Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Habari wadau Naomba msaada wa ushauri,nina mtoto wa mwaka mmoja na nusu,tangu jana ameanza kutoka majipu sehemu mbalimbali mwilini,hivi nini chanzo cha majipu,na kuna dawa ya kuyaondoa pasipo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dada yangu amemaliza masomo yake ya udaktari wa binadamu mwezi huu,nchi moja ya Ulaya.Kuna nchi nyingine amepata nafasi ya kufanya internship lakini mwenyewe amesema,anapenda zaidi kuja kufanya...
1 Reactions
12 Replies
15K Views
Wanajf doctors, nina rafiki yangu ana ugonjwa ambao nyakati za usku akiwa amelala! Anakoroma kwa nguvu huku anapikicha sikio na pua,alafu ukimstua anastuka na ukimuuliza anakuwa hajui kilichokuwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za jioni waungwana. Rejea kichwa cha habari . Nasumbuliwa sana sana na ugonjwa huu. Niliupata miaka 4 iliyopita nikivyoenda kunyoa kwenye kwa kinyozi. Nimetumia dawa kama amolg skin...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba msaada wa matibabu kwani ilianza maumivu ya kifua na nilishawahii kutumia antibiotics capsules za aina tofauti bila mafanikio, kuna wakati makohozi yalikuwa na chembechembe nyeusi, suviti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naombeni kufahamishwa sabuni za kuogea zisizo na mafuta na salama kwa matumizi tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mwili unapokosa kinga imara, huwa katika hatari ya kushambuliwa na kila aina ya magonjwa. Katika orodha hiyo ya magonjwa, yamo pia yale ya kutokwa na uvimbe yakiwemo majipu. Kitaalamu magonjwa...
0 Reactions
16 Replies
31K Views
The invisible germ warfare being waged in your home How even 'clean' places are breeding grounds for harmful bacteria When it is visible, we are quick to wipe, wash and sluice it away. But the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Correct way to work on the Computer contd...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
If you use a computer more than two hours a day, you could be suffering from Computer Vision Syndrome (CVS). A CBS News Medical Correspondent Dr. Jennifer Ashton explained CVS is associated...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Kidney Stones & Treatment‏ Kinds of stones: Calcium stone: A common type of kidney stone is calcium stone and generally it is found in people of 20 30 years. It is made up of...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
LEO napenda kuchukua fursa hii kueleza kwa mapana na marefu suala la vyakula na namna ambavyo vimekuwa chanzo kikuu cha maradhi sugu yanayotukabili leo, ambayo mengi mwisho husababisha vifo...
12 Reactions
36 Replies
33K Views
Amani iwe kwenu wana jf.Mtoto wangu ana miaka 13 .Anasumbuliwa na kifua inatokea kinambana sana na kumletea homa kali.Ikitokea hivyo anachomwa sindano kifua kinamwachia.Daktar anadai ni dalili ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu, naombeni msaada mnijuze namna yakupunguza mwili pamoja na uzito. Kwa msaada wowote au ushauri nitashukuru.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
0 Reactions
6 Replies
2K Views
doctor: nahitaji dawa ya kufanya macho yawe meupe, yaani sikuzaliwa na macho meundu ila baadae yalianza kubadilika, kama ipo plse nisaidie
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Bottled water not so healthy (IANS) / 3 January 2013 Though health-conscious fitness enthusiasts are never seen without bottled water, and it is subject to less stringent safety tests than tap...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
.......
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni topic Moja Ndefu Nitajitahidi kuifupisha na kuiweka wazi ili kili mtu apate kuelewa - what is it ..? Arthritis is inflammation (kuvimba) of one or more joints, which results in pain...
2 Reactions
6 Replies
9K Views
Heri ya mwaka mpya. naomba kujuzwa ni dawa gani/mimea ya asili naweza tumia kutibu meno yangu yanayouma? meno hayajatoboka ila yanauma kwa ndani. msaada plz
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom