Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu good evening. Natumai mpo swalamaaaaaa na utanipa ushauri. My Lil' Man is almost 4 months. He was a big baby at birth na namshukuru Mungu tunaendelea vizuri. Sasa basi he sweats alot...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wanajamvi nipo huku moshi kumalizia kuselebuka na masikukuu ya mwisho wa mwaka sasa nahitaji daktari wa meno kwa ajili ya mama yangu , tafadhali kwa mkaazi wa moshi anijuze hospitali nitakapompata...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuna madhara gani yanayoweza kumpata mtu anapoingia mapema kwenye chumba ambacho kilifanyiwa fogging au fumigation? je madhara yakoje kwa mwanamke mjamzito? kuna namana yoyote ya kuthibitisha hewa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nasumbuliwa sana na nyongo iliyozidi,dalili kubwa nilizonazo ni kucheuwa kitu kichungu sana, loss of appetite,kichefuchefu,tumbo kujaa gas, na tumboni nahisi kama kuna kitu kinazunguka. msaada...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kwa hapa Dar ni wapi naweza pata izo kitu kwa hapa Dar? Kwa anaejua tafadhali..
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Wana Jf, Naomba kila mmoja ajaribu kuvaa huu uhusika, kisha nipe ushauri.. Mke ana mtoto wa miezi mitatu lakini kapata ujauzito na sasa wiki tatu, utafanya nini wewe kama baba au mama? Ushauri...
0 Reactions
41 Replies
19K Views
jaman habari zenu. nilikua nataka kufahamu je ni muda gani mwanamke anaweza kupata siku zake mara baada ya kujifungua.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani nahitaji kupunguza tumbo.nifanyeje??...(niwe na six parts)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu!! Naombeni msaada wenu wa hasa kwa wanaoelewa zaidi, mm ni msichana mwenye kufanya shughuli zangu kati ya Tanzania na Zambia,usafiri ninaotumia kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mama yangu mzazi,anasumbuliwa na maumivu makali ndani ya mfupa kuanzia kiunoni hadi kwenye goti,kwa maelezo yake unauma kama kidonda ndani ya mfupa, ameenda hosp kapiga x ray wanasema kuna...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Tetesi ya dawa ya gojwa sugu liualo watu takribani ni watu million moja duniani ipo njiani kukamilika.tetesi hizi zikitolewa Ajazeer kama kituo maalumu cha kulushia matangazo kimedai kuwa kuna...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada jinsi ya kupiga mimba mwanamke mwenye mzunguko mrefu siku 40, yaani akipata hedhi ya kwanza anakaa siku 40 anapata hedhi nyingine tena huyu nitamliaje timing? Kila...
1 Reactions
24 Replies
15K Views
Mimi ni mpenz sana wa nyama ya kuku hasa kuku wa kienyeji.Nimekuwa nikila nyama hyo napenda kula mpaka ngozi lakini nimesikia kwa baadhi ya wadau wakisema ngozi ya kuku siyo nzuri kiafya kuila iwe...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Ndugu zangu! Nakuja kwenu kutaka ushauri wa kitabibu kwa hili tatizo linalonikabili! Kwa muda sasa napata maumivu makali ya moyo ambayo muda mwingine inapelekea hadi nakosa pumzi, na mbaya zaidi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mama mtu mzima afiwa na mme wake takriban miaka 13 iliyopita. Sasa toka katikati ya mwaka jana amekuwa akigonjeka kweli kweli. Sasa baada ya Mtoto wake moja kumpeleka hospital kwa vipimo, majibu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa, Natumaini wote mu wazima wa afya nawatakia heri ya mwaka mpya wote. Mwenzenu nina tatizo nina mtoto mdogo wa umri wa miezi kumi (10/12), tatizo toka nijifungue kila siku...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
mwanzoni hakuwa hivyo, ila sikuwa kuishi naye kwa muda mrefu akiwa hana mimba, sasa nashindwa kuelewa alificha makucha au ni kwa sababu ya mimba! Na mimba yenyewe ni kubwa. Mwenye exprience...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
CALCIUM Calcium-rich foods include milk, cheese, and yogurt; vegetables like kale, broccoli, and Chinese cabbage; and canned sardines and salmon with soft bones that you eat. IODINE...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kheri za sikukuu wandugu. Nina mzee wangu ana tatizo la kuwashwa sehemu zake za siri kwa ndani na kupata maumivu makali,tumekwenda kwa baadhi ya hospitali hapa DSM bil amafanikio,je kuna mtu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
JF Doctor heri ya mwaka mpya! Wakuu naombeni ushauri jamani ni kuwa siku ya mwaka mpya mke wangu alijifungua katoto ka kiume kakiwa na 4.5kg jambo lilioongeza furaha nyumbani ukichanganya na mwaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom