Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

WANAUME wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga wanapoteza nguvu za Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Afya ya Umma cha Havard (HSPH) kilichopo Boston nchini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pata Usingizi wa Kutosha: Unakumbuka tulipokuwa wadogo wazazi wetu walisisitiza sana kwamba twende tukalale mapema ili tukue? Bila shaka walikuwa wanajua kwamba usingizi ni sehemu muhimu sana...
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Ugonjwa wa moyo unaosababishwa na simanzi au kuachana na mpenzi/mwenza wako yoyote yule hujulikana kitaalamu kamaTakostubo aubroken heart syndrome. Ugonjwa huu husababishwa na kudhoofika ghafla...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuvuta sigara “kunaozesha” ubongo kwa kuathiri vibaya kumbukumbu, uelewa wakati wa masomo na uwezo wa kushauriana. Hii ni kulingana na wachunguzi wa King’s College, nchini Uingereza. Uchunguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maafisa wa Umoja wa Mataifa wametangaza kwamba, watu zaidi ya milioni 13.2 watafariki dunia ifikapo mwaka 2030 kutokana na maradhi ya kensa, idadi ambayo ni mara mbili ya ile ya mwaka 2008...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
5 Foods That Kill Cancer And Help The Body Destroy Tumors Without Any Drugs Certain proteins within our immune system hold the precise instructions needed to destroy cancerous tumours. In a...
6 Reactions
7 Replies
8K Views
​ . Neno food poisoning ni ugonjwa unaosababishwa na ulaji na unywaji wa chakula kilichochafuliwa au kuguswa na aidha sumu za bacteria au vimelea vya maradhi na kumsababishia mtu maumivu ya...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Moja ya madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni ugonjwa wa figo (diabetic nephropathy). Ugonjwa huu ambao huwapata watu wenye kisukari, hutokea muda mrefu baada ya mtu...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Habarini. "mwenzangu" amekuwa na tatizo hili kwa mwezi na nusu sasa. Ana vijipele vikubwa vimegandana kati ya sehemu ya uke na haja kubwa. Pale katikaji. Tumekwenda hospitali na akaambiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimeshuhudia Madr. Wengi sasa elimu yao wanaiweka upande na kuingia kwenye bishara hii ya kufanyia uperation wajawazito, operation huwa inafanyika kwa malipo makubwa kiasi cha laki6 kila mgonjwa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu wangu,mimi ninatembeza baiskeli na kazi zangu kedekede zinahusisha baiskeli.Je kuna madhara yeyote?Wenu, A Jina
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF naomba mnijuze, je bp inaweza punguza nguvu za kiume? matumizi dawa za kudhibiti bp nazo zaweza sababisha nguvu za kiume? na je, ni ipi tiba nzuri ya bp ya asili? asanteni.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ndugu wana bodi habarini, ni kama siku nne zimepita tangu ning'oe jino mdomo mwangu. Tatizo ninalopata ni kwamba kila nikila chochote napata maumivu kifuani mwangu. Naomba mnishauri je nini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nisaidieni jamani. Ndugu yangu anakovu kwenye ubongo, hii imemfanya apate stroke upande wote wa kulia wa mwili wake, Je nini tiba ya ugonjwa huu,ana miaka 6 tangu apatwe na tatizo hili.
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Hivi kuna uwezekano wa mtu kupangizia uzazi ikiwa unataka mtoto wa kike ama wa kiume au kama unataka watoto ''twins'' pacha! na kama upo uwezekano naomba nifahamishwe.
0 Reactions
0 Replies
811 Views
kila nimalizapo tendo la ndoa mara ya kwanza nikitaka tena mara ya pili inaniwiya vigumu nami bado nnakuwa nna hamu naomba msaada wenu wazee wa tiba.
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Waziri wa afya, Dk. Hussein Mwinyi. Ugonjwa wa kimeta umelipuka katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro na kusababisha kifo cha mtu mmoja na mifugo kadhaa. Kutokana na hali hiyo, wakazi 386...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF Salaam. Leo nakuja nikihitaji kupata ushauri wenu wa kitabibu. Kwa sasa nina matatizo ya kiafya yanayonisumbua; Kwanza kabisa kabla ya yote naomba nitoe background yangu ili iwe rahisi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
WanaJF wenzangu habari za majukumu tafadhali naombeni kwa wanaofahamu tiba ya ugonjwa huu wa kupooza upande mmoja uliompata mama yangu anateseka.Kwa mara ya kwanza ulimtokea mwezi wa 5 akapewa...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Tatizo langu ninapofanya tendo la ndoa mara moja mara ya pili inaniwiya vigumu wakati hamu bado nakuwa nayo naomba msaada.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom