Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Nimetafakari sana kwa uchungu baada ya kuona picha kwenye mtandao kuhusu mtoto aliyefukiwa mara baada ya kuzaliwa ikiwa ni lengo la kumuua kama ilivyokawaida kwa wajawazito kuua watoto wao...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The UK could become the first country to allow babies to be created from three parents. Tiny amounts of DNA from a third parent would be used to prevent children from being born with...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu eti ni yapi madhara ya punyeto na nini tiba yake,nimejaribu kusearch sehemu mbalimbali ila mawazo yanakinzana wapo wanaodai inamadhara wengine wanadai haina madhara,upi ukweli wanajamvi?
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Naombeni ufumbuzi wa tatizo langu la kutoa vitu kama manii au usaha sina uhakika, lakini ni kama uji mwepesi mweupe kabla au baada ya kukojoa au haja kubwa. M.oo haina maumivu yeyote.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
​ Wanaotazama runinga sana hupoteza nguvu za kiume - Utafiti Kwa Mukhtasari Utafiti unaonyesha wanaume wanaotumia muda wa saa tatu na zaidi kwa siku kutazama runinga wanapoteza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Issakwisa Mponi MWANAMKE mmoja, Asia Ally Abeid (35 ) (pichani), mkazi wa mtaa wa Msikitini, Buguruni kwa Mnyamani Dar, amefika katika Ofisi za Global Publishers Ltd na kulia kwa uchungu...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimeona nilete hii mada hapa JF ijadiliwa na pengine itapatiwa ufumbuzi maana naamini kuwa wahusika au Owners wa Tumaini Hospital ni wadau pia wa JF. Hivi mnaweza kuamini kuwa hospitali kubwa kama...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
naomba jamani wataalam wa tiba na wana jamii forum mnifahamishe, hivi tunavyoambiwa na madaktari pale tunapoenda kupima ugonjwa wa malaria, utakuta unaambiwa una malaria2 au 3 au 1 inamaana gani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau habari zenu,nakuja tena hapa jukwaani kuomba msaada wenu kwa masahibu yanikutayo!nina mwanangu ana umri wa miaka miwili sasa,cha ajabu kila ifikapo usiku,hasa kuanzia saa tatu,uwa analia...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
habari wakuu mimi n kijana wa miaka 22 kwa sasa ,nmefanya sex nikiwa na miaka 21 kwa mara ya kwanza but hyo siku nilisex kwa dk kama 5 hiv then uume ukasinyaa sasa nashindwa kuelewa ni nin hii...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Ninapokua nafanya mapenz na baadh ya wacchana nashindwa kuenda zaid ya mbil lakini kuna hao wawili nikiwa nao on bed naenda mpaka 6 xometimes nakuwa na hamu yakuendlea ila wanakataa wanadai...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wandugu,kwanza ahsanteni sana kwa ushauri na tiba mbadala,kwa kweli jamii forum iko juu sana,sasa jamani kuna tatizo,kuna shemeji yetu mmoja anahitaji msaada wa hali na mali,tatizo ni kwamba ana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Mkono wa kushoto kufa ganzi kwanye vidole viwili vya mwisho nikiwa ni melala Sent from my BlackBerry 9780{katefar}
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu,kaka yangu ana tatizo hilo na lilianza kama kuna miba ilimchoma kidole cha mguu wa kulia.Amepima kila kipm hola.
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Nimeiona hii Neema blog ila sijui niche:becky: haya kwa wale wenye mgogoro jaribuni! SULUHISHO LA UPUNGUFU/ UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME. Zipo dawa za asili za aina mbalimbali...
2 Reactions
18 Replies
8K Views
Wakuu hapa kijana mwenzenu naumia,,,huwa nina kawaida ya kufanya mazoezi asubuhi na mapema so huwa nawahi kuamka,, Basi juzi nilikua nimedamka mapema kwa ajili ya kupasha mwili, cha ajabu...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Heri ya mwaka mpya!!! Wakuu hasa wenye ufahamu wa kuhusu tatizo la maiti kutokwa na damu puani na masikioni mpaka watu kuziba kwa pamba sehemu zote za mwili zinatoka damu.Naomba msaada au ushauri...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Chuo chaTiba (TIHEST), Reg No: REG/HAS/117P Kina Tangazanafasi kwa mwaka wa masomo 2013/2014. · Tabibu (ClinicalOfficer) · Mtunza kumbukumbu za Afya (Health Record Technicians)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wakuu... hospitali gani inatoa huduma nzuri za kusafisha meno ama kuya ng'arisha yawe meupe na pia kutibu moja linalo sumbua.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…