Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu, Mara nyingi nikipewa dawa za minyoo huambiwa nitumie asubuhi kabla sijala kitu chochote. Natambua kuwa huo ni muda muafaka kwa assumption kwamba tumbo linakuwa empty kwa maana kwamba...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
hivi inawezekana kufanyika Liver transplantation? na je ini lina uwezo ku-regenerate?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwenye miaka ya 80 na 90 nilikuwa nabugia kilaji sawasawa tena bia kama Safari ilikuwa haifai kwangu mbele ya Kibo, Lion, Uhuru, Serengeti, Castle na ze Kick. Hivi karibuni bia hizo zinanikataa...
0 Reactions
2 Replies
941 Views
In a stunning look at the medicinal properties of marijuana use, a study published in the American Journal of Epidemiology has found that obesity rates are lowered by roughly one third in those...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamani hivi mba tiba yake ni nini?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Chamosi, H.J. BAADA ya kuona kwa muhtasari faida au umuhimu wa mafuta mwilini, ni vyema tukafahamu tutayapataje au tutaupatiaje mwili wetu mafuta hayo. Kwa kukukumbusha ndugu msomaji, ni wewe...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani wandugu nimekuwa na malaria isiyoisha, yani simalizi mwezi cjaugua malaria zaidi ya mara mbili, nimeshacheck full blood picture hakijaonekana kitu zaidi ya malaria, msaada pls.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nini dawa ya tumbo la hedhi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kuna madhara yoyote yanayotokana na kula mchele mbichi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What are the other effects of Rheumatoid Arthritis on our body? I mean except JOINTs what are the other parts that may get affected. Thanks Leo
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Most of us thank sunlight in terms of natural healing for one thing: the sunshine vitamin – vitamin D. But cavity- and cancer-preventing vitamin D isn’t the only reason to spend time in the sun...
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Jamani doctors poleni na majukumu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, kwa mda wa mwezi mmoja nimekuwa nikisumbuliwa na mafua hasa nyakati za usiku ninapolala na asubuhi ninapoamka, nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ameshangolewa Meno saba hadi sasa, ni binti tu wa Miaka 25.Jamani wadau saidieni kumshauri hapa dawa gani sasa apate ili yasiendelee kumwuma hatimaye kung'olewa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu? Nijambo la kawaida kweli kupata hedhi ukiwa unanyonyesha?kama sio ni dalili ya nini? Naomba mnieleweshe. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari,mpenzi wangu amekua akilalamika kuumwa na tumbo kila mara baada ya tendo,tumbo hua linamuuma chini ya kitovu.she iz 22yrz na wala hatutumii nguvu kwenye tendo,some times goli moja tu na...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
kuna jino lilikuwa linanisumbua la chn moja na la juu moja opposite tu! nikaenda kung'oa la chn hospitali! la juu nikaweka dawa flan yakienyej ili likatke katke hapo baadae, dawa hyo alinipa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya watu hupendelea kunywa kahawa chungu saa za jioni.Mimi nimejaribu kunywa,lakini nikinywa vikombe vinne vidogo inanisababisha nakosa Usingizi kabisaa.Je,haina madhara na ina kitu...
0 Reactions
1 Replies
39K Views
Nimekuwa nikipata tatizo la kutopata choo kwa muda mrefu sana naweza kukaa hata wiki nzima bila kupata choo bt nakula vizuri kawaida milo 3 sijui hata hicho chakula kinaenda wapi nimeonana na...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeona mabango kwenye zahanati na hospitali yanayowashauri watu wanaopatwa na kikohozi kuwa kikiendelea zaidi ya wiki mbili wakachecki kifua kikuu. Kulingana na utafiti uliofanywa hivi karibuni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dr mimi nna tatizo nkivaa viatu miguu huvimba maji baada ya mda kidogo uvimbe hutoa maji na kuacha vidonda na mabaka katika nyayo za miguu! Dr. tatizo langu linantesa sana naomba unsaidie kutatua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom