Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Yani huwa pua linaniwasha siyo kawaida,huambatana na chafya mfululizo yenye mafua.pia mafua ya ghafla hunijia endapo nitakutana na pafyum kali,rangi kali nk. Niliambiwa nina aleg ¤ dawa yake ni nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jamvi, Naomba kama kuna mtu anamfahamu dakatari wa akina mama ambaye anaweza kumsaidia auntie yangu ambaye ana matatizo ya kushika mimba. Nitashukuru kama nitapata jina lake, namba zake za...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Habari Jf;mimi nina ndugu yangu ambaye miaka miwili nyuma alikuwa yupo na mwili wake namanisha alikuwa na nyama nyama kidogo ila hakuwa mnene sana lakini tangu aje zanzibar amekuwa akikonda sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi, nimepata kusikia juu ya uwepo wa kipimo cha HIV ambacho mtu anaweza kutumia kujipima mwenyewe. Naomba mwenye kufahamu juu ya hilo kama ni kweli kipo, kinapopatikana na bei...
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Jamani naomba mwenye uwelewa zaidi ya izo condition.kutowepo kwa mwandu(vaginal agenesis) and vaginal atresia
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wataalamu naombeni mnisaidie ni nini hasa chanzo cha mtu kupoteza sauti? rafiki yangu kanitaarifu kaamka leo sauti haitoki vizuri na anahisi maumivu ya mwili mzima, ni nini tatizo wadau?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hivi kuchafuka kwa damu ni nn? Kitu gani kinasababisha? Dalili zake ni zipi? Je ni nn athari zake?
0 Reactions
2 Replies
35K Views
*Lack of face to face social contact increase a person's chance of heart disease,stoke and dimetia
0 Reactions
0 Replies
667 Views
kwanza salaaam jaman ninashida sana na Dr.Omary ambaye mara ya mwisho alinitibu 2008 pale St.Francis hosp Ifakara ila kwa sasa sijui yupo wapi maana nimejaribu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nisaidieni kwa hilo wakubwa
0 Reactions
22 Replies
18K Views
Wakuu tuna baba yetu anatatizo la kuvimba miguu na tumbo kujaa na moyo unamatatizo pia hali kabisa chakula, sasa tumepima hospital wamesema figo zinamatatizo pia tumboni kumejaa maji so inabidi...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Hello Wanajamii! Bila shaka kila mtu anaendelea vizuri na kazi zake za kila siku na hatuna budi kushukuru kwa hilo. Tunapenda kupanga mambo yetu ya kimaisha na yanatakiwa yaende kama...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Ni kweli kuwa wagonjwa wa akili hurogwa au ni matatizo ya kisaikolojia?
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Ni jzi tu nliomba ushaur wnu juu ya mke wngu kubleed akiwa nimjamzto leo mchana mimba imeharibka rejea mjamzito anabreed
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jana usiku saa nne nilimeza mathakelfin za kenya tembe mbili na panaldo tembe mbili ili kupambana na maleria,nililala vizuri lkn leo asubihi nikajikuta nakunywa mazawa glasi mbili za moto bila ya...
0 Reactions
0 Replies
821 Views
loh jamani naomba msaada wenu,my son ana miaka 3...ndo ameanza shule january..yaani before i never experience kuandikwa andikwa ndani but nw imekuwa hectic...nimeshamgombeza hadi kumchapa na kwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nini chanzo cha mwanamke kwenda siku zake mara mbili kwamwezi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari za asubuhi wana Jf,wana Jf naomba mnisaidie nina tatizo la kubabuka kwene korodan linatokea muda kisha linapotea wengine wakaniambia labda ni joto au maji maana npo dar na sijawahi kupata...
0 Reactions
17 Replies
16K Views
Hi all, Kwa mwaka wa tatu sasa nimenote kua I develop a strong insomnia that impacts severely on my ability to focus, to work, to interact socially and just to be useful to myself and people...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Erectile dysfunction (ED) is sexual dysfunction characterized by the inability to develop or maintain an erection of the penis during sexual performance. Causes: Depression The brain is an...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…