Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Heri ya Mwaka Mpya 2018. Si makusudi yangu kusifia Uhalifu lakini katika Ulimwengu huu kuna akili za ziada au vipaji ambavyo watu wanavyo sema tu matumizi yake ndo huwa yanakuwa ya kihalifu...
92 Reactions
157 Replies
51K Views
Toka Turkey mwaka 2015 namba 106 kiuchumi katika nchi masikini za ulimwengu wa tatu hadi nchi za G20 bora kiuchumi duniani chini ya chama cha AKP chini ya uongozi wa Rais Recep Tayyip Erdoğan...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
50 groundbreaking Russian INVENTIONS (PICS) SCIENCE & TECH JUN 12, 2022ANNA POPOVA Alena Repkina “Human history is in essence a history of ideas,” Herbert Wells wrote. Thanks to the drive to...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Mariana Trench ni jina la eneo lenye kina kirefu zaidi cha bahari, ni takribani 11km kwenda chini katika bahari ya pacific Wanasema Maji yana pressure kubwa sana kadiri unavyoenda chini, kule...
4 Reactions
0 Replies
849 Views
Nepotism is the practice among those with power or influence of favouring relatives, friends, or associates, especially by giving them jobs. Nepotism is the act of granting an advantage...
1 Reactions
6 Replies
522 Views
Wakati unasikia taarifa kwa sasa kwamba dhahabu itaanza kutumika kutibu cancer (taarifa ambayo imewafurahisha watu wote) ni kitu kilikuwepo karne na karne watu wametafuta ukweli wake na kuufanyia...
31 Reactions
75 Replies
13K Views
Habari zenu wakuu, Natanguliza salamu za pole kwa wale waliofiwa na wapendwa wao katika kipindi hiki kigumu. Kikubwa tuwasikilize watalaam wa afya na tuwakinge tuwapendao. Mtanisamehe kwa...
34 Reactions
605 Replies
83K Views
Visual Accessing Cues. Ni njia inayotumika kutambua na kuonesha ni upande gani wa ubongo mtu anautumika wakati anafikiri kabla ya kuongea, watu wa inteligensia wamekuwa wakitumia njia hii kufanya...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Hi guys 🙂 Nafikiri ni takribani miaka 78 sasa, tangu silaha za nuclear (atomic) zianze kuwepo duniani. Uharibifu unaoweza kufanywa na silaha hizi ni kana kwamba hauelezeki (ni maafa makubwa...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Salute Comrades Nimekua nikijaribu kuji-challange mwenyewe juu ya matukio mbalimbali yaliyoelezewa kwenye biblia kuona ni kweli yalitokea na hua napata majibu ya kiridhisha. Nimeangalia hili tukio...
16 Reactions
111 Replies
19K Views
Salute. Jana usiku nilikua naangalia muvi ya The Patriot iliyochezwa na Mel Gibson (Director wa muvi ya Apocalypto,Passion of Christ etc) akiwa na Heath Ledger. Ilikua inaonyesha jinsi wamarekani...
61 Reactions
335 Replies
66K Views
MAPINDUZI YALIYOFELI CC F. BUYOBE from Twitter THE FAILED NKURUNZINZA’s COUP D’ETAT Rais Nkurunzinza aliondoka Dar Es Salaam majira ya saa 12 na robo jioni kurundi nchini kwake Burundi akiwa...
20 Reactions
46 Replies
7K Views
Yes Isaack Newton yule yule wa ma-law of motion,law of cooling,gravitation calculus na malupulupu mengine alithibitisha uwepo wa Mungu. Kabla sijasema alithibitishaje napenda kusema kuwa kwangu...
9 Reactions
19 Replies
4K Views
Reincarnation (kuzaliwa mara pili) ni ile imani/filosofia kuwa mtu anapofariki, basi roho yake inazaliwa upya kuwa mtu mwingine au mnyama mwingine au kiumbe cha kiroho (mzimu,malaika etc.)...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Hii ni thread maalumu kwa ajili ya kukufahamisha/kufahamishana juu ya siri na hazina, bila kusahau mambo mbali mbali ya mamlaka ya mji wa Vatican nchini Italia. Kwa wakristu VATICAN ni mji...
28 Reactions
701 Replies
42K Views
Ukipewa uenyekiti wa chama kaa ukijua chama chote sio chako, ukipewa suti sio kila kona unaweza kuivaa na ukipewa Gwanda sio kila patuni ni yako! Lakini kuna Mnazareth wa Black African alipingana...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Andre Charles Stander alizaliwa November 1946 na kufariki Februari 1984 nichini Afrika Kusini ambapo alikuwa Polisi kuanzia mwaka 1963 hadi 1980 miaka ambayo alifanikiwa kuziibia benki zaidi ya 30...
9 Reactions
30 Replies
7K Views
Hili eneo lajulikana kama area 51 linapatikana katika jimbo la nevada uko Marekani, eneo hili ndiko kulipo na kituo kikuu cha ujasusi cha Marekani, na inaaminika kwamba Majajusi wa Marekani...
26 Reactions
664 Replies
196K Views
Za mchana wana JF. Natumaini mu wazima wa afya. Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Amahoro? Kwa waliosomoa general chemistry au atomic physics au molecular biology watakuwa walishasikia mahali kutoka kwa ticha mwenye manywele machafu akisema kuwa kila kitu kilichopo kwenye huu...
14 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom