Habari wana jamii!
Jaman kwa wale wenye kujua jinsi ya kutoa tatto nahitaj msaada,nina mdogo wangu wa kike 17, leo naamka asubuh naona anatembea kainama hlf kajifunika begani namchukuza kachora...
Habari za kazi wana jf mie bwana nina tatizo mwaka wa 3 nimejaribu kwenda ospitali mala kwa mala lakini wapi tatizo langu nina fangasi sehemu za sili na ugonjwa wa mgozi usoni nikitumia dawa uwa...
Heshima wakuu,nna tatizo la mtoto kutokwa na usaha sikioni ni nini sababu ya tatizo hilo na pia ni jinsi gani ya kutibu ikiwa ni dawa basi dawa gani atumie ili aweze kuwa okay ni mtoto wa mwaka...
Viwangovyamaambukizi ni vikubwa zaidi katika mikoa ya Njombe (14.8%), Iringa na Mbeya (9%) na ni vyachini zaidi Zanzibar na Manyara.
Nchi nzima, 5.1% ya wanawake na wanaume wenye miaka...
'heshima wakuu,nna tatizo la mtoto kutokwa na usaha kwenye sikio ni nini sababu ya tatizo hilo na pia ni jinsi gani ya kutibu ikiwa ni dawa basi dawa gani atumie ili aweze kuwa okay ni mtoto wa...
Guavas (Myrtaceae) are round fruits with a thin bumpy outer skin and creamy inner pulp that is packed with seeds.
Health Benefits of Guavas:
Increased Protection from Bacterial and Viral...
Im extremely baffled at this. I need my science/biology majors to help me out here because Im totally and utterly confused about this. Did I miss something in my Health Sciences class when the...
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 47 kutoka jimbo la Michigan nchini Marekani amepata ugonjwa adimu sana(rare disease) wa mifupa baada ya kunywa chai iliyotengenezwa kwa aina mia moja ya majani...
Please Doctors, kindly you may assist me on the following;
What are the causes of dying delivery women despite the presence of White Ribbon Alliance?
What is the history of White Ribbon?
Please Doctors, kindly you may assist me on the following;
What are the causes of dying delivery women despite the presence of White Ribbon Alliance?
What is the history of White Ribbon?
wakuu,last week nilikuwa Kenya kuudhuria jambo fulani hivi.nikapata kusocialize na baadhi ya wakenya.niliulizwa maswali mengi ikiwemo utata wa kuwepo kwa watu wengi wenye tittle ya "DOCTOR" ndipo...
Hope you open this with a gud health!
Jamani wataalamu, mi naomba mumsaidie huyu mdada nipo nae chuo ana tatizo miguu ya ina alama nyeusi (makovu/madoa) ambayo aliyapata wakati wa utotono na...
Habari wanandugu..... Mimi ni mgeni humu. Nina miaka 27... Tatizo langu ni kwamba nina hisi testosterone zangu zimeshuka maana uume unashindwa kusimama vizuri na msisimko umepungua, je hapa dar ni...
JIRANIA KHOLA, India A desperate Indian father whose young child suffers from a condition that caused her head to swell up to an enormous size said Saturday he is praying for a "miracle" to...
Habar zenu jaman mm naitwa Said yahya wa Zanzibar naomba msaada wa hili nililonalo....;
jamn mm nna tatizo la kimwili yaan kam nitafanya mapenz na mpenz wang kabla cjafanya mapenz wakat na...
Jamani baada ya mvutano wa hapa na pale, nimeamua kukubali matokeo kujipima mimi na wife...kituko ni jinsi ya kukitumia hajui na mimi ni hivyo hivyo msaada jamani kwa mwenye kujua.
mtoto wangu nahisi anateseka maana jicho litoa matongotongo. Hapo mwanzo tulishauriwa mama yake amkamulie maziwa yake lakini bado hali inaendelea. Halafu ni siku ya nne hajapata choo. Ni mtoto wa...
Habari wanajamii forum wenzangu....
Kwa yeyote anayefahamu dokta au mtaalamu yoyote anayehusika na maswala ya usingizi naomba anijuze hapa niweze kumuona. Kifupi nakosa usingizi...
Hello mwanajamii! Natumaini unaendelea vema na kazi zako za kila siku. Hapa napenda kukushirikisha namna mtu anaweza kuepukana na tatizo la presha ya kushuka. Wapo watu wana hamu sana kujua namna...