Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

ALOE GEL + ARGI PLUS zitakufanya uwe NA NGUVU ZA kutosha katika kuhakikisha unafanya pasipo kuchoka kabisa. NA pia zitaboreaha vyema maumbile ya KIUME kwani mda wote damu huwa inatembea huko...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Do you know that homosexual is a transitional process!..ANYONE WHO KNOWS ABOUT THIS PROCESS CAN GIVE US MORE ABOUT WHAT HE OR SHE KNOWS
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jaman jf doctors nina tumbo la kuunguruma kwa muda mrefu sasa,kama miaka 8,mpaka mwaka jana nlipoanza kutumia dawa,lakin hakuna mafanikio,naomba anayejua dawa anisaidie ninunue
0 Reactions
8 Replies
11K Views
ONGEZA kinga ya mwili wako dhidi ya mashambulizi ya vidudu vya ukimwi NA utaishi kwa muda mrefu sana pasipo kuugua. ALOE GEL YENYE VIRUTUBISHO 200 iliyotengenezwa kwa utaalamu kabisa kwa kusagwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Heshima kwenu. Naombeni jibu LA kitaalam kuhusu ugonjwa Wa EXPOSURE KERATITIS ahsante
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Boston . Two patients have been taken off their HIV drugs after bone-marrow transplants seemed to clear the virus from their bodies, doctors report...
1 Reactions
0 Replies
709 Views
Suppose umeona siku zako anzia tarehe 13 march ni siku zipi za kupata ujauzito wa mtoto wa kiume?kama huna jibu tafadhali kaa kimya sitaki confunsion.
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi maishani mwao baada ya kufanyiwa upasuaji na kupandikiziwa uboho au (Bone marrow), hatua inayosemekana...
1 Reactions
0 Replies
861 Views
Virusi vya HIV hujificha kwenye Uboho au Bone Marrow Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimekuwa nikisoma, sikia na sehemu nyingine nimethibisha kuona moja kati ya wanandoa ameathilika yaani HIV positive na hasa mwanamke na mwanaume kuwa HIV negative licha ya kuwa walikuwa kwenye...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuuu habari za mida?? Kwa muda mrefu nimekuwa nikitaka kufahamu umuhimu wa kiafya wa mboga moja inaitwa CHAINIZI na sijapata lolote la maana. Tatizo la msingi ni kuwa hapa mjini mboga hii...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
haijawahi tokea (take it from me). Anza tumia Leo utaona mafanikio yake. 0713507487 0767507487 0782898210
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana JF naombeni msaada nini dawa ya mmba kichwani, asanteni!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamv!.jaman mwenzenu ninanatatizo na ninahitaji msaada wenu wa kimawazo mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23 ninampenzi wangu ambaye hivi majuzi tar25 nilipata nafasi ya...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Dk. Seif Rashidi Serikali imesema ugonjwa wa kisukari umeenea kwa kati ya asilimia 0 hadi 20 katika wilaya 50 za Tanzania Bara. Takwimu hizo zilitolewa jana Bungeni na Naibu Waziri wa Afya na...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Siku chache zilizopita nilikuwa katika moja ya vijiji vinavyounda Wilaya mpya ya Rorya-zamani Tarime. OCHUNA KIJIJI CHA UJAMAA Kijiij cha Ochuna kipo Kata ya Nyathorogo,Tarafa ya Luo-Imbo Wilaya...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
top ten reasons to drink argi. acts to release anti aging hormones. affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control. reduce blood cholesterol...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Leo tarehe 28/06/2013 ndiyo nimeamua kutokuchangia tena damu kwa hao watu wanaojiita sijui Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS).Nimechukua pia jukumu la kuwashawishi hata ndugu zangu wasichangie...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
HAbari njema kwa wote, sasa Doctor's Plaza heart Clinic wanapokea bima ya fya NHIF na Resolutions, hivyo kama una umwa usisite kupata matibabu. tel 075 967 4616 au 071 967 4616. Karibuni!!!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Mimi nataka kujiua,kwa sababu ingawa Ndugu Rais anasema Tanzania ni kati ya nchi 20 ambazo uchumi wake unakuwa haraka, mimi naona mambo yangu hayaniendei vizuri. Kwa hiyo nataka kufikiria njia...
1 Reactions
176 Replies
14K Views
Back
Top Bottom