Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Nipo mkoani Simiyu, nilikuja hapa Wiki iliyopita kumtembelea rafiki yangu, nyumbani kwake amepanda mmea wa ajabu sana, anadai mmea huo una uwezo wa kuona wachawi na kutoa ishara,mimi sikuamini...
3 Reactions
33 Replies
14K Views
Hiv ni kweli siku ya ufufuo ipo au ni tricky tu ya kutufariji pindi tunapofiwa na ndugu na jamaa ili tuamini ipo siku tutaonana nao paradiso na kama kweli ipo? Maana watu wamefariki miaka zaidi ya...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Dunia yetu ni sayari ya tatu kutoka kwenye jua. Mirihi (“Mars”) ni ya nne na Mushtarii (“Jupiter”) ni ya tano na kubwa kuliko zote katika mfumo wa jua wa Sol. Katikati ya Mirihi na Mushtarii kuna...
19 Reactions
107 Replies
21K Views
Kipaji au talanta kwa maana nyingine ni uwezo ambao binadamu anapewa na Mungu wa kufanya mambo mbalimbali hapa duniani.Vipaji hivi vinatofautiana baina ya mtu na mtu japokuwa kwa baadhi ya watu...
5 Reactions
3 Replies
12K Views
Invisible Power of Women* Utafiti unaonyesha 98% ya watoto wote huzaliwa ni ma genius; mama zetu wana nguvu za kuona kitu kilichopo ndani yetu kuliko mtu yeyote. -wanawake wana uwezo waliopewa na...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
ALMASI ZA ANASTASIA (ANASTASIA DIAMONDS) Binti Mrembo Anastasi.... Makatili wale hawakuwa na utu kabisa kumtendea vile mrembo kama huyu. inasikitisha sana. je hawakuona kuwa hili lilikuwa ni moja...
7 Reactions
6 Replies
4K Views
Huku tunakoelekea sasa kubaya na haya mambo inaonekana yalifanyika miaka ya sabini na kufanikiwa, hivyo wameplan kutumia minara ya simu au ndege, magar yenye vifaa maalumu kwa ajili ya kucontrol...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Jua ni miongoni mwa nyota kubwa kuliko zote kwenye solar system ndio chanzo cha energy na maisha ya hapa Duniani na ulimwengu mzima na ikitokea jua limezima basi maisha ya ulimwengu mzima...
19 Reactions
221 Replies
28K Views
Nchi za Ulaya zimekosa wafungwa kabisa magerezani kufuatia watu kutokutenda uhalifu Sasa huenda ikawa na chaguzi mbili,moja kupitisha sheria ikiwa mtu anataka kuonja maisha ya jera Kwa matakwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ni Kanisa Catholic Ambalo Lina Nguvu Kwa Kila Idara Zake Kuanzia Pande Mbalimbali Za Ulimwengu Huu. Inajulikana Wazi Ndiyo Kanisa Linalomiliki Ardhi Kubwa Sana Duniani Yaani Eneo Lolote...
7 Reactions
61 Replies
11K Views
Historia ya binadamu na ustaarabu wake,inatusimulia na kutilia mkazo juu ya chanzo cha ulimwengu na vilivyomo. Achilia mbali usahihi wa nukuu hizo za kihistoria,hili ni somo kando na hapa...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
"Umasikini hauji kwa bahati mbaya, ni kama ubaguzi wa rangi au ukoloni, umaskini hutokana na matendo ya kila siku ya mwanadamu" (Nelson Mandela, R.I.P) "Kila mtu anataka kufanikiwa, lakini si...
103 Reactions
131 Replies
34K Views
CAMDEN, NEW JERSEY Eneo maskini kuliko yote marekani Camden iko mjini new jersey nchini marekani Camden imepakana na Philadelphia ambapo imetenganishwa na daraja la frankly. Frankly ni kieneo...
5 Reactions
47 Replies
12K Views
Get the doc from: Bank M: Connecting the dots Kwa wageni: Read this topic first: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/13075-jeetu-agonga-mwamba-ktk-epa-na-bank-m.html
1 Reactions
75 Replies
18K Views
Nimepata taarifa za ndani kutoka Bank M kwamba wamiliki ni mlengo wa Freemason. Mtoa taarifu aliambiwa wanataka damu ya watu. Mmoja kati ya Wamiliki aliisha shika nafasi ya juu serikalini na...
3 Reactions
94 Replies
24K Views
Ningependa kupata michango kutoka kwenu great thinkers.Nani haswa anapaswa kupewa sifa hiyo ya u genius?
3 Reactions
184 Replies
47K Views
Mpaka hii leo kuna watu ambao ukiwaeleza habari za freemasons huona tu kama ni hadithi za kufikirika na kwamba hazina uhalisia wowote katika maisha ya kawaida. Well, kama wewe ni mmoja wa watu...
8 Reactions
44 Replies
14K Views
Nilitaka kujua hali ya kiusalama kwa mtu atakayekuwapo ndani ya Tanzania endapo bomu la nuklia litarushwa na kwenda kulipukia lets say Washington DC, au labda London, au perhaps Beijing au pengine...
1 Reactions
72 Replies
10K Views
Utamaduni ni miongoni mwa mambo yanayotajwa kuhifadhi hadhi na heshima ya mtu na kumfanya atambulike kila mahali. Mbali na hayo, lakini zipo tamaduni ambazo zinabaki kuwa za sehemu moja pekee na...
11 Reactions
45 Replies
10K Views
Back
Top Bottom