Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Ndoa nyingi huvunjika, na wapenzi wengi huachana kabla hata hawajafunga ndoa. Kabla ya ndoa kuvunjika na wapenzi kuachana hutokea visa vingi vya usaliti, ukigeugeu na chuki. Mapenzi nini? Mahala...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Is there such as thing as "human nature," and if so, is it accurate to state that it is selfish? Human nature" is an ill-defined concept. By my best understanding, it can be thought of as a...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Nimetafakari kwa kina zaidi juu ya nguvu iliyopo ktk ubaya(nimejikita kutafsiri dhana ya ubaya kwa kadri jamii zetu zinavyoamini) nikaona dhahiri kuwa kwa kiasi kikubwa ubaya una nguvu zaidi ya...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Eti wakuu kati ya KGB, CIA, MOSSAD, MI6 nanyinginyezo ipi inaongoza kwa mambo ya Intelijensia? Napenda kuwasilisha.
4 Reactions
183 Replies
27K Views
Nimefikiria sana juu yetu sisi waafrika kuweza kulipiza kisasi kwa kufanywa watumwa na haya mataifa ya ulaya... Ifikie hatua kabisa Tanzania izitawale kimabavu nchi za ujerumani, uingereza...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau mimi ni mmiliki wa eneo lililo kwenye mradi wa upimaji viwanja ,kwa sasa manispaa imeanza kulipa fidia ambayo wengi wamelalamikia,kumemua hakuna ufafanuzi mzuri kuhusu fidia ..naomba msaada...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Huyu ndie aliaminiwa ni Mungu Mwezi ndio asili ya kuwekwa Alama za Mwezi kwenye Nyumba za Ibada hadi leo hii... ufukunyuzi unaoendelea utaweka wazi kila kitu kuwa Watu wanaabudu Masanamu kwa hisia...
4 Reactions
107 Replies
23K Views
Wataalam kadhaa wa mawasiliano wameonya kuwa application ya Facebook hutumiwa na wadukuzi kusikiliza mazungumzo ya watu muda wote kwa siri kubwa, App hiyo inadaiwa kutumia simu za watu kudukua na...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
25 Cutting Edge Firms Funded By The CIA It's no secret the Central Intelligence Agency has an investment firm that funds startups that could have a big impact for the Agency. If there is a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Hawa watu hawaepukiki dadadeki, kila mahali wapo, haya sasa wanasema mjukuu wa Bondia maarufu Mohamed Ali aitwaye Jacob Wertheimer Ali ni Myahudi, kwa kuwa mtoto wa Bondia huyo Maarufu Khaliar...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Salamu wakuu nimekua nikijiuliza swali hili kwa mda sasa bila kupata jibu sahihi,ila kwasababu humu kuna watu wenye uelewa mkubwa wa mambo zaidi yangu naomba mnisaidie akili ya mwanadamu inakaa wapi?
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Kwa lazima kutambua kuwa "ndoto ni maisha ya rohoni" yawe mabaya au mazuri lakini yanategemea sana matendo yako na mind set yako juu ya matendo. Siku zote matendo mabaya hupelekea ndoto mbaya...
5 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Closed
Nimeonelea nipost mada hii kwa kiswahili ili wote wanaojua lugha hii wafaidike lakini katika kuchangia tutumie lugha yoyote inayotumika hapa jukwaani . Nilipata challenge katika ule uzi wa UFOs...
72 Reactions
353 Replies
100K Views
Habari za hapa. Nimefanya research juu ya ukweli wa dini na uwepo wa Mungu hasa Mungu anaeongelewa na wakiristo na waislamu. Ktk utafiti huo nimegundua mushkel mwingi SANA kuhusiana na dini hizo...
23 Reactions
798 Replies
53K Views
The 8 most elite special forces in the world Elite Special Forces are some of the best-trained and most formidable units a country can boast. They go where other soldiers fear to tread, scoping...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Heshima kwenu viongozi napenda kuwasalimu wote. Na zaidi wale waaminio hawa waaminio napenda kuwataka radhi kwani swali langu laweza kuwakera. Naam swali hili hata Mimi sikupenda kuliuliza lakini...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu Habarini Za Majukumu! Naombeni Mnijuze Kuhusu Sare Za Majeshi Ya Ulinzi Wa Mipaka Ya Nchi (Defence Forces) Kwanini Sare Za Nchi Zote Zina fanana (Mabaka-baka) Au Ni Moja Ya Sheria Za Umoja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Watu wengi huwa wanauliza swali hili mara nyingi sana kama kupinga au kujaribu kuonyesha kuwa hakuna Mungu lakini mimi leo nataka nikwambie Mungu yupo na ndiye aliyezifanya mbingu na nchi ktk...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
natambua kuwepo na magomvi mbalimbali kwa sababu ya dini tofauti na hata wafuasi wa dini moja kupambana. lakini kusingekuwapo na dini kabisa, haka ka amani na ka haki kadogo na ustawi na maendeleo...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Scopolamine ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kutokana na ungaunga wa mbegu za matunda ya mti unaoitwa kitaalamu "borachero tree". Miti hii inapatikana kwa wingi huko Bogota, Columbia. Baada...
10 Reactions
47 Replies
9K Views
Back
Top Bottom