Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

habari wanajamvi katika harakati zangu za kumpeleka mwanangu clinic,nimehudhuria zaidi ya mara sita katika clinic ya dokta massawe iliyopo hapo moroco karibu na jengo Airtel,na sababu ya mimi...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Your face tells a lot about your health Your face tells a lot about your health. Check out this guide to pinpoint where the root of the issue is coming from. Courtesy: The Holy Kale "Your Face...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu heshima mbele. Nime notice rangi ya kinyesi changu kuwa ya kijani kabisa kwa siku ya tatu sasa. Sipati maumivu yoyote wakati wa kujisaidia,na wala sina maumivu yoyote ya tumbo. Content ya...
0 Reactions
4 Replies
18K Views
Miaka kadhaa iliyopita nilileta posts nikiomba ushauri jinsi ya kukabiliana na hali ya kutokuwa na mtoto katika ndoa yangu kwa miaka kadhaa. Niliwashukuru, na naendelea kuwashukuru walionipa...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Mtoto wangu ana umri wa miaka 2 na miezi saba,siku mbili zilizopita ameanza kuwa na kigugumizi kikali sana akiwa anaongea. Naomba ushauri wako dr
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndungu wana jamii ninaomba mnisaidie ninahitaji COCK RING nitakipata wapi kifaa hiki, ninakihitaji sana kutokana na hali yangu. ahsanteni kwa wote mtakaojitokeza ktk hili hitaji langu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hakuna haha ya kukata tamaa ya maisha tumia supplements NA utapata maisha mazuri NA marefu YENYE afya nzuri. 0713507487, 0767507487, 0782898210.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu ninakipe/kinyama kwenye mwili wangu kiko kama cha Joketi but ni kirefu kidogo nataka nikikate.. Je kuna mazara yoyote? Au kuna njia nyingine kukiondoa au pia kama kunadawa naomba kujuzwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunafahamu kuwa mtoto anapozaliwa lazima alie(cry) ili kuamsha mfumo wake wa upumuaji pamoja na sababu nyingine za kimaumbile kama zipo. Swali; ni mechanism au coordination gani inayofanyika...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
Kuna mwanamke amebeba mimba mara mbili na anazaa kabla ya wakati na watoto anao wazaa huwa awachukui hata wiki wanakufa HIVI SABABU GANI ZINAZO FANYA TATIZO KAMA HILO KUTOKEA.
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Habari zenu wana jf nyote natumai.wazima wa afya ila nataka mnisaidie sababu gan inayofanya mtu nywele kutoka sana ukiosha utaona nyng zinatoka naomba.ushirikiano.wenu kwa.hili
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO, NI CHANZO KIKUU CHA SARATANI YA KOO? Saratani imeendelea kuwa tishio hapa nchini huku hofu ikiendelea kuikumba jamii kutokana na wataalamu wa afya kushindwa...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habari wana jf naomba mnisaidie jinsi ya kuutibu uume wangu kwa dalili hizi, umekua wa moto sana kuliko joto la mwili pia korodani zimesinyaa na kuonekana nimedisa mda wote. Hii imetokea baada ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hakika ni aloe ambayo imesagwa kama ilivyo bila kukamuliwa ili kuhakikisha inaleta ubora HALISI. Hii ni aloe ambayo imebeba VIRUTUBISHO 200 ili kugusa sehemu mbalimbali za mwili wako. Hakika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakika ni aloe ambayo ambayo imesagwa kama ilivyo bila kukamuliwa ili kuhakikisha inaleta ubora HALISI. Hii ni aloe YENYE VIRUTUBISHO 200 HALISI vya ubora ili kuhakikisha inakidhi matakwa ya afya...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
ACts to release anti ageing hormones. Affects insulin sensitivity so is particularly useful in maintaining blood glucose control. Helps to reduce blood cholesterol level. The pomegranate and...
0 Reactions
0 Replies
661 Views
Habari Madaktari na Wauguzi, its serious, ni cku ya 4 leo naumwa kiuno kwa upande wa kushoto, kilianza gafla nikiwa na tembea pasipo sababu yeyote, kinauma kwa ndani kias kwamba hata nikiwa kama...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Mkuu naomba msaada kufahamishwa, Mpenzi wangu nikifanyanae mapenzi anaumia sana kwa ndani karibu na kitovu! Pamoja na kumuandaa kwa kumnyonya na kuhakikisha za mwanzo zimetoka lakini bado anaumia...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Habari waku. Mwenzenu mda mrefu nywele zangu ziko na rang kama nyekundu hv mda mrefu nimejarbu kutumia hata zle dawa zakufanya ziwe nyeus lakn wap watu wananambia huenda kuna madini nimekosa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Jamani waungwana! Hebu nishaurini wapi ntapata huduma nzuri ya kuondolewa hii kitu,kwa kuzingatia umri wangu. Nakaribisha na ushauri mwingineo. Shukrani.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom