Intelligence is the inborn capacity to see, to perceive. Every child is born intelligent, then made stupid by the society. We educate him/her in stupidity. Sooner or later he/she graduates in...
Hi!,wanajamvi. Swali hilo juu huwa ni moja ya maswali magumu ambayo wengi huwa wanabaki njia panda,hasa linapokuja swala la kufafanua,,IWEJE TUPATE KITU PASIPO KITU?(sina uhakika kama ni tafsiri...
Namibia has better roads than the UK, Australia, Belgium and Italy according to WEF.
It also ranks higher than USA in Press Freedom.
Its Economy has a perfect AAA grade rating.
It has Africa's...
kwa wale tunaondelea kutazama juu muda huu lakin muda huu si kwaajili ya kusubiri dreamliner lakhasha bali ni kufuatilia utabiri uliotolewa na wanasayansi kuwa mwezi utapatwa. Je, ni wakati sahihi...
The world is full of secrets.... companies do terrible things to stay at profit...
Nimekaa nawaza makampuni yanayotengeneza condom lengo lao kuu ni kuuza kwa wingi wakijinasibu kuwa wanazuia...
Galileo alizaliwa 1564 na baba aliyekuwa mwanamziki,alisomea maswala ya tiba chuo kikuu,ila baadaye aliacha na kusomea fizikia na hesabu,jambo lililo mfanya arudi nyumbani bila cheti chochote cha...
Waelewe/Wafahamu Wanaume (Understand Men)
Habari za muda kidogo wasomaji wa makala ninazoziandika hasa kuhusu saikolojia na maisha karibu katika makala inayohusu kuwaelewa wanaume.
Niombe radhi...
Jana nilikuwa maeneo ya Kkoo kijiwe story kimoja hivi kuna jamaa amebobea sana katika masuala ya kidini hasa Ukristo alianza kuongelea kuhusu hili suala la SPEAR OF DESTINY.
Alisema kuwa ni kile...
Watati Bill Gates akiwa na utajiri wa dola za kimarekani Bilioni 80 wafuatao ni matajiri ambao hawatajwi sana wala kusikika sana ambao wanamfanya Bill Gates aonekane choka mbaya kuliko wao...
Miaka 45 ya upelelezi Part [1]
Kwa wale wapenzi watazamaji wa tamthilia ya Prison Break watakuwa wanakumbuka katika msimu wa kwanza wa tamthilia kipindi muhusika mkuu wa tamthilia, Michael...
Mada kama inavyoeleweka naomba tujadili ni, mfumo upi bora kati ya iron dome na s-300
Je, Iran baada ya kupata s-300 mfumo huu unaweza kukinga ndege za Israel za f-16 zisipige Iran?
Karibuni...
Juzi usiku nimeona kwenye kituo kimoja cha TV serikali yetu ikitangaza mpango wa kujenga barabara nyingine ya kiwango cha lami itakayokuwa sambamba na ile iliyopo kutoka Segera hadi Tanga, hivyo...
Habari zenu.
natumai ni wazima wa afya lakini wale ambao hawako fresh.Nawapa pole.
Thread hii inaweza isikupe majibu ya maswali yako mengi ambayo umatafuta majibu na ukakosa lakini inaweza kukupa...
Kwa muda mrefu nimefuatilia kuhusu mpango wa hizi secret societies wa kuestablish mpango wao wa One World Order. Kwa taarifa tu ni kuwa kwa sasa mpango wao uko ktk hatua za mwisho na nchi pekee...
Wakuu kama swali linavyouliza hapo juu;
Nimekuwa nikipata mkanganyiko mkubwa pale ambapo nakutana na mjadala unaoelezea chanzo au mwanzo wa dhambi.
Nadharia ya kwanza ni kuwa chanzo cha dhambi...
https://sw.wikipedia.org/wiki/Dinosaria_wa_Tendaguru
Kuna kijitabu kiliochotolewa mnamo mwaka 1998 kuhusu dinosauri ambao mifupa yao yalipatikana pale Tendaguru, Lindi. Jina la Tendaguru ni...
Kutokana na wimbi la mauaji yanayofanywa na jeshi la polisi kote nchini inashauriwa kuwa kila kituo cha polisi ijengwe mortuary ili maiti zote zinazotokana na mauaji ya polisi zihifadhiwe huko...
Njia iliyotumika:
Malori yenye baruti vilipushi yalitumika kutekeleza mashambulio mbele ya balozi.
Idadi ya waathirika:
Zaidi ya watu 300 (Tanzania na Kenya) waliuwawa huku 4000 wakijeruhiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.