Habari zenu wanajamvi, awali ya yote namshukuru Mungu kwa kunipa uhai....
Going straight to the point,. Hizi siku chache almost (22+days), baada ya kuwa na almost same routine nnapokaribia...
Rafiki yangu mpendwa,
Tahajudi au kama inavyofahamika kwa Kiingereza Meditation ni zoezi la kiakili ambalo linatuwezesha kuwa na udhibiti wa fikra zetu, kitu ambacho kinatuletea utulivu mkubwa na...
Ukijifunza kuyachungulia mawazo yako utaona si kitu ila ni mzigo wa mambo yaliyopita na matarajio yajayo, ukifikiria kwa makini utagundua yaliyopita na yajayo yote ni taswira ya fikra tu ila sio...
Hii machine pichani inaitwa Sarco device au Pegasos wengi wanapenda kuiita suicide bag au Death Pod kwa majina ya utani ila kitaalamu inaitwa "Euthanasia device" hii mashine inatumika kwa Mtu...
Nilipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Choe...
Makabila yote yanaweza shindwa maisha mjini na kukimbia na kuwaachia mji wamasai,sasa najiuljza huwa wanaishije?
Natamani nishinde na mmasai kuanzia asubuhi hadi jioni anapoenda kulala kwa mwezi...
Mwaka jana nilikuwa na boss wangu Mjerumani. Siku moja aliniambia mnajua nyinyi wa Africa mko mwisho katika jamiii zote 4 duniani? Yani 1 wazungu 2 Mongolians (Chinese&Japanese& Koreans) na wote...
Baada ya kufanya jaribio lake la pili kampuni ya Space X inayoongozwa na ELON MUSK la kurusha rocketi ya Falcon Heavy kuna kitu kipya kimeanza kusumbua akili ya “Alien Mask” ambapo kampuni yake...
Salaam Wandugu!
Ni Jambo ambalo najiuliza kila Uchao, kama kweli Uumbaji wa Mungu Ulikuwa ni wa Haki, Kwanini Kuliwekwa Matabaka ya Ngozi muonekano, yaani Nyeupe na Nyeusi? Mbaya Zaidi, Ngozi...
Wakuu sote tunafahamu kuwa giza hutokea pale mwanga unapotoweka..
Tumeona kuwa vyanzo vya mwanga ni kama vile nyota, umeme na kadhalika.
But CHANZO HALISI cha giza ni nini?(source of darkness)...
Habari za wakati huu wakuu, heri njema ziwe nanyi.
Nimejaribu kufikiria jinsi mwanadamu anavyoiendesha dunia kwa muda mrefu sasa pasipo ushindani wowote utokao kwa viumbe wengine mfano...
Mara tu unapozaliwa elimu ya kwanza nikuanza kukuprogramu kuwa mtu mwingine ambaye jamii inamwitaji hivyo jamii itakupa jina,watakuamulia lugha, na wataanza kukufundisha neno la kwanza la kutamka...
Kinachoifanya Dunia viumbe hai waezee kuisha ni kuwepo kwa Magnetic field na Ozone layer
Magnetic field
Jua linatoa miale ya mwanga ambayo inatumika Kama mwanga dunia na inakuja na upepo...
Ni chombo cha kisayansi kilichorushwa na shirika la maswala ya anga NASA mwaka 1977,kusudi la kurushwa chombo hiki ni kwaajili ya kupeleleza anga ndani na nje ya mfumo wetu wa jua.
Voyager 1...
Ukisoma vizuri asili ya waafrika na sehemu mojawapo ambayo sisi waafrika tumekuwa tukijivunia kila tunapozungumzia ustaarabu tutagundua kuna sehemu hatupo sawa. Misri ni moja ya nchi za kale sana...
Naamini Mungu yupo, na ndo ametujaalia akili na utashi wa kupambanua mambo. Mara zote linapokuja suala la kuhoji origin ya hivi vitabu vitakatifu, viongozi wetu wa dini wanakimbilia neno moja tu...
Muujiza ni kitu kinachofanyika ambacho akili za binadamu haziwez kuelewa, ndo maana tunapokutana na mambo magumu tunaomba muujiza Kwa sababu uelewa wa akili zetu umefika mwisho, na akili...
Tuna ndugu zetu wana asili ya kiarabu ila ni wazawa tangu ukoloni na ni wasomi kama huko Urambo,Sikonge na kwingineko,sheria inasemaje kuhusu wao kujiunga na depo CCP na kuwa askari polisi ikiwa...
Tanzania ni mojawapo ya nchi zinazoongoza duniani kwa kuathirika na kuwepo kiwango kikubwa cha madini ya Fluoride (Fluorine) ambayo husababisha Ugonjwa wa Fluorosis. Mwaka 2008, Tanzania iliamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.