JF dk habari za majukumu ,swali langu dk leo ningependa kujua hawa ndugu zetu kina mama wanapo jifungua wanakaa muda gani(miezi mingapi ndipo awe tayari kwa kufanya mpenz)na mwenzie, hilo tu.
wapendwa kwa muda wa mwaka mmoja sasa nasumbuliwa na aina flani ya vipele kama vile vya baridi katika mikono yangu ,ktk jua na baridi vipoo. Nimejaribu kutumia medicated soaps and jelly mara...
Habari zetu wadau. habari za siku nyingi, Nimeleta kwenu
maada inayonitesa na kunihangaisha kwa muda mrefu sasa. Nimekuwa nikiugua typhody + malaria kila mara pasipo kupona kabisa na ninafuata...
Kila ninapowagusa watu wanasema nawapiga shoti kama ya umeme.....tatizo ni nini madaktari?mpaka naandika hii habari watu wengi wananilalamikia nawapiga shoti!tatizo ni nini?
Utapia mlo ni tatizo ambalo linakumba sehemu nyingi duniani
Utapia mlo husababisha asilimia 45 ya vifo vya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kote duniani. Hii ni kwa mujibu wa utafiti...
Salaam,
Najitoke kwa awamu nyingine katika jukwaa kuuliza vitu vifuatavyo:-
1. MAFUTA:
JF Doctors, tafadha naomba kufahamiswa kuwa nimafuta ya aina gani ni sahihi kutumika kwaajili ya kumtomasia...
JITIBU KWA KUTUMIA MAJI
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA TIBA KWA KUTUMIA MAJI:
Kanuni ya kimakisio kwa mahitaji ya maji ni; kunywa nusu ya uzito wako katika aunsi (ounces) ugawe mara...
100% MONEY BACK GUARANTEE ON HEALTH CHALLENGES
KISUKARI: Aina ya 1 and 2
UZITO ULIOZIDI/VITAMBI
DOZI: MWENZI MMOJA.
Njia ya 1; EDMARK P4.
1. OMEGA 48.
DOZI. WIKI 3 MPAKA 4 .
1...
Tafadhalini naomba kwa anayejua dawa ya kuongeza anijuze,iwe ni hebal or clinical kwangu sawa,please kama huna la kuchangia naomba upite tu kuliko kuweka utani na vitu kama hivyo,hii ni serious...
Natumain waungwana mpo poa, jamani embu nipeni ufumbuzi wa hili tatizo nini? Wife ana mimba ya miezi 6sasa, cha kushangaza amekuwa ana vimba sehemu zake za siri, cyo kila cku imekuwa inatokea...
Samahani wanajukwaa, naomba kujuzwa kwa kina zaidi juu ya vyakula hivi:
1. Oysters.
2. Arugula na Asparagus.
Naomba kujua aina tajwa hapo juu ya vyakula kuwa ni vyakula vya aina gani kwa hapa...
Katika mimea ambayo ina aphrodisiac properties (mikuyati), kunde za ----- ndio ambazo zinaweza kupatikana kirahisi sana maeneo ya Tanzania. Unaweza kuzikaanga kama unavyokaanga karanga, kisha...
Wadau kuna uwezekano wa kupata mimba katika mazingira ambayo ni miez 2 tangu kujifungua ila mtoto haikuwa riziki,tangu hapo huoni cku kabisa.Je ni kawaida hilo kutokea?Na baada ya hiloni kipind...
Wadau wa Jukwa hili,
Kuna kitu naanda!! Pamoja na hayo, nigependa kama kuna ugonjwa wowote ambao mwathirika akiupata anaweza kufa after specific period of time.....but let it be(say) after two...
Natumai mko poa waugwana binafisi nashidwa kujua nimuda gani mama mjamzto anashauliwa kuacha kushiliki tendo la ndoa na kama ataendelea nimadhala gani yanaweza kutokea kwa mama au kwa mtoto.
Habari zenu wakuu mimi n mama mtoto mtarajiwa, nina takriban miez 5 sasa. Naombeni kujuzwa faida na hasara za kufanya/kutokufanya tendo la ndoa, na pia katika kipind hiki cha ujauzito mwisho wa...