Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

WanaJF intelligence habari za asbuhi.... Bila kupoteza muda ningependa kwenda mojamoja kwenye mada ...... Je upi ni ukweli kuhusu philadelphia experiment? Inasemekana mnamo october 28, 1943...
24 Reactions
245 Replies
40K Views
Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru Mungu kwa mema yote aliyonijaalia kwa afya njema na upeo wa kuweza kuchanganua mambo magumu.Mada ya leo hakika ni ngumu sana wakati mwingine napata hofu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu!! Mimi ni Mkristo. Tena si yule Mkristo wa kufuata miujiza au wa kufuata mkumbo. Ni mkristo ninayefuata misingi ya maandiko matakatifu kama yanavyosema bila kujali ni nini naamini...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwa kawaida wanyama hurahisisha maisha ya binadamu kwa kuwa walinzi, chakula na usafiri lakini kuna baadhi ya wanyama na ndege walioweza kujiwekea heshima duniani hasa kwenye sekta maalum za...
28 Reactions
97 Replies
27K Views
Habari zenu ndg WA jamii forum,,Mimi Nina swali/maswali ambayo nahitaji kujua kama ifuatavyo Kwanini katika mzunguko WA dunia tunatumia masaa ambayo so sahihi?kwa maana ya kwamba tunatumia; 7kama...
21 Reactions
138 Replies
26K Views
LIPO jambo ambalo limegubika utata nchini Malawi juu ya Dkt. Hasting Kamuzu Banda halisi anayedaiwa kupotelea nchi za Ughaibuni na baadaye kupachikwa Dkt. Kamuzu Banda wa bandia ili kuficha jambo...
5 Reactions
37 Replies
12K Views
Hivi karibuni jarida la The Economist wametoa utabiri wao kwa michoro wa matukio yatayojitokeza 2019 . Michoro hiyo ipo "cover" ya mbele. Kama picha inavyoonesha hapo chini, Résultats Google...
4 Reactions
94 Replies
14K Views
Nitachangia kutokana na ufahamu wangu wa mambo hasa kutokana na hii dunia kuendeshwa kwa siri kubwa sana .. Kila mchoro hapo umewekwa kurepresent jambo flani kulingana na umuhimi wa mchoro au...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
MHANGA WA KUJICHOMA MOTO HADI KUFA (SELF-IMMOLATION) Tangu kuzaliwa kwa dola za kisiasa, historia ya Ulimwengu imerekodi kumbukumbu chungutele za mbinu anuai ambazo wananchi wamezitumia...
6 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa NASA kwa kutumia Telescope yao kubwa hadi sasa wamegundua kuna sayari zaidi ya Billioni 30 katika Milkway Galaxy yetu, pia hadi sasa wamegundua kuwa kuna Sayari Billioni Miamoja...
15 Reactions
111 Replies
18K Views
Huu ni ulimwengu wa kanuni, taratibu na sheria ambazo kufuatwa ni wajibu wa kila mtu ingawa zipo kanuni, taratibu na sheria nyingine zinaajabisha sana na ninazo hapa sheria 8 kwenye sehemu...
14 Reactions
38 Replies
14K Views
Wengi wamezoea kuiona picha yake kama alama ya ukombozi na mapinduzi ya kweli lakini ni wachache wanaomjua vizuri. Jina lake halisi anaitwa Ernesto ‘Che’ Guevara, alizaliwa Juni 14, 1928, Rosario...
44 Reactions
96 Replies
25K Views
Mwanzoni kabisa, dunia ilikuwa ikitumia kalenda ya mtawala wa Kiroma aliyeitwa Julius Caesar. Kalenda hiyo ilianzishwa mwaka 46 Kabla ya Kristo. Kalenda hiyo ilikuwa na siku 465 na masaa 6...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
*Akili haikui kwa umri, bali kwa taarifa na maarifa sahihi unayoingiza akilini kwa wakati sahihi* Lakini pia kuwa na maarifa mengi kichwani usiyofanyia kazi inakua haina tofauti na punda...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Nikiwa napitia topic kadhaa katika jukwaa hili nikakutana na topic moja inayohusu roho (soul) kwamba iko katika kiungo gani katika mwili wa binadamu akiuliza bwana Petro E. Mselewa . Katika kusoma...
17 Reactions
81 Replies
18K Views
Miradi ambayo kama nchi za Afrika zingeifanya ili kuondoa utegemezi wa nchi za Magharibi.: 1.Kama kungefanikishwa uanzishaji wa kampuni ya RASCOM 1992.Ambayo ingeendesha satelaiti ya pamoja na...
17 Reactions
44 Replies
6K Views
Wachawi mara nyingi hufanya kazi katika ulimwengu wa roho yaani ulimwengu ambao huwezi kuuona kwa macho ya kimwili. Kwahiyo ili kuuona ni lazma uwe na macho ya kichawi au macho ya kiroho,Wachawi...
12 Reactions
160 Replies
62K Views
Ni swali pengine wengi wetu tumekuwa tukijiuliza kama ilivyo kwetu sisi waafrika na waarabu Je,wazungu(Europeans) makabila yao ni yapi? Nini kilitokea kwa makabila hayo? Ukweli ni kwamba wazungu...
7 Reactions
4 Replies
4K Views
Ni kutoka katika Jitambue Sasa. Unaweza ukaziita Ni KANUNI AU SHERIA AU LAWS. Akili ya mwanadamu ni sehemu ambayo watafiti wengi wamekuwa wakihamasika kuielewa. Akili ni sehemu pana sana kwa...
24 Reactions
89 Replies
36K Views
Mnamo karne ya 18, Franz Joseph Gall, akiwa mwanafunzi alitazama vichwa vya wanafunzi wenzake na kuunza kuhusisha uhusiano uliopo baina ya baadhi ya tabia za akili pamoja na size na shape ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom