Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
INAENDELEA UZI NA #44 SEHEMU YA 2 INAENDELEA UZI NAMBA #166 SEHEMU YA 3 SEHEMU YA NNE INAENDELEA UZI NAMBA #217 SEHEMU YA TANO INAENDELEA UZI NAMBA ,,,,,,,,,,,,,, ,,,#243 SEHEMU YA MWISHO UZI...
56 Reactions
382 Replies
98K Views
Habari Wana Jamii intelligence Mda mrefu kweli,nilitamani kuwe na Uzi ambao Watu watakua huru kutoa Ushuhudu Binafsi kuhusu uwepo wa Mungu katika Maisha Yao Jinsi gani Mungu amewapigania mpaka...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari zenu. Mimi mi mpenzi sana wa mambo ya intelligence. Ni mgeni kidogo humu jf upande wa kuwa member. Jukwaa hili ndio limenishawishi niweze kuwa member kamili ili niweze shiriki vizuri...
5 Reactions
111 Replies
13K Views
Mwaka 2008 pengine ulikwa moja ya miaka ya purukushani Sana duniani kuanzia uwepo wa Alqaidah yenye nguvu, mgogoro wa Georgia, pamoja na mpango wa Iran wa nyuklia.Iran walkwa katika hatua za Kati...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, this is for your information. Ripoti juu ya sakata la rada inayoonyesha jinsi Rashid na Chenge walivyohusika. Jamani, hivi ni kipi kinaendelea mbona iko wazi kabisa kuwa hawa jamaa wana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Urusi ya Kremlin na rais wa nchi hiyo Vladmir Putin ya kuwatunuku majenerali wa majeshi ya Urusi(Russia) na wakuu wa vitengo vya ushushushu vya nchi hiyo tuzo na...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Hii ni makala inayoongelea kisa kimoja cha kutisha na kusisimua sana kilichowakumba familia ya PERRON nchini MAREKANI katika himaya yake ya KISIWA CHA RHODE ambako ndani yake ndo kuna kijiji cha...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Tazama msafara wa Obama unavyokuwa umetengenezwa huwezi kujua yupo gari gani!! http://cdn.theatlantic.com/static/mt/assets/podcasts/motorcade-1200px.jpg
7 Reactions
34 Replies
13K Views
Nashanga wana JF na waTanzania tuhuma kubwa kwa jeshi la Polisi na maafisa wake waandamizi zilizotolewa na Reginald Mengi kuwa Polisi kwa kushirikiana na wafanyabiashara wa Kiasia waliandaa mpango...
3 Reactions
62 Replies
11K Views
Nchi inaelekea pabaya waTANZANIA sasa wapigwa marufuku COCO BEACH! Kuna taarifa kuwa baada ya kutumia pesa za walipa kodi, WATANZANIA sasa wamepigwa MARUFUKU kwenda ufukweni na serikali kupitia...
1 Reactions
109 Replies
22K Views
Hackers from Israel were behind the discovery that Russian spies were using the popular Kaspersky Lab antivirus software to spy on American intelligence agencies, according to reports. The...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
NGUVU ZA ASILI NA NGUVU ZA AKILI. Nguvu za akili ni ule uwezo wa kumuunganisha mtu na nguvu asili. Hakuna kitu kishindacho nguvu za asili na nguvu za asili zikiingia ndani ya mwili wa binadamu...
19 Reactions
48 Replies
13K Views
Mtu wa falsafa, mwanamikakati, mpanga mipango na muandishi aliekua na uwezo, na mawazo ambayo yanatumika kwa kiasi kikubwa na mashirika ya kijasusi, kutoa elimu yakijasusi, usalama wa mataifa...
4 Reactions
10 Replies
4K Views
Hizi sifa nimezitoa nchi moja hivi siitaji jina. Lazima uwe mzalendo wa kweli wa nchi yako Usiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa Uwe na IQ kubwa Uwe na mafunzo ya kijeshi Upitie mafunzo ya...
9 Reactions
52 Replies
16K Views
Tangu zamani za kale, mwanadamu alitegemea neema ya asili ya mazingira ya eneo husika kujipatia mahitaji yake muhimu hasa chakula na makazi. Kuna baadhi ya maeneo yalijaliwa kuwa na: Mvua na maji...
2 Reactions
8 Replies
8K Views
Katika pitapita zangu nmekuja jua kuwa katika mtu kuna mambo makuu matatu, yaani nafsi, akili na mwili. Nafsi ndio mtu mwenye kwa maana yu hai hata ukitoka mwili(kufa). Leo nataka mwenye kujua...
7 Reactions
44 Replies
8K Views
Miaka ya karibuni kumekua na ukuaji wa cashless technology, na kuna nchi za Scandinavia ziko katika mpango wa kuondoa ela zote katika jamii zao japokua bado hawajafanikiwa Kwa 100%. Na ukuaji wa...
7 Reactions
68 Replies
9K Views
Habarini wanajukwaa...... Nianze nakuwaomba kama kutakua nakuongezea au kupunguza naomba marekebisho yatajwe ila si kuponda nadhani utakua msingi mzuri zaidi wa hoja ntakayoitoa Muda si mrefu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara baada ya mashambulizi ya kigaidi ya Sept 11, Rais wa Marekani wa wakati huo George W Bush, alitoa hotuba fupi akiwa na hasira na macho yake yakiwa mekundu, akiwa ametoka kujificha kwenye...
23 Reactions
51 Replies
8K Views
Nianze kwa kusema nakumbuka nikiwa bado mdogo mdogo, nilikuwa na sifa moja kubwa sana mtaani kwetu ya ubishi. Hata kama ulete fact za kiwango gani lakini niki-stickkatika msimamo wangu ni hapo...
19 Reactions
252 Replies
52K Views
Back
Top Bottom