Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

10- BZ au 3-Quinuclidinyl benzilate Hii ni silaha ya kikemikali iliyogunduliwa na Wanasayansi wa Kimarekani miaka ya 1960. Sumu hii inakumbukwa kwa kuwaangamiza mamia ya Wapiganaji wa jeshi la...
3 Reactions
27 Replies
8K Views
Ni mara ya kwanza kuandika katika sehemu hii kama sijakosea. Kuna mambo mengi ambayo huwa nayasoma kupitia uwanja huu ambayo yanafikirisha kwelikweli. Nine wahi kusoma wengi wakielezea kuhusu...
2 Reactions
26 Replies
11K Views
Habarini wakuu. Fiji ni nchi iliyopo katika bahari ya Pacific karibu sana na nchi ya Australia. Jamii ya wenyeji wa Fiji kimuonekano wanafanana na waafrika ila kuna tofauti kidogo kutokana na...
18 Reactions
371 Replies
50K Views
Watu wamekuwa wakijiuliza mara kadhaa huyu babu krismasi jina lingine Santa Claus ni mtu aliyekuwepo au ni hadithi za kufikirika tu kumuhusu? Ni kweli Baba Krismasi(father christmas)...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
February 28, 1959 Meli ya Ms Berlin toka Ujerumani ilitia Nanga katika Pwani ya Havanna Cuba, ndani yake alikuwemo Binti Kigori wa miaka 20 Marita Lorenz ambaye Nahodha wa Meli hii alikuwa ni Baba...
17 Reactions
70 Replies
12K Views
Habari za Leo wanaJF, Kwanza kabisa naomba kudeclare interest "Mimi n mroman catholic" Katika pita pita zangu nmekutana na habar za huyu CESARE BORGIA wengi wakisema kua alikuwa mtoto wa papa...
5 Reactions
139 Replies
18K Views
Duniani especially Tanzania ujue kunafulsa nyingi sana jamani tufanyeni hata kazia ya kuandika vitu vyetu watanzania kwenye mitandao, tusisubiri tufanyiwe na wazungu et hata ukigugo "jinsi ya...
8 Reactions
22 Replies
9K Views
Scientists are still not sure why we have pubic hair, but it likely serves a purpose beyond decorating our genitals. 1) Pubic Hair May Signal Sexual Maturity: [/I]Perhaps in both apes and humans...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
A case study on the impact of trade misinvoicing in Ghana, Kenya, Mozambique, Tanzania, and Uganda—titled “Hiding in Plain Sight: Trade Misinvoicing and the Impact of Revenue Loss in Ghana, Kenya...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
JAMANI KWANINI INAKUWA HIVI KILA SIKU TAREHE 26 Why always on " 26 th " ? Take a look at this list : 1 Gujarat, India, earthquake 26 Jan 2001 2 The Rhodes earthquake 26 June 1926 3 Taiwan...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Katika maandiko matakatifu tunasoma kwamba Joshua alilisimamisha jua, sawa, utata unakuja ninaposoma ktk vitabu vya sayansi kuwa dunia hulizunguka jua sasa najiuliza sipati majibu kuwa wakati...
13 Reactions
140 Replies
23K Views
Naamini JF ni home of great thinkers,unakopatikana uchambuzi na ufafanuzi wa hoja kwa kutumia mifano hivyo naona niilete hoja hii iweze kuchambuliwa. Wote tunakubaliana ,kwamba kipindi cha miaka...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Konstantino Mkuu Konstantino Mkuu (jina kamili: Flavius Valerius Constantinus; Niš, 27 Februari 272 – İzmit, 22 Mei 337) alikuwa Kaisari wa Dola la Roma tangu mwaka 306 akitawala peke yake tangu...
9 Reactions
69 Replies
19K Views
Machiavellianism Ni haiba ya watu ambao wanapitia migongo ya watu kufanikisha malengo yao. Ni watu ambao watafanya kila wawezalo ili kuwashinda wenzao au kuwatumia wenzao kufanikisha mambo yao...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
UDINI NA UGAIDI ÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷÷ Wakati vyombo vikubwa vya habari vikisongwa na habari za vita, hususani maeneo ya mashariki ya kati ambako vitendo vya kigaidi vimetamalaki, watu wengi huzipokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Osss!!! Hebu leo tuangalie aina ya mapigano ambayo hutumika katika Majeshi tofauti tofauti (Military martial arts) 1/Tuanzie nyumbani (JWTZ) Hawa hutumia aina ya mapigano yajulikanayo kama...
5 Reactions
78 Replies
19K Views
Novichok: Mambo muhimu kuhusu sumu kali ya Urusi iliyotumiwa kumshambulia jasusi Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May Jumatatu alisema jasusi wa zamani wa Urusi na binti yake walipewa sumu kali...
15 Reactions
92 Replies
17K Views
Wakuu, Habari zenu? Katika zama na nyakati tofauti tofauti katika maeneo mbalimbali duniani kumekuwepo na mijadala inayohusisha imani na dini na mara nyingi vitu hivi viwili watu wengi...
5 Reactions
24 Replies
7K Views
Here is an Intriguing story of the suspected reason for which Pope John Paul I was Murdered, only 33 Days in his Pontificate in Sep 1978. The Story Unequvically narrate his involvement in the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chombo cha anga za juu cha China Tiangong-1 kilirushwa kwenda kwenye anga za juu septemba 29,2011 kikiwa kinaendeshwa na guvu za jua Kikiwa angani kina uzito wa Tani 8.5(8,506 kg) na urefu wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…