Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Wadau, Roho ya mwanadamu hutiririka na kuenea ndani na nje ya mwili wa mwanadamu.Kila mwanadamu ana roho,na roho ya mwanadamu sio sehemu ya utambulisho wa mwanadamu bali kila roho ina utambulisho...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Kabla VIP hajazuru eneo husika, RSO, DSO na "Advance party" wanapaswa kuhakikisha kila kitu kipo OK. Kama wameshindwa kujua kama mradi ulikuwa tayari kuzinduliwa wanaweza kweli kujua tishio dhidi...
18 Reactions
29 Replies
6K Views
Je unajua kuwa mwaka 321BK mfalme Constantine alipitisha sheria ya kwanza ya jumapili huko Roma? Halafu miaka michache baadaye katika mwaka 325BK hasa 366BK kanisa la Roma likaifanya “jumapili”...
2 Reactions
61 Replies
15K Views
Hapo nyuma nilielezea kuwa Tanzania government procurement is very complicated na complication yenyewe inaletwa na mambo ya rushwa. Serikali wanawajua GE, Wartsila, CAT, Mits, nk. Hizi kampuni...
5 Reactions
1K Replies
204K Views
Katika habari mpya kuhusu sayansi ambayo inakuwa kwa kasi na ina uwezo wa kuathiri raia wasio na hatia-na kusababisha hatari kubwa ya afya,ukiukwaji wa haki,uhuru kupotea, na upotevu wa...
7 Reactions
57 Replies
15K Views
KIDON ni kitengo ndani ya Mossad chenye jukumu la kufanya mauaji dhidi ya wale wenye kuhatarisha usalama wa Israel. KIDON ndio wanaosifika na kuogopwa zaidi duniani katika kufanya assasinations...
25 Reactions
195 Replies
47K Views
Wakuu napata shida sana pale nikitafakari kauli ya yesu kwa wanafunzi wake, kuwa '" NENDENI MKAYABATIZE MATAIFA YOTE KWA JINA LA BABA, LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU" Shida naipata hapa, je baba...
2 Reactions
66 Replies
8K Views
Habari za mchana wakuu kama kichwa cha thread kinavyosema kwenye historia ya ulaya na kiislam kulikuwa na mfalme wa Ottoman empire dola ya kiislam hii iliyovamia ulaya kutokea mashariki ya kati na...
35 Reactions
281 Replies
49K Views
Heko wadau wa ulingo huu usio na mashabiki wengi. Siku tatu zilizopita nilienda Mwanza kikazi, ndipo leo muda wa saa 4 au saa 5 asubuhi, tarehe 4 mwezi wa 9, 2018 nimeshuhudia kwa macho yangu...
21 Reactions
163 Replies
18K Views
jamani naoma mnipe data zaidi ya huyu jamaa anayejiita mwanamboka maana mm namuona ona tu sijui anafanya shghuli gani ila nasikia kuwa ni mmoja kati ya matajiri sana tz ss kama kuna mtu anamjua...
0 Reactions
24 Replies
16K Views
Kuna mambo manne ambayo Yanapatikana duniani kote kwa asilimia kubwa kabla hata hatujaingiliana (globarization) 1:Watu kuabudu wafu katika desturi zao. Desturi hii utaikuta utaikuta australia...
14 Reactions
83 Replies
19K Views
Habari za jioni wana JF intelligence, natumaini wote wazima humu. Na kama kawaida nitoe angalizo kuwa mada ni sensitive sababu linagusa pia imani za wengine hivyo ningeomba tusome kwa makini...
12 Reactions
192 Replies
24K Views
Wasalaam JF members[emoji1538] Moja kwa moja kwenye mada, ila kabla sijagusa mhimili wa mada niweke misamiati hii sawa kwa kiwango cha upeo wangu (siyo cha BAKITA) Tafsiri ya haya maneno: 1...
4 Reactions
26 Replies
10K Views
MALAIKA NDANI YA KIWILIWILI CHA BINADAMU Desemba 1994, Rapa Tupac Shakur alihukumiwa kifungo jela kuanzia mwaka mmoja na nusu mpaka minne na nusu. Kosa likiwa kumnyanyasa kingono mwanamke mkazi...
50 Reactions
55 Replies
12K Views
Habari wanajf! Ndugu zangu,sisi wengine elimu zetu za STD 7 lakini hazituzuii kufikiri kuliko kawaida.Wanasayansi njooni hapa 'mtupakulie' maajabu ya huu ubongo kama ifuatavyo: 1.Kitendo cha mtu...
6 Reactions
62 Replies
14K Views
Rédoine Faïd, picha ya mwaka 2010 Jambazi sugu aliyekuwa akisakwa nchini Ufaransa alifuatiliwa nyendo zake na polisi kwa njia ya simu na alikuwa akitumia burqa kujiificha, waendesha mashtaka...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina imani humu Jamii forum kuna wajuvi wengi sana , Leo sijaja na maelezo mengi sana bali nimekuja tu na maswali haya machache wajuvi wanaojua waje wanijibu , Je ni kweli kwamba mtu akiuawa basi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Salaam wakuu, Habari zenu. Katika pita pita zangu, nimekutana na hii kitu kwakweli nimeshindwa kuelewa kabisa. Kuna mambo ya Schrodinger's cat, kwa kifupi inasemekana huu ulimwengu tuliopo kuna...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Poll Poll
For centenaries,inquiries concern Godhead existence have been debated by philosophers,theologians,and even scientists In debate between atheists and theists,accusation of bias, Contemptuousness...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
nimesikia hauwezi kugundua kitu chochote duniani kama hujasoma kaballah.wanasayansi wote ukianzia Newton hadi Einstein wamesoma kaballah.kama unataka kuunganishwa na nuru lazima usome...
1 Reactions
34 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…