Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wataalamu wa Afya wanasema kuwa, awamu mbalimbali za maisha zinahitajia ulaji wa chakula wa aina tofauti. Iwapo wewe ni mtoto, mwili wako unahitaji virutubishi ili kusaidia ukuaji wa mwili, kama...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nina kaka yangu ambaye ana umri wa miaka 54 na amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kushindwa kukojoa anawezeza kutoka usiku hata mara nne kukojoa. Tatizo hapa kwetu kuna tatizo hilo limekuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF,Wapendwa naomba msaada wenu kwenye hili tatizo linalonitatiza,imekuwa ni wiki sasa huwa napatwa na usingizi mzito sana ifikapo saa nne asubuhi,yaani iwe nimewahi kulala usiku au...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna hali ambayo naona inaanza kunitokea hivi karibuni, nikiwa nawaaza kitu nasikia kichwa kinaanza kuuma na pia moyo unaanza kwenda mbio, Hivyo kwa ushauri na jinsi ya kufanya namna gani...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jaman watalamu miye ni mnyaji mzuri wa beer kuanzia nane mpaka kumi na zaidi ila kwa sasa nikinywa beer 2 tu nahisi tumbo kujaa inamaana beer ya tau siwezi kuinya sijajua tatizo ni nini
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamii! Mimi nina ndugu yangu, ana tatizo la anger management na anxiety disorder, hii nimegoogle nakuona tabia zinaendana na magonjwa hayo. Ila naona ni vema akionana na mtaalam...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
098-0-
0 Reactions
1 Replies
822 Views
Very soon women will pay men to suck their breasts! BBC Homepage Top News Story - Doctors recommend that women reduce the risk of breast cancer, by having their breasts sucked and fondled on. It...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nina kitambi flani hivi hadi kimeanza kumkera mamito wangu, naskia ukinywa pombe kali zinasaidia kuyeyusha mafuta chini ya ngozi tumboni, ofcoz huwa nakunywa sana valuu ndio siku 1 nikaamua...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Shahawa ni yale maji mazito meupe yamtokayo mwanaume wakati anafanya tendo la ndoa. Mbegu za kiume huwezi kuziona kwa macho mpaka utumie darubini maalumu. Shawaha (semen) hutengenezwa tofauti...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Jf doctors nisaidieni: ninasumbuliwa na vipile kwenye kisogo, vidogodogo na vinawasha wakati fulani. nitumie dawa gani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu Wadau, Mwanangu (15) jinsia (KE) ana uvimbe kwenye ziwa lake la kulia likiambatana na maumivu wakati fulani.Tumeigundua takriban miezi mitatu sasa na tumewaona wataalamu wa hospital (mount...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Mambo niaje wanajamii, najua wengi tupo kwenye mapumziko ya week end! Nina rafiki yangu anasumbuliwa na vipele kisogoni,vilianza kama utani miaka mingi iliyopita na sasa imekuwa tatizo sugu...
0 Reactions
3 Replies
37K Views
habari wakuu mimi n kijana mwenye miaka 21 nipo chuo na uzito wa 50kg thn nqa uref wa 5.4 nashindwa kuelewa kwa nini uzito wang ni mdogo kiasi hicho wakati nakula vizur bila ya hata kupitisha mlo...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari wadau Naomba kuuliza ni ugonjwa gani huu kwenye mapumbu kuna kuwa na pumbapumba na kama zinabanduka hivi lakini hakuna maumivu yoyote tatizo ni nini na ni ugonjwa gani?na dawa gani inaweza...
0 Reactions
38 Replies
43K Views
habari wana jf mimi n mvulana mwenye miaka 22 nilikuwa na chunusi kwa muda wa miaka mitano mpka sasa lakin nlikuwa natumia dawa mbalimbali bila mafanikio ila mwaka huu mwezi wa kumi na mbili...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Siku izi kumekua na hali ya kupata shida ya kupata watoto/mtoto kwa wanandoa ambao wameingia kwenye ndoa bila ya kua na mtoto,,Hata kama wote wawili hawana matatizo bado utakuta ni shida...Kunani?
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Sasa unaweza kuachana na dawa hizo za Kichina, baada ya kugundulika mmea wenye uwezo wa kukuza makalio, matiti, pamoja na kurefusha uume. Taarifa za kiutafiti zinautaja mti huo kwa jina la Mvunge...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu. Najaribu kutengeneza orodha ya vyakula na vinywaji ambavyo kwa namna moja ama nyingine huchangia kuporomoka ama kushuka kwa kinga yetu ya mwili dhidi ya magonjwa kiasi cha...
1 Reactions
35 Replies
14K Views
Ndugu wanajamvi nijuzeni kuhusu Napenda kujua upatikanaji wa Mimba kwa Mwanamke mwenye Blood group A Rh-
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom