Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wizara ya Maliasili na Utalii Wizara ya Maliasili na Utalii imewafunza wananchi namna ya kubaini Asali isiyokuwa halisi ambayo inadaiwa kutengezwa na wafanyabishara kwa kutumia maji ya...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Wana jamvi. Mimi ni muoga sana wa malaria na ni ugonjwa ambao huwa unanionea sana, Hi imenifanya kila nikija kutembea nyumbani lazima ninywe full dose ya metakelfin kama kinga, huwa nakunywa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
je unaelewa kuwa chakula kikikaa sana mwilini huwa UCHAFU NA kusababisha sumu mwilini? NA si hivo tu kusababisha mwili kuvimba NA hata kuleta kitambi kisicho NA lishe. mwishowe kusababisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna tatizo nahisi liko psychologically yaan nina hulka ya kuwaza sana na kujikosoa hata ktk issue za msingi na siipendi hali hii kwani inanifanya niwaze mbali na kufikwa na uwoga,kitu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Rais wa zamani wa Marekani, George W. Bush KWA UFUPI Bush aliyasema hayo jana wakati akizindua mkanda mwekundu na pinki kwa wanawake chini ya taasisi yake kwa kushirikiana na Mpango wa Umoja wa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau kuna hoja leo naisogeza mbele yenu wanaume kuwa navijititi hususa akiwaamepumzika ni ugojwa au na je tiba ni nini tafadhari atakae chagia awe makini utani hapa si kwake:A S crown-1:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani anayefahamu dawa au sumu inayomaliza kabisa mende aniambie hawa mifugo kwangu wamekua kero napuliza dawa lkn hawafi ndio sanazid kunenepa na kuzaliana kwa wingi. DAWA IPI AU SUMU GANI NI...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Usingizi ni dawa ambayo inaweza kukutibu bila wewe kujua, kwa hiyoinafaa uitumie mara nyingi. Ni wengi katika jamii ambao hawafahamu umuhimu wa kupata muda mzuri wa kulala katika maisha yao...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wagonjwa wawili wameondolewa bughdha ya kutumia madawa ya kupunguza makali ya ukimwi maishani mwao baada ya kufanyiwa upasuaji na kupandikiziwa uboho wa binadamu au (Bone marrow), hatua...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
*.Kati ya bidhaa 36, zilizonunuliwa 32 kati yake zilikuwa zina chembechembe aina tatu za dawa hizo za kuulia wadudu. *.17 kati yake zina chembechembe za dawa za kuulia wadudu zilizoanishwa na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Suala la kupunguza tumbo ama uzito mara baada ya kupata operesheni ya uzazi, limekuwa ni changamoto miongoni mwa wanawake wengi. Wengi wamekuwa wakishindwa kurudisha maumbo yao ya awali mara...
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Hivi ugonjwa huu bado upo au umetokomea? Naombeni majibu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanasayansi wamewatibu UKIMWI Watu wawili kwa kuwapandikizia uboho wa binaadamu unaojulikana kitaalamu kama (BONE MARROW)! source:bbc swahili.
0 Reactions
48 Replies
10K Views
Poleni na majukumu, naomba ushauri juu ya tazizo hili ambalo mbali na kunitesa lakini pia linanipa mawazo kwani sijielewi mwenzenu. Nilianza kuugua tumbo tangu december mwaka jana, nilikua...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
ZIJUE SABABU KUMI ZA KUNYWA ARGI+. top ten reasons to drink argi. acts to release anti aging hormones. affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huwa napata sana ndoto nyevu(wet dreamz) tena wakati wa asubh ninapokaribia kuamka, sasa inakuwa hata kwa wiki mara 3. Naomba kujua kuna madhara yoyote ya kiafya ambayo ninayo au yanayoweza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
je unaelewa kuwa chakula kikikaa sana mwilini huwa UCHAFU NA kusababisha sumu mwilini? NA si hivo tu kusababisha mwili kuvimba NA hata kuleta kitambi kisicho NA lishe. mwishowe kusababisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
One patient has now been off anti-retroviral drug treatment for 15 weeks and the other for seven weeks Two men infected with HIV for many years have been able to stop taking anti-viral drugs...
0 Reactions
1 Replies
846 Views
MAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA) imesema dawa za Dicloper na Diclofenac zilizopo nchini ni salama kwa matumizi ya binadamu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Katika ugunduzi wa kushangaza, mgonjwa wa kiume mwenye umri wa miaka 66 huko Hong Kong alijikuta akiambiwa na madaktari kuwa yeye ni mwanamke pindi alipokwenda hospitalini kwa ajili ya kutafuta...
5 Reactions
41 Replies
4K Views
Back
Top Bottom