hii ni picha ya dunia iliyotokana na CGI,na nyingine nyingi kama tunaweza kushare,unaweza kutazama kwa umakini picha halisi na isiyo halisi yaani za kuundwa na computer kupelekea kufanana kama...
Kheri nusu shari kuliko shari kamili, wanaoukuja kuchukua vitambulisho vya taifa ni kama heading inavyosema ni vizuri kuchukua hatua kabla ya ajali.
Je wameukana uraia wao huko walikotoka. Vyombo...
Wakuu hebu tusome hadithi hizi za kushangaza kuhusiana na makundi ya mafia. Ukijisikia kuchangia, wewe changia, lakini dhumuni kuu ni kuelimishana na kupass time kwani leo ni jumatatu,wengi bado...
ni swali dogo fikirishi kidogo . leo hii ukiulizwa wamisri bila shaka kabisa utasema ni waarabu. ukiulizwa wazambia utasema ni waafrika. ukiulizwa wamarekani/faransa utasema ni wazungu. ukiulizwa...
Habari wakuu,
Dunia ilipofika sasa ni kwenye stage ya "high manipulation zone" ni hatua ambayo wanadamu asilimia kubwa wako easily controlled na so called "hidden system" ambayo huona output zake...
Jana wakati nipo katika mizunguko yangu pale Kawe - Dsm lilitokea jambo ambalo nilikuwa nasikia katika hadithi za vijiweni but for the first time nlikuwa katika scene iliyomuhusisha kijana mmoja...
Almost half of the global population believes in the concept of re-incarnation. This is a belief of the soul re-living the physical life after the death of an individual. The form and status of...
Kwanini Marekani ! Kila Kichwa Cha Mtu Duniani Anasema Yake Kwa Amerika Ivi Nchi Ya Marekani Wanategemea Nini Haswa Kwa Ubabe Wake Ambacho Ukikipata Hicho Umemuua Mwamerika
Ni Nini Icho Na...
Excluding few freethinkers and philosophers, good number of human race believe in scriptures. Can somebody give me the logical reasons behind this fate..?
Wakuu!
Nimeanzisha uzi huu kujaribu kutoa utetezi kinyume na hoja inayopinga uwepo wa Mungu kwa hoja kwamba ulimwengu huu unathibitisha kwamba 'Mungu mwenye upendo wote, uwezo wote na ujuzi wote'...
Mnyama huyu hufahamika pia kwa jina la ndovu au kwa lugha ya kigeni huitwa Elephant, lakini pia jina lake la kisayansi hufahamika kama Loxodanta Africana.
Tembo ndio mnyama pekee ambaye ni...
Wakuu,
Nina miaka 4 sasa nafanya utafiti kuhusu kuwepo kwa uchawi sijapata kujiridhisha kihalisia kuwepo kwa ushirikina.Nimetembelea maeneo yote yanayosemekana ni maarufu kwa ushirikina kama...
Habari!
Leo niliamua kushangaa kidogo ufunguzi wa kiwanda cha unga wa mahindi hapa kambi ya Mlale Songea! Nimefanikiwa kuwa mbele mbele kidogo hivyo tukio zima nimelishuhudia vyema!
Kuna haka ka...
Wasaaalam wana JI!
Kama wewe ni mpenzi wa Science fiction(sayansi ya kubuni),bila shaka jina Isaac Asimov sio geni kwako.
Mwaandishi huyu wa kimarekani aliwahi kuandika kitabu chenye mkusanyiko...
Wakuu habari za jioni..
Kumekuwa na makala mbalimbali zinaozo elezea umbali ambao wanasayansi wameshafikia angani. Wameweza safiri mpaka kwenye mwezi na wameweza tuma vyombo vya uchunguzi katika...
Wanabodi, mtakubaliana nami kuwa matatizo mengi katika hii Dunia yanasababishwa na ujuaji mwingi wa Binadamu kwa mgongo wa maendeleo ya Sayansi na Teknolojia. Hapa chini ni mifano michache...
Growth of human homo (being)huyu ndiye mnyama anaeshi middle time ya uhai wa bustanini akiwa balanced huyu ndiye mwenye one hulf second ya utashi dhidi ya wanyama wenzie akiwa na uwezo wa kuunda...
Human homo ni sehemu ya umungu(god,lyrans)wasanifu wa muundo huo.
ndivyo ilivyo waumbaji waliumba human homo kwa mifano yaki,maumbo,ufahamu,n.k kwa moja ya sehemu walizonazo wao,baasi human homo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.