Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Hii dhana ya kuwa Binadam walitokana na nyani inawezekana kwa Waafrika ikawa ina ukwel flan. Ukikaa kwa makini ukatafakari mambo yanayoendelea katika nchi za kiafrika. Na yanayotendwa na waafrika...
15 Reactions
35 Replies
6K Views
Why are so many scientists atheists/agnostics despite so many miracles in nature?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Soma Hapa Kalenda tunayo tumia leo imetokana na kalenda ya Juliani ya kirumi. Hapo zamani kalenda hii ilikuwa na miezi kumi tu katika mwaka. Ndio maana Desemba tafsiri yake kwa lugha ni mwezi wa...
0 Reactions
35 Replies
18K Views
Kama mtu mwenye uelewa kiasi kuhusu utendaji kazi wa Idara yetu ya Usalama wa Taifa, nimekuwa 'nikipiga kelele' mara kwa mara kuhusu haja ya mageuzi ndani ya taasisi hiyo nyeti. Kwa bahati mbaya...
24 Reactions
65 Replies
12K Views
Hakuna anependa uchafu awe masikini au tajiri, ila kukosekana kwa mpango maalumu kwenye eneo husika mara nyingi huwa ni chanzo cha uchafu maana kila mmoja anategemea mwenzake afanye na hivyo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Sehemu nyingi duniani tunatumia kalenda ya kirumi au gregarian calender, kwa heshima aliyopewa pope gregory kwa mchango wake katika kalenda hii. ilikuwa ni mwaka 1582,ambapo watu walilala...
5 Reactions
158 Replies
20K Views
Siku ya jumanne wiki hii, mtandao wa WikiLeaks ulitoa taarifa za siri zipatazo 8761 ambazo zinaeleza kuhusu shughuli za ujasusi zinazofanywa na shirika la ujasusi la Marekani la CIA kwa kutumia...
13 Reactions
82 Replies
10K Views
Unakuta mtu anazaliwa akiwa na ulemavu wa viungo,ama hana kiungo kimojawapo,ama mtu ana jinsia mbili nk.Je nani anahusika na jambo hili?Kama binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu,je ni sehemu gani...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika Dunia tuishiyo sasa binadamu hatuko peke yetu, lakini tumejijengea dhana kuwatunaishi peke yetu huku tukisahau kuwa Mungu kaumba viumbe kadha wa kadha vinavyoonekana na visivyoonekana...
9 Reactions
9 Replies
11K Views
Kuna mambo mengi usiyoyajua kuhusu ikulu ya marekani ambayo pengine kwa msomaji anaweza kushangazwa akiyajua.Hivyo katika kusherehekea Sikukuu ya Rais baadhi ya watu waliweza kutoa mambo 11 kuhusu...
20 Reactions
44 Replies
14K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia Kwa umakini muonekano wa walinzi wa rais wetu mpendwa ukilinganisha na walinzi wa Marais wengine Katika kufatilia huko nimegundua kuwa muonekano wa walinzi wa...
11 Reactions
276 Replies
56K Views
Vitabu vyote vya Biblia na Kulani vinaamini kuwa Yesu atarudi kwa ukombozi au kuufanya mwisho wa dunia. Studies zinaonesha yupo Sayari nyingine huenda ktk Galaxy ya Nebula au hii ya Milky way...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
wataalamu husema kifo huwa na hatua tatu hatua ya kwanza ni kukikataa kifo,yaani hapa sasa mtu anahangaika kuhakikisha anaokoa uhai wake kwa kila namna hatua ya pili ni makubaliano au mapatano...
8 Reactions
54 Replies
7K Views
Wanajf naomba mnijuze, CCM kuwa chama dola maana yake ni nini? nataka kujua CCM ni sehemu ya dola au dola ni sehemu ya ccm.nini hasara na faida ya mfumo huu kwa taifa letu?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, leo naleta mada hii ili wajuvi wa mambo haya ya physics na sayansi zinazohusu silaha mnisaidie. Mtakubaliana namimi kwamba bunduki inapopiga risasi basi risasi hiyo hutoa...
5 Reactions
67 Replies
15K Views
Anayefahamu naomba anijuze ? Nasikia hawa watu wana akili sana na ndio maana Hitler aliwaua mamia kwa maelfu na vilevile nasikia kwamba nchi za kiarabu zimeshindwa kabisa kuifyeka hii Israel Ni...
7 Reactions
130 Replies
24K Views
Hakuna anayependa kusahihishwa, kugombana au kukemewa mbele za watu, hii ndiyo tabia ya watu wajeuri na walio na tabia za kitukutu. Mara nyingine hudhani wanapata sifa. Wako watu wa jinsi hii...
31 Reactions
68 Replies
104K Views
Wana jamvi Salaam Kila sehemu lazima kuwe na muongozo wa kufuata ili mambo yaende yanavyopaswa. Marais wa Marekani hata nchi nyingine wanapewa majina fumbo "code names" kutoka moja ya vitengo...
7 Reactions
102 Replies
11K Views
The Christian is called to love his/her neighbour. This love is to be expressed in a deep concern both for man's spiritual needs and also for material needs in everyday life. The difficulty lies...
1 Reactions
1 Replies
744 Views
Wadau nataka kujua vitu hivyo vinaweza kutumika kumfanya mtu akafanikiwa na ni namna gani mtu ambaye hajihusishi navyo anaweza kuzuia ili visimuharibie biashara zake.
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom