Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Your body is not you. It is a mechanism and organism of nature that you live in, to learn and master. Much like you sit in a car and operate it, your consciousness sits in and out of your body...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima kwenu wadau, nijuavyo mi ni kwamba binadamu ana mihimili mikuu mitatu. Kwanza ni roho, pili ni mwili na tatu ni nafsi. ROHO nafahamu ni ile pumzi ya uzima kutoka kwa mungu mwenyezi...
2 Reactions
62 Replies
14K Views
Habari za jioni wana jamvi, Mimi sio mwandishi mzuri, ila ninachokiona, kusikia na kutizama duniani ni dhahiri kwamba Unabii wa Daniel sura ya 2 unatimia. Wakristo wengi wanakifahamu kitabu cha...
12 Reactions
85 Replies
15K Views
Wakuu habari Kuna maswali huwa sipati majibu nikayaona ni sahihi naomba tushilikiane kupata majibu tafadhali 1. Kama usingekuepo wewe nafasi yako ingechukuliwa na nani? Kama isingechukuliwa mambo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za humu ndani wakuu, Naomba kujuzwa kwa ukweli wa Kidono au Vidono.... "hapo zamani nimekuwa nikisikia huyu kachanjiwa vidono hawezi kufa kirahisi" hasa kwa wezi au majambazi. Kidono...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini wakuu.. Leo ninataka sote kwa pamoja na kwa hoja za maana tuzijadili sababu za kiinteligensia juu ya maisha ya binadamu wa karne hii na karne zijazo. Kama mada tajwa hapo juu...
3 Reactions
57 Replies
12K Views
Mmabibi na mabwana natanguliza salam, kwa wale waliofunga swaumu makbul walio wagonjwa Mmungu awajazie afya tele. Leo naomba tupeane habari kuhusu hirizi ya simba hili jambo toka nikiwa mdogo...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Naanzisha Thread Hii kujadili makundi makuu manne ya watu mahala popote pale unapokua Tabia hizo ni kutawala (Choleric – Dominance), mhamasishaji (Sanguine - infuluencing), asiyeyumbishwa...
4 Reactions
49 Replies
39K Views
Ukitoa lugha za afrosemitic languages kama vile Amharic - Wikipedia, the free encyclopedia na Egyptian language - Wikipedia, the free encyclopedia ambazo kiujumla hizi zipo kwenye kundi moja na...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
Niliwahi kuwaza na kujiuliza hivi wakati mababu zetu wanapokea ustaarabu mpya/dini walikuwa na taratibu zao za kuishi na kila taratibu zilikuwa na mazingira ambayo watu wanaishi chini ya kivuli...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Huwa na kawaida ninapomuona kiongozi anayelindwa kuangalia walinzi wake, huwa napenda kwa sababu nawakubali hao watu kwa umakini wao na hadithi tunazosikia kuhusu uhodari wao. Nawapongeza sana kwa...
7 Reactions
62 Replies
12K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida ni kwamba Binadamu tunapozaliwa tunakuwa na Lugha yetu ya asili ya mawasiliano, licha ya kuwa tunakuwa wadogo, lakini katika udogo huo huo huwa tunawasilia...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
hello members! i trust you are all doing great. What normally lead us into presumptions and make us conclude things differently regardless of being looking at the same elements? lets share this...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni sauti ya Raisi wa Taifa la Marekani ikigonga kuta za maabara inayoelea angani Yani international Space station iliyo umbali wa km 400 kutoka uso wa dunia na inazunguka mile 5 kwa kila sekunde...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Mara nyingi huzuka mjadala wa umuhimu wa lugha ya kiingereza inapotokea Mtanzania kuhojiwa kwa kiingereza na akawa hajielezi vizuri kama wanavyojieleza ndugu zetu wa mataifa mengine ya kiafrika...
7 Reactions
11 Replies
4K Views
Hii ni kozi kabisa niliisoma ikisema kwamba ukiona unapewa jina la babu yako ni imani ya kale kabisa kwamba wanaokufa huwa wanarudi tena na wewe ndiye yule babu au bibi aliyekufa amerudi ingawa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwalimu Mbobezi wa Saikolojia akiwa anafundisha kuhusu mahusiano, aliwauliza wanafunzi wake. Kwanini tunafokea na kukaripia tunapokuwa tumekasirika? Kwanini watu wanafokeana na kukaripiana kwa...
23 Reactions
40 Replies
5K Views
Ndege ya Urusi iliyofika hivi karibuni Syria ina uwezo wa kupeleleza mamia ya kilometa ndani ya Uturuki ikitokea kituo cha ndege kilichopo Syria Kufuatia kufungwa kwa anga karibu na mpaka wa...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Ile Sayari ya Nibiru au Planet X ambayo wanasayansi duniani wamedai inaielekea dunia kwa kasi ya ajabu na huenda ikaipiga, habari mpya ni kwamba imekaribia lakini pia tukio la kupatwa kwa jua...
4 Reactions
91 Replies
16K Views
Inasemekana Kwamba Kuna Tundu Kubwa linalozidi Kutanuka Kila Uchao Angani na wanazuoni wanazidi kuchomba wengine wakienda mbali kabisa kwa kusema ndilo tundu aliloitia Yesu akipaa zake mbinguni na...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom