Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

jamaani mba kichwani zina nisumbua nifanye je?mim wakiume wala sipaki mafuta yoyote kichwani zaidi ya babycare
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni wiki kama ya nne hali hii inanitokea na cjajua nn tatizo kila nimalizapo ku sex baada ya kama saa moja iv mgongo unaanza kuuma haxa kwa chini karibu namakalio naombeni mxaada wenu kwan hali hii...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Naomba nielekezwe hospital nzur ya ngozi/dawa kutibu hl tatizo lng la alergy,nasumbuliwa na alergy(mzio)kwa mda sasa nahc ni ya chakula kwn natokwa n vipele vidogo vidogo vinavyowasha somtyms hasa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
mi nimeoa mke wang sas ana mimba ya miez 8 na anatak tujamiane e kunashida
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Imetahadharishwa kwamba kulala usingizi wa chini ya masaa 6 kila usiku kunaweza kusababisha mtu apatwe na kifo cha mapema. Watafiti wamesema kuwa watu ambao kwa kawaida huwa wanalala masaa hayo...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
wana jamii forum wenzangu,kwanza nashukuru sana,nlikuwa na vidonda vya tumbo,kwa ushauri wa wana jamii forum,sasa nina ahueni,ingawaje bado cijaweza kula vyakula vvyote,nkitumia kitu chochote...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomben ushauri kwa kila atakaesoma hii Nina mdogo wangu ni mwembamba sana tunajitahid kumpa balanced diet lakin habadiliki, tumemfanyia chek up yuko poa kila kitu, jaman kwa anaejua tusaidiane...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi, mtoto wangu mmoja wa kike na wadogo zangu wote wanne ni group 0+. Tatizo kubwa ni kuwa mafua ni tatizo kubwa mno kwetu, yaani yanatusumbua mno hadi mtu unalala, lakini magonjwa mengine kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Nilikuwa nasikiliza kipindi cha njiapanda clouds fm siyo muda, mwishoni mwa kipindi akaingia Dr Rahabu yule mgunduzi wa dawa ya kutibu vidonda vya tumbo ambaye kwa sasa anapatikana ubungo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Daktari habaria yako, mimi sina mimba ila napenda sana kula udongo, naomba uniambie madhara yake ni nini na pia jinsi ya kuucha mana nimejarbu sana kuacha lakini nimeshindwa.
0 Reactions
7 Replies
12K Views
habarini wadau? I just look for this goods, its Iso-active forming gel. kama kuna yeyeto anaweza jua wap ntapata na kwa bei yake nitafanya ata kuagiza. i was got it as gift from europe for my...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf mi napenda kujua tofauti kati ya UTI na GONO katika hali ya jinsi ya kuambukizwa, dalili zake, tiba zake na jinsi ya kujizuia.
0 Reactions
2 Replies
24K Views
Hili ni tatizo gani, huwa napenda sana harufu ya mafuta ya taa au disel, nikisikia harufu yake napenda sana. pia napenda sana harufu ya udongo, mfano kama mvua haijanyesha siku nying siku...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaman uwez amin kuhumwa niki2 kibya sana tena endapo aujui unacho umwa kuna jamaa katibiwa kila hosapital lakin akuna nafuu ila alikutana na doctor kutoka tumbi akagundua ansumbuliwa na ciphilicx...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jf Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto) kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni miaka ishirini imepita tokea nimepata tiba ya Malaria.Na mbu kila siku wananingata....Je kuna tatizo lolote?Nahitaji mawazo yenu Madaktari
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Je kuna madhara yoyote ukifanya mapenzi kinyume na maumbile? Naombeni ushauri
0 Reactions
10 Replies
4K Views
naomba kujua jinsi ya kupunguza uzite nisaidieni jamani,nafanya mazoezi bt sipungui na nina appetite nzuri,na je kuna dawa ya kupunguza appetite
0 Reactions
3 Replies
3K Views
UWEZEKANO wa wanawake wa mijini kupata vitambi ni mkubwa mara mbili ya asilimia 32 kwa miaka kumi ijayo tofauti na wa vijijini kwa asilimia 12 katika miaka hiyo, imeelezwa. Hata hivyo hali ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Napenda kukuambia unaweza kuepukana na tatizo la kiafya au kuimarisha afya yako kwa kupata tu lishe nzuri iliyoandaliwa kiasilia na kupitishwa na mamlaka ya chakula na dawa na pia kimataifa. Hapa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom