Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Napenda kujua upatikanaji wa Mimba kwa Mwanamke mwenye Blood group A Rh-
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wakuu naomba mwenye uelewa wa athari za mirungi atueleze,ingekua vizuri akaelezea athari za mda mfupi na mda mrefu,pia kama ina madhara makubwa kihivyo mbona nchi jirani ya kenya imeruhusiwa?ina...
1 Reactions
12 Replies
12K Views
Nimeanza kuugua tarahe 14/01/13,baada ya kusikia maumivu makali ya kichwa,mafua makali pamoja na kukohoa kwa hapa na pale,siku inafuatia nikaenda kupima malaria nikaambia iko 2,nikachukua dawa...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Jana nilikuwa na ndugu kadhaa rose garden tunabishana kuhusu uwezo wa mtu mzima kupata malaria 500 katika mjadala alitokea kijana mmoja aliesema amefanikiwa kusoma muhimbili chuoni aka disco mwaka...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Miaka ya nyuma sikua na tatizo hili lakini kuanzia mwaka 2008 niliporudi toka makambako nkapata kifua kikali sana kilichinisumbua takribani miezi miwili.Nilpofanikiwa kukitibu likaja tatizo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau Naomba kujua ni vipi unaweza kupunguza ulaji wa kupitiliza [ULAFI] je kuna njia yoyote tiba ama namna ya kupunguza ulaji? Hata baada ya kucheki minyoo na tumbo?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
je kuna madhara yoyote yakutimia detol kama mouth wash?
0 Reactions
2 Replies
5K Views
hbr zenu wanajamvi nina rafiki yangu jamani ananyama za tumbo yani kaisha jaribu kufanya mazoezi lkn haijasaidia afanyaje ili ziishe?
0 Reactions
4 Replies
989 Views
Poleni na majukumu wapendwa! Wiki iliyopita niliandka thread hapa kuomba ushauri juu ya tatizo la kusumbuliwa na jino. Nilipewa ushauri na Mzizi Mkavu juu ya kukinga mkojo wangu na kusukutua kila...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nini sababu ya tumbo kuunguruma kwa muda mrefu?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba kufahamishwa kuhusu huu ugonjwa, unatokana na nini dalili zake n.k Kuna my friend kafariki juzi (R.I.P buddy) alkwenda hsptl akaambiwa ana fangasi ya ubongo coz alikuwa...
2 Reactions
26 Replies
15K Views
Kipi ni chakula kizuri kwa mtoto mwenye sicle cell trait?wataalam naomba mnijuze.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Doctor's napenda kujua faida au uzuri wa kuwa na blood 0. Ni hayo tu
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau- Nimeona post nyingi za kupunguza unene/uzito. Nimepewa diet plan na rafiki yangu so thought would share it with you - it is said to work well when accompanied with a daily 30 MIN...
1 Reactions
0 Replies
6K Views
Wakuu naomba mnijuze namna ya kutengeneza supu ya aina yoyote kwaajili ya mgonjwa isimkifu,vifaa vyoye nnavyo.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kwa kawaida huwa ninapata hedhi baada ya siku 27 au 30, nimajaribu kama miezi mitatu kupata ujauzito ila naona hola. naombeni ushauri hapo ni siku zipi sahihi za kupata ujauuzito. pia naweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu poleni na majukumu., naomba mnisaidie kwa mnaofahamu madhara ya kutumia spirit sehemu za siri baada ya kunyoa.Kuna rafiki yangu alimwona msichana wake wa ndani anajikuna sana...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Kwa kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.Safari za mwisho wa mwaka,zimenifanya niigundue hospitali hii:Ambapo mambo yake ni kinyume kabisa na taratibu za Wizara ya Afya.Wahudumu huingia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WAKATI wasanii wakubwa wa kimataifa wakiaminika kuwa kioo cha jamii na mfano bora wa kuigwa na watu wengi, kitendo cha msanii Beyonce Knoweles wa Marekani kukubali kuwa balozi wa kinywaji cha soda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau..ni nini sababu ya kuwashwa kwa ngozi..hasa baada ya kuoga?..na ni namna gani mtu anweza kujikinga nayo?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom