise.....nenda muone doctor within 24 hours ukichelewa sana 72hours umweleze kuwa umeteleza so akuandikie...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
5 Natural Flu + Cold Fighters The best way to scare away a cold or flu is to nip it in the bud as soon as you start to experience symptoms. Everyone knows it's a good idea to drink lots of water...
4 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wana jf/doctor Najua hii mada ishazungumziwa sana hapa,ila kutokana na yaliynikuta imenibidi nije niombe msaada. Nina miaka 26+ nimekuwa addicted sana PUNYETO kias kwamba siwez kumudu...
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Plz plz msaada wenu wadau
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Madaktari wamesema uvaaji wa suruali za kubana kwa wanaume ni chanzo cha baadhi kuwa wagumba na wengine kupata magonjwa ya ngozi Kampala. Kwa wananchi wa Uganda, jina la Denzel Mwiyeretsi siyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom