Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

If it takes just one sperm and one egg to create a baby, why must men make so many sperm? And how many sperm are considered normal? How long do sperm live? Can they survive outside the body? Do...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Nimepima UTI sina lakini napata maumivu kwenye kibofu cha mkojo je linaweza kuwa tatizo gani?au vidonda v ya Tumbo nilivyo navyo ushauri tafadhari Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nisaidieni napata muwasho sana baada ya kuoga.yani nawashwa sana.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Uvutaji sigara ni hatari kwa ubongo kulingana na wanasayansi nchini Uingereza Kuvuta sigara “kunaozesha” ubongo kwa kuathiri vibaya kumbukumbu, uelewa wakati wa masomo na uwezo wa kushauriana...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada wakuu
0 Reactions
4 Replies
4K Views
nimekunywa konyagi,bt nina dose ya kikohozi ya dawa inayoitwa ZECUF, je,nikinywa dawa ntapata madhara au haiwez kuniletea madhara? na kama ntapata madhara,je ni yapi hayo?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dunia hii sistaajabu concerning women beauty, kuna dada mmoja yupo ana saloon yake ktk njia ya kuingilia kwangu, ni jirani tuseme, kaniomba zawadi ya dawa ya kuongeza makalio, tena yupo serious...
0 Reactions
31 Replies
11K Views
habari wana JF. ni matumaini yangu wote tu wazima wa afya,ni jambo la kumshukuru mungu,, naomba kuuliza tofauti iliyopo kati ya dalili za ugonjwa wa kifua kikuu na ugonjwa wa Ukimwi,,,yaani dalili...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hellow JF Doctors Mnaweza kutembelea hii website kisha tukajadili abortion
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Sasa kitu kichafu huenda kikaonekana si cha kuweza kupikwa, lakini ni kitu ambacho kinavutia katika maeneo mengi ya Afrika - hasa miongoni mwa akina mama wajawazito wanaohitaji virutubisho...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Last night, i was on ER night shift .... one of my colleague alikuwa amechoka sana .... nikamuuliza " what`s going on " akanambia , have u ever heard about Fatal familial insomnia.....?! of coz...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mala nying mkojo wa asubuhi huwa wanjano,Narucwa kunywa hivyo kwaajili ya V-Tumbo? Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Muundo ya moyo na mishipa ya damu ni mojawapo ya vinavyooathirika katika magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo. Vijusi(fetuses) kati ya 8 hadi 10 huathirika kwa kila 1000.Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dalili na ishara za uja uzito Dalili za ujauzito hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, ingawa kuchelewa au kukosa hedhi ni dalili moja muhimu sana Ni muhimu kuzitambua na kuzifahamu...
0 Reactions
0 Replies
11K Views
Naumwa sana sikio, kuna kitu kimevimba mpaka kuziba tundu la sikio, nisaidieni wapi doctor mzuri wa masikio nitampata
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanaume akiwa na damu group O positive na mwanamke pia akawa na hilo group O positive, kitaalamu kuna implications gani katika masuala ya uzazi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimetoka hospitali mda si mrefu kilichonipeleka ni kupima maleria kama nilivyoshauriwa na Mzizimkavu Group ya Damu pia uwa mara moja moja naumwa chini ya tumbo upande wa kulia ila juzi nilibanwa...
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Habari wakuu Naomba anaejua madhara ya kunyonya uume kwa wote wawili mwanamke na mwanaume.
0 Reactions
64 Replies
70K Views
Ni ramli ya kizungu au ni nini? Sometimes nikiwa katika kipindi cha ovulation kiuno/nyonga huwa inaniuma sio sana lakini.especial kama ni ovary ya upande wa kushoto, sasa juzi ikanitokea...
13 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari wana jf, Mwanamke mwenye mzunguko wa hedhi siku 32 na akakutana kimwili na mwanamume siku ya 19-22 bila kutumia kinga halafu akapata tena periods mwezi unafwata ila siku zimepungua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom